Thursday , 25 April 2024
Home kelvin
1174 Articles83 Comments
MichezoTangulizi

Yanga yaigomea TFF, kuingiza timu saa 11 jioni

  MABINGWA wa Kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam umesema, utaipeleka timu yao katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, muda uliopangwa...

Michezo

Simba, Yanga kupigwa saa 1 usiku

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeusogeza mbele, mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2020/21, kati ya Simba dhidi ya...

Michezo

Guardiolla kutangaza ubingwa mbele ya Chelsea

  KLABU ya Manchester City ambayo kikosi chake kipo chini ya Pep Guardiolla huenda leo wakatangazwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu England kama...

Michezo

Simba, Yanga mageti kufungwa Saa 10

  IKIWA umebaki muda mchache kabla ya mtanange wa watani wa jadi Simba na Yanga, kupigwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)...

HabariHabari Mchanganyiko

Wazee Dar wamwomba Rais Samia kudumisha utawala bora

  BARAZA la Wazee la Mkoa wa Dar es Salaam, limemuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, aongeze juhudi katika uimarishwaji misingi ya...

HabariMichezo

Matola awaita mashabiki Uwanjani

KOCHA msaidizi wa Simba Suleiman Matola, awataka washabiki wa simba wajitokeze kwa wingi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani...

MichezoTangulizi

Kocha Simba ahaidi Burudaani dhidi ya Yanga

  KOCHA Msaidizi wa Simba, Seleman Matola amesema kuwa kikosi chake kesho kimepanga kwenda kuonesha burudani kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Kocha Yanga: Siwaogopi Simba, awaita mashabiki uwanjani

  WAKATI joto la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21 kati ya watani wa jadi, Simba dhidi ya Yanga likipamba moto, Kocha...

HabariMichezo

Kaizer Chiefs dhidi ya Simba kupigwa Mei 15

  MCHEZO war obo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya Kaizer Chief dhidi ya Simba rasmi sasa utachezwa...

HabariMichezo

Chama, Gomes washinda tuzo VPL mwezi Aprili

  KIUNGO wa klabu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Aprili 2021 kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara huku kocha...

HabariMichezo

Jeshi la Polisi latoa masharti matano mchezo Simba na Yanga

  JESHI la Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limetoa masharti matano kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba...

Michezo

Ukuta wa Simba, Yanga, kuathiriwa na swaumu ya Ramadhan?

  KUELEKEA mchezo wa watani wa jadi (Simba na Yanga) kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara tutashuhudia baadhi ya wachezaji wanaocheza eneo la ulinzi...

Michezo

Baada ya kuiadhibu Real Madrid, Tuchel awamwagia sifa wachezaji wake

  BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Real Madrid, kocha wa kikosi cha Chelsea, Thomas Tuchel ametoa pongezi kwa...

HabariMichezo

Man United wahamia kwa Harry Kane

  Klabu ya Manchester United ya nchini England ipo tayari kutoa kiasi Euro 90 milioni sawa na shilingi 250.8 bilioni, kwa jili ya...

Michezo

Zidane: Ramos ‘Fit’ dhidi ya Chelsea

  KOCHA wa kikosi cha Real Madrid Zinedine Zidane amethibitisha kurejea kwa naohodha wa kikosi hiko Sergio Ramos kwenye mchezo wa leo wa...

Michezo

Carlinho hati hati mchezo wa Simba na Yanga, Kisinda arejea

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga C,arlos Carlinho yupo hatihati kuukosa mchezo dhidi ya Simba, kutokana na kuumia kwenye mchezo uliopita wa Kombe la Shirikisho...

Michezo

Buku 7000 tu, kuiona Simba na Yanga

  KLABU ya Simba imetangaza viingilio vya mchezo wao dhidi ya Yanga utakaochezwa Jumamosi ya tarehe 8 Mei, 2021, ambapo kiingilio cha chini...

Michezo

Mmbape hati hati dhidi Man City leo

  MSHAMBULIAJI wa PSG, Kylian Mmbape huenda akaokosa mchezo wao dhidi ya Manchester City leo, baada ya kupata majeruhi ya kifundo cha mguu...

Michezo

Refa wa Yanga na Prisons, apewa mechi ya watani wa jadi

  EMMANUEL Mwandemba kutoka Arusha, ndiye atakayekuwa mwamuzi wa mchezo wa watani wa jadi kati ya Simba na Yanga utakaopigwa kwenye Uwanja wa...

Michezo

Coastal Union yakanusha kumtimua Mgunda

  UONGOZI wa klabu ya Coastal Union umekanusha taarifa za kuwa imeachana na kocha wake, Juma Mgunda baada ya matokeo mabovu ya hivi...

HabariMichezoTangulizi

Sakata la rushwa Yanga dhidi ya Prisons latua Bungeni

NAIBU waziri wa utumishi na utawala bora Deogratius Ndenjembi amesema kuwa kuna baadhi ya viongozi wa timu mbalimbali hapa nchini wakifungwa na Yanga...

HabariMichezo

Mukoko, Feisal, Sarpong kurejea Uwanjani dhidi ya Simba

WACHEZAJI watatu wa klabu ya Yanga, Feisal Salum, Tonombe Mukoko pamoja na Michael Sarpong watarejea Uwanjani kwenye mchezo ujao wa Ligi Kuu dhidi...

Michezo

Karia: Mwakalebela alistahili adhabu kali zaidi

  RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema, Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Fedrick Mwakalebela alipaswa kupewa...

MichezoTangulizi

Liverpool dhidi ya Manchester United kuamua ubingwa wa Man city

  MCHEZO wa Ligi Kuu nchini England kati ya Liverpool dhidi ya Manchester United utamua hatma ya ubingwa wa Manchester City kwa msimu...

Kimataifa

Palestina ‘yatua’ ICC, yaituhumu Israel

  SERIKALI ya Palestina, imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), iwachunguze maafisa wa Serikali ya Israel wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya ukiukwaji...

Habari za SiasaTangulizi

Vyeti feki: Zitto apongeza uamuzi wa Rais Samia

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amepongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuagiza watumishi waliostaafishwa kazi ikiwemo walioghushi vyeti, kulipwa...

MichezoTangulizi

Chama mchezaji bora mwezi Aprili

  KIUNGO wa timu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mashabiki wa klabu hiyo wa mwezi Aprili mara baada ya...

Habari Mchanganyiko

90,025 kuanza mitihani Kidato cha Sita

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dk. Charles Msonde amesema, takribani wanafunzi 90,025 wanatarajiwa kufanya mtihani wa Kidato cha Sita...

Habari za Siasa

Wakili amshauri Rais Samia

WAKILI Kuawayawaya Stephen Kuwayawaya, amemshauri Rais Samia Suluhu kuwa makini na watendaji wa ofisi yake. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Kuwayawaya ametoa ushauri huo...

Michezo

Yanga yaipiga Prisons, yatinga robo fainali

  USHINDI wa bao 1-0, limewatosha kuifanya Yanga, kutinga hatua ya robo fainali ya michuano Kombe la Shirikisho (FA Cup) dhidi ya Tanzania...

MichezoTangulizi

Simba dhidi ya Kaizer Chiefs, robo fainali Ligi ya Mabingwa CAF

  KLABU ya Simba imepangwa kucheza na Kaizer Chiefs kwenye hatua ya robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya...

Michezo

Orlando vs Raja Casablanca, Robo fainali Shirikisho CAF

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limepanga droo ya hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo Orlando Pirates kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

CCM kufumuliwa upya

  SAMIA Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, amesema atashirikiana na viongozi wa chama hicho, kupitia upya sera na miongozo...

Habari za Siasa

Samia aota uchaguzi mkuu 2025

  MWENYEKITI mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi na wanachama wa chama hicho, kutekeleza vyema Ilani ya Uchaguzi...

HabariHabari za Siasa

Majaliwa ajitosa ukaguzi mgodi Mirerani

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali imepokea na itayafanyia kazi malalamiko ya wabunge juu ya utaratibu wa ukaguzi unaofanywa kwenye...

Habari za SiasaTangulizi

Samia aweka rekodi mpya CCM

  WAJUMBE wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamemchagua kwa asilimia 100, Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa Mwenyekiti wa chama...

Habari za SiasaTangulizi

Samia kupenya uenyekiti CCM? Mangula apambana

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Mzee Phillip Mangula, amewaomba wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa chama hicho, kumchagua Rais...

Michezo

Yanga kumbakisha Metacha, kumpa mkataba mnono

  IKIWA msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaelekea mwishoni na klabu mbalimbali zimeanza kufanya mandalizi ya usajili, klabu ya Yanga ipo kwenye...

Michezo

Uwanja wa Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kujulikana kesho

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kesho tarehe 30 Aprili 2021 itatangaza Uwanja utakaopigwa mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa...

MichezoTangulizi

Bocco nae asalia Simba, asaini mkataba mpya

  UONGOZI wa klabu ya Simba umemalizana na nahodha wa kikosi hiko John Bocco kwa kumsainisha mkataba mpya mara baada yaw a awali...

Michezo

Simba yambakisha Tshabalala

Baada ya tetesi nyingi hatimaye klabu ya Simba imemuongezea mkataba beki wake wa kushoto Mohammed Hussen ‘Tshabalala’. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam...

Michezo

Kapombe azigonganisha Simba, Yanga atengewa Mil 180

  KUFUATIA taarifa za beki wa kulia wa Simba, Shomary Kapombe kutaka kutimkia Yanga, baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu uongozi...

Michezo

Namungo kukamilisha ratiba dhidi ya Pyramids

  KIKOSI cha Namungo FC leo kitashuka dimbani kwenye mchezo wa kukamilisha hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Pyramids...

Michezo

Sare dhidi ya Chelsea, Zidane kuchukua maamuzi magumu

  BAADA ya kutoka sare ya mabao 1-1, kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Chelsea,...

Michezo

Chama hashikiki VPL

  KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amekuwa na msimu bora mpaka sasa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuhusika katika mabao 20...

MichezoTangulizi

Kimeumana: Yanga wamtengea Tshabalala Mil 150, mshahara Mil 7

  IKIWA imebakia miezi miwili kumaliza kwa mkataba wake ndani ya klabu ya Simba, beki wa kushoto na nahodha msaidizi wa kikosi hiko,...

Michezo

Real Madrid, Chelsea vitani nusu fainali UEFA leo

  KLABU ya Real Madrid itashuka dimbani leo kuwaalika Chelsea kwenye nusu fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA) kwenye...

Michezo

Kocha Dodoma Jiji: Tutaishangaza Simba kesho

  KOCHA msaidizi wa kikosi cha Dodoma Jiji, Renatus Shija ameapa kuibuka na ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya...

Michezo

Miquissone, Wawa warejea kikosini dhidi ya Dodoma Jiji

  KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Luis Miquissone pamoja na mlinzi wa kati, Pascal Wawa wamerejea kikosini baada ya kukosa mchezo uliopita wa Ligi...

MichezoTangulizi

Yanga hoi mbele ya Azam FC

BAO la dakika ya 86 lililofungwa na Prince Dube lilitosha kuifanya Azam FC kutoka kifua mbele kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya...

error: Content is protected !!