Thursday , 28 March 2024
Home kelvin
1173 Articles83 Comments
ElimuHabari Mchanganyiko

CBE yaanza kutoa mafunzo wahudumu wa mabasi

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeanza kutoa mafunzo kwa wahudumu wa kwenye mabasi ya abiria ili kuifanya kazi hiyo kuheshimika kama zilivyo...

Elimu

Wanafunzi Hazina waonyesha vipaji vya hali ya juu.

WANAFUNZI wa shule ya msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam wameonyesha vipaji vya aina yake walipokuwa kwenye mahafali ya darasa la...

Elimu

CBE yapongezwa kwa program za uanagenzi na atamizi

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema kuanzia mwakani kitaanza kufundisha baadhi ya kozi zake kwa njia ya mtandao ili kuwawezesha watu wengi...

HabariTangulizi

Dk. Slaa, Mwabukusi kuhojiwa na jeshi la Polisi Mbeya

JESHI la Polisi jijini Mbeya, linawashikilia kwa mahojiano Dk. Wilbroad Slaa na Wakili Boniface Mwabukusi kufuatia kufanya mkutano wa hadahara ambao ulikuwa unadaiwa...

Habari za Siasa

Membe kuzikwa Jumanne ijayo

  JAJI Mustapha Ismail Kambona, msemaji wa familia ya marehemu Bernard Kamilius Membe, aliyeaga dunia mapema leo asubuhi, ametangaza kuwa mazishi ya mwanasiasa...

Habari Mchanganyiko

Abdul Kambaya ang’atuka Chadema,”mimi sio wa kwanza kuondoka”

MWANASIASA maarufu nchini Abdul Kambaya ametangaza kujiondoa rasmi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikiwa zimepita siku 52 tangu alipojiunga na...

ElimuHabari

Serikali yataka vijana  wajiunge na program atamizi ya biashara CBE

  SERIKALI imewahamasisha vijana kujiunga na program atamizi inayotolewa na Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), ili wapate ujuzi wa biashara na hatimaye...

HabariTangulizi

Bakwata wamkangaa Sheikh wa Dar es Salaam

  BARAZA la Ulamaa, limefutilia mbali uamuzi wa “kuvunja ndoa,” uliyofanywa na sheikh wa BAKWATA mkoani Dar es Salaam, Alhadj Mussa Salum. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Kesi ya Fei Toto kusikilizwa kwa saa 3 TFF

  KESI ya kimkataba kati ya Feisal Salum (Fei Toto) dhidi ya klabu ya Yanga itasikilizwa kwa saa 3 na kamati ya Sheria...

ElimuHabari

Walimu waipongeza Serikali kulipa malimbikizo ya bilioni 117 , yataka kasi iongezeke

  CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kulipa malimbikizo ya madai ya walimu 88,297 yenye...

HabariHabari Mchanganyiko

Serikali Zanzibar yawakaribisha wadau wa sheria

WADAU wanaojishughulisha na masuala ya utoaji msaada wa kisheria visiwani Zanzibar, wametakiwa kushirikiana na Serikali ili kuhakikisha wananchi wanapata haki na wanajua majukumu...

HabariMazingira

MECIRA yafichua chanzo cha ukame, yataka Serikali iwachukulie hatua wahusika

KITUO cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA), wameiomba Serikali iwachukulie hatua watu wanaofanya vitendo vya uharibifu wa mazingira, Kwa kuwa ndiyo...

Health

Wananchi Same wahamasishwa kuchangia damu kwa hiari

HOSPITALI ya Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro imetoa elimu ya  uhamasishaji wa uchangiaji damu salama kwa hiari kwa ajili ya kusaidia wagonjwa wanaopungukiwa...

ElimuHabari

DMI yaomba meli ya mafunzo kwa wahitimu

CHUO cha Bahari Dar es Salaam, (DMI), kimeomba serikali ikipatie meli ya mafunzo kwaajili ya kuwaongezea ujuzi wahimu wa mafunzo chuoni hapo. Anaripoti...

ElimuHabari

Dk. Mwinyi mgeni rasmi kongamano la uchumi na biashara la CBE

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeandaa kongamano la maendeleo ya biashara na uchumi ambalo linatarajaiwa kufunguliwa na Rais wa Zanzibar Dk. Hussein...

HabariMichezo

Yanga yajitokeza Sakata la Nabi

UONGOZI wa klabu ya Yanga umeamua kukanusha taarifa ya kuondoka kwa kocha wao Mkuu, Mohamed Nabi mara baada ya kuenea tetesi za kuachana...

Tangulizi

NBAA kusherehekea siku ya uhasibu duniani, miaka 50 kuanzishwa kwake

BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA),  imeandaa maonesho ya huduma za kihasibu ikiwa sehemu ya shamra shamra za maadhimisho ya...

ElimuHabari

Serikali yampongeza Dk. Rweikiza kuwekeza kwenye elimu

  SERIKALI imempongeza Mbunge wa Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikiza kwa kuwekeza kwenye elimu na kusaidia jitihada za serikali kuboresha sekta hiyo...

HabariMichezoTangulizi

Mgunda kuiongoza Simba Ligi ya Mabingwa Afrika.

  Klabu ya Soka ya Simba imemtangaza Juma Mgunda kuwa kocha wa muda wa klabu hiyo atakayesaidiana na Seleman Matola, kuelekea mchezo wa...

HabariMichezo

Kisinda, Ntibazonkiza wafunga dirisha la usajili Tanzania

  WACHEZAJI wa kimataifa Tuisila Kisinda pamoja na nyota kutoka Burundi Saido Ntibanzokiza wameng’ara dakika za mwisho wakati wa kufungwa kwa dirisha la...

ElimuHabari

Mahafali waliosoma nje yafana kwa viwango vya kimataifa

  SERIKALI imepongeza mchango wa Global Education Link (GEL) kwa namna ambavyo imekuwa ikisaidia kuwaunganisha wanafunzi wa Tanzania kusoma taaluma mbalimbali vyuo vikuu...

HabariMichezo

Yanga yaingia mkataba na kampuni ya Jakson Group

  MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu ya soka ya Yanga hii leo Tarehe 19 Agosti 2022, imeingia rasmi kandarasi ya...

HabariTangulizi

Karia: Mimi sio Mwanachama wa Simba

  RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia ameweka wazi kwamba yeye sio wanachama wala shabiki wa klabu ya...

HabariMichezo

Yanga yaanza safari ya kutetea ubingwa wake

  MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara klabu ya soka ya Yanga imefanikiwa kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa kwanza wa...

HabariMakala & UchambuziTangulizi

FUATILIA MOJA KWA MOJA MATOKEO UCHAGUZI MKUU KENYA HAPA

RAIA wa Kenya jana tarehe 9 Agosti, 2022 wamejitokeza kupiga kura kumchagua rais, gavana, seneta, mwakilishi wa wanawake, mbunge na mwakilishi wa wadi. Katika...

HabariMichezo

Djuma Shaban asalia Yanga kwa mwaka mmoja Zaidi

  Mabjngwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara klabu ya soka ya Yanga, imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja beki wake wa kulia Raia wa...

HabariMichezoTangulizi

Simba wazindua rasmi wiki yao, majibu ya jezi yapatikana

  KLABU ya Soka ya Simba hii leo tarehe 31 Julai 2022, imezindua rasmi wiki yao kuelekea kwenye tamasha kubwa la Siku ya...

HabariTangulizi

Senzo atimka Yanga, Simon Patric achukua mikoba yake

  KAMATI tendaji ya klabu ya Yanga imebadiliki ombi la kutoongeza mkataba ambalo liliwasilishwa na mtendaji Mkuu wa klabu hiyo Senzo Mbatha. Anaripoti...

HabariMichezo

Kocha Simba ashtuka, Okrah, Phiri wapewa kazi nzito

  MARA baada ya kupoteza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu, kocha mkuu wa klabu ya Simba Zoran Maki ameanza tena kulifanyia kazio...

HabariMichezo

Simba, Yanga wakamia Wajifua usiku na mchana, Nabi, Zoran waumiza vichwa

  ZIKIWA zimebaki wiki mbili sawa na siku 14, kabla ya klabu za Simba na Yanga kushuka dimbani kwenye mchezo wa ufunguzi wa...

HabariMichezo

Stars yaibuka mbabe mbele ya Somalia

  TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0, dhidi ya Somal;ia katika kutafuta tiketi ya kufuzu...

GazetiHabariMichezo

Haji Manara afungiwa miaka miwili, faini Sh20 Mil.

  KAMATI ya maadili ya shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemfungia msemaji wa klabu ya Yanga Haji Manara, kujihusisha na mchezo...

HabariMichezo

Stars yaingia kambini hii leo

  KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzani (Taifa Stars) kimeingia kambini hii leo tarehe 15 Julai, kujiandaa na mchezo wa kufuzu kwa...

HabariMichezo

Simba yapaa kuelekea Misri, watano waachwa

  KLABU ya soka ya Simba imeondoka nchini hii leo tarehe 14 Julai 2022 kuelekea nchini Misri kwa ajili ya maandalizi kuelekea msimu...

HabariMichezo

24 waitwa kambini Stars, kujiandaa dhidi ya Somalia

  KOCHA wa Timu ya Taifa ya Tanzania Kim Poulsen amita wachezaji 24, wa timu ya Taifa ya Tanzania watakaoingia kambini kwa ajili...

HabariMichezo

Simba kumekucha, Okrah kuungana na Chama, Sakho safarini Misri kesho

  KLABU ya Simba imeendelea kushika kasi kwenye usajili wa wachezaji mbalimbali, kufuatia hii leo tarehe 13 Julai 2022, kutmabulisha kiungop mshambuliaji Agustine...

HabariMichezo

Simba kutimkia Misri, kuweka kambi ya wiki nne

  KLABU ya soka ya Simba inatarajia kuondoka nchini kwenda nchini Miosri kwa ajili ya kufanya maandalizi ya msimu mpya ujao wa mashindano...

HabariMichezoTangulizi

Yanga yamtambulisha rasmi Bigirimana

  IKIWA katikati ya mkutano mkuu wa mwaka wa klabu hiyo, ambao umebeba ajenda kubwa ya Uchaguzi, Rais mteule wa klabu hiyo Mhandisi...

HabariTangulizi

Yanga hawajaacha kitu, yatwaa mataji yote msimu huu

MARA Baada hii leo tarehe 2 Julai 2022, klabu ya soka ya Yanga kufanikiwa kutwaa taji la kombe la Shirikisho la Azam, timu...

HabariMichezo

Sopu aibuka kinara wa mabao ASFC

  MABAO matatu aliyofunga kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Yanga, yamemfanya mshmabuliaji kinda wa Coastal Union, Abdul Seleman Sopu, kuibuka kuwa kinara...

Michezo

Mgunda atoa tahadhari kwa Mayele kesho

  KOCHA Mkuu wa kikosi cha Coastal Union ya Tanga, Juma Mgunda amesema kwenye mchezo wa kesho wa fainali dhidi ya Yanga, hawatocheza...

HabariMichezoTangulizi

Majaliwa aipongeza Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ameipongeza klabu ya soka ya Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu...

Michezo

Mpole aibuka mfungaji Bora Ligi Kuu

  MSHAMBULIAJI wa klabu ya Geita Gold, George Mpole ameibuka kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara, akiwa na mabao 17, huku...

HabariMichezo

Yanga waiteka Dar, Pitso awavuliwa kofia

  Klabu ya soka ya Yanga, hii leo tarehe 26 Juni 2022, ilisimamisha jiji la Dar es Salaam, kwa hafla yao ya kusherekea...

HabariMichezo

Yanga kukabidhiwa kombe jijini Mbeya

  Mara baada ya tarehe 15 Juni 2022, kutangzwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu ya Yanga itakabidhiwa rasmi kombe...

HabariMichezo

Mchakato wa kocha mpya Simba wafikia patamu, Mmorocco apewa nafasi

  NI kama mchakato wa kumtafuta kocha mpya wa klabu ya Simba umeendelea kupamba moto, kufuatia mpaka sasa uongozi wa klabu hiyo kupokea...

Michezo

Mwakalebela akubali yaishe, atangaza rasmi kutogombea kwenye uchaguzi mkuu

  MWANACHAMA mwandamizi na makamu mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Frederick Mwakalebela ameweka wazi nia yake ya kutogombea nafasi yoyote ya uongozi ndani...

Habari

Algeria yampa somo Kim Poulsen, alia na uzoefu

  BAADA ya kupoteza kwa mabao 2-0, dhidi ya Timu ya Taifa ya Algeria, kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)...

HabariMichezo

FIFA yaipongeza Serengeti Girls

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Dunia (FIFA), limeipongeza Shirikisho la soka Tanzania (TFF) kwa kufanikiwa kufuzu kwenye michuano ya kombe la dunia...

Makala & Uchambuzi

Simba, Yanga kuingia kwenye presha za usajili

  WAKATI msimu wa mashindano wa Ligi Kuu Tanzania Bara na michuano ya kombe la Shirikisho ukienda ukingoni, vigogo wa soka nchini klabu...

error: Content is protected !!