Thursday , 28 March 2024
Home erasto
1146 Articles147 Comments
Kimataifa

Rais wa zamani Afrika Kusini afariki dunia

  RAIS wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, Frederik Willem de Klerk amefariki dunia akiwa na umri...

Habari Mchanganyiko

Membe: Cyprian Musiba popote ulipo leta pesa zangu

  DAKIKA chache baada ya Aliyekuwa Waziri wa mambo ya nje, Bernard Membe kumbwaga Mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba katika hukumu...

Habari za SiasaTangulizi

Membe ambwaga Cyprian Musiba, kulipwa bilioni 6

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imemuamuru Mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba kumlipa aliyekuwa Waziri mambo ya nje, Bernard Membe kiasi cha...

Michezo

Diamond kuwania tuzo za MTV EMA

  KIOO wa Bongofleva, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond platnumz amechaguliwa kuwania tuzo za MTV EMA, akiwa ni msanii pekee kutokea Afrika mashariki...

Michezo

UEFA yapamba moto, Salah usipime

  MSHAMBULIAJI wa Liverpool ambaye pia ni raia wa Misri, Mohamed Salah amezidi kupamba moto kila panapokucha baada ya jana tarehe 19 Oktoba,...

Michezo

TFF yawapa ahueni Biashara United

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limesongeza mbele mechi kati ya Tanzania Prisons dhida ya Biashara United iliyokuwa ichezwe kesho Jumanne...

Habari za Siasa

Kilimanjaro wamaliza dozi 60,000 za Corona, wapokea nyingine 36,000

  MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Steven Kagaigai amesema mkoa huo umevunja rekodi kwa wananchi wake kuchangamkia chanjo ya Johnson&Johnson kudhibiti ugonjwa wa...

Michezo

Simba ruksa mashabiki Klabu bigwa

  SHIRIKISHO la mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), limeruhusu klabu ya Simba kuingiaza mashabiki, kwenye mchezo wa klabu Bingwa Barani Afrika dhidi...

Michezo

Mugalu , Mhilu kuwakosa wa Botswana

  Washambuliaji wawili wa klabu ya soka ya Simba Chriss Mugalu na Yussuf Mhilu wanatarajiwa kuikosa Mechi Kati ya Simba na Jwaneg Galaxy...

Michezo

Bishara united mguu sawa kuwavaa walibya, kumkosa nahodha wao

  UONGOZI wa klabu ya Soka ya Biashara United kutoka mkoani Mara, umesema kikosi chao kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kombe...

Michezo

Dulla Mbabe ajiweka kando na masubwi

  BONDIA wa Tanzania, Abdallah Pazi maarufu kama ‘Dulla Mbabe’ ametangaza rasmi kujiweka kando na masuala ya masubwi mpaka mwakani hii. Anaripoti Damas...

Habari Mchanganyiko

Kisa Mahari kubwa, Baba aua kijana wake baada ya kung’ang’ania kumuoa mchumba’ke

  KIJANA aliyefahamika kwa jina Nchimwa Magidu Ndula (22), amuawa kwa kipigo kutoka kwa baba yake mzazi, Magidu Ndula Jisusi (55) baada ya...

Tangulizi

Uchaguzo mdogo; ACT- Wazalendo, CCM wagawana majimbo

VYAMA vya ACT – wazalendo na CCM vimegawana majimbo Konde Visiwani Zanziba na Ushetu mkoani Shinyanga katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana tarehe 9...

Kimataifa

Achana na Arnold, huyu ndiye jabali mwenye nguvu zaidi duniani

  HAFTHOR Julius Bjornsson ndiye mwanaume mwenye nguvu zaidi duniani ambaye pia ni mcheza filamu nchini Marekani. Ni raia wa Iceland, alipata umaarufu...

Michezo

 Newcastle yaupiga mwingi

  Klabu ya soka ya Newcastle ya nchini Uingereza jana Oktoba 7, 2021 imekamilisha dili la kuuza hisa zake katika kampuni la Saudi...

Michezo

Twiga Stars yaichapa Zambia, yatinga fainali COSAFA

  TIMU ya soka ya wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imetinga fainali ya michuano ya COSAFA inayofanyika nchini Afrika Kusini. Anaripoti Damas Ndelema,...

Kimataifa

Mwandishi afariki dunia saa 48 baada ya kufunga ndoa

  MWANDISHI wa habari na mfanyabiashara maarufu nchini Malawi, Russell Chimbayo amefariki dunia siku mbili baada ya kufunga ndao na mchumba wake, Jacqueline...

Michezo

Twiga Stars yatinga nusu fainali COSAFA

  TIMU ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania ‘’Twiga Stars’’ imeendeleza ubabe katika michuano ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Ukanda...

Michezo

Mchezaji aliyeishiwa nguvu baada ya kufunga, arejea kambini

  CRISPIN Ngush, mchezaji wa Mbeya Kwanza nchini Tanzania, aliyefunga bao maridadi kisha kuishiwa nguvu na kupelekwa hospitalini, ameruhusiwa kurejea kambini kuungana na...

Michezo

Wikendi  yawa mbaya kwa vigogo wa soka barani Ulaya

  Baadhi ya vigogo vya soka Barani Ulaya vimekua na wikendi mbaya baada ya kupoteza michezo yao ya ligi kuu na kupoteza alama...

Makala & Uchambuzi

Rais mtata wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, tangaza kujiuzulu siasa

RAIS wa Ufilipino, Rodrigo Duterte amesema, tofauti na ambavyo alieleza huko nyuma, ameamua kujiuzulu siasa na hivyo, hatajitosa katika kinyang’anyiro cha urais katika...

MichezoTangulizi

Tanzania yampa uraia Denis Kibu, rasmi Simba

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, amehitimisha sakata la uraia wa Kibu Denis Prosper kwa kutangaza kumpa uraia mchezaji...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto ampa ujumbe Jaji Mutungi ‘busara itumike’

  MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Zitto Kabwe amemshauri Msajili wa vyama vya siasa nchini humo, Jaji Francis Mutungi kutoingilia ratiba...

Kimataifa

Mwanaume afunga ‘ndoa’ na rice cooker

  UKISTAAJABU ya Mussa uyataona ya Firauni. Ndivyo unavyoweza kuelezea kile alichokifanya Khoirul Anam, raia wa Indonesia aliyeamua kufunga ‘ndoa’ na ‘rice cooker.’...

MichezoTangulizi

Kagere arejesha furaha msimbazi

BAO pekee lililofungwa dakika ya 69 na mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagera dhidi ya Dodoma Jiji limerejesha furaha kwa mabingwa hao watetezi wa...

Tangulizi

Uraia wa Kibu: Zitto amtwisha zigo Majaliwa, Simbachawene

  SAKATA la uraia wa mchezaji mpya wa Simba ya Dar es Salam, Kibu Denis limemuibua Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe akimtaka Waziri...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atoa ujumbe kwa taasisi za dini

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan inaheshimu, inathamini na kutambua mchango mkubwa unaotolewa na...

Michezo

Dewji awapa ujumbe wachezaji Simba

  SAA chache kabla ya Simba ya Dar es Salaam, kushuka dimbani kuumana na Dodoma Jiji, aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa...

Kimataifa

Kiongozi wa kijeshi wa Guinea kuapishwa kuwa rais

  KIONGOZI wa kijeshi nchini Guinea, Kanali Mamady Doumbouya anatarajiwa kuapishwa leo tarehe 1 Oktoba 2021kama rais wa mpito. Anaripoti Patricia Kighono, TUDARCo...

Kimataifa

Rais wa zamani Ufaransa jela mwaka mmoja

  RAIS wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na Mahakama kuu ya Paris nchini huko baada ya...

Michezo

Fahyvanny aanika mazito kuhusu Rayvanny

  MWANAMITINDO na mzazi mwenza wa Staa wa Bongofleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’, Faima Msenga ‘Fahyma au Fahyvanny’ ameweka wazi kuwa hana matatizo na...

Kimataifa

Denti Chuo Kikuu auawa kikatili na mpenzi wake

  HALI ya majonzi imetanda katika Chuo kikuu cha Laikipia nchini Kenya baada ya mwanafunzi mmoja wa kike kuuawa kinyama kwa kuchomwa kisu...

Kimataifa

Vikosi vya Israel vyawaua Wapalestina 2

  WAPALESTINA wawili wauawa na vikosi vya Israel kwenye matukio tofauti huko Palestina. Anaripoti Glory Massamu TUDARCo kwa msaada wa mitandao ya kimataifa...

Kimataifa

Angela markel atoa pongezi kwa Scholz

  KANSELA wa Ujerumani, Angela Merkel amempongeza mgombea wa ukansela aliyekuwa mpinzani wake kupitia chama cha Social Democratic SPD Olaf Scholz. Anaripoti Helena...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya kusuka, kunyoa kesho

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania, kesho Ijumaa tarehe 1 Oktoba 2021, itatoa hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha,...

Habari za Siasa

Serikali yakamilisha muongozo wa misamaha ya kodi kwa NGO’s

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeshakamilisha kitini kinachotoa muongozo wa namna mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO’s) yatanufaika na misamaha ya kodi....

Habari za Siasa

Rais Samia atoa mitihani mitano kwa NGO’s

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa mitihani mitano kwa mashirika yasiyo ya kiserikali nchini ikiwamo kuoanisha mipango yao na vipaumbele na mipango ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML yatoa milioni 800 kukarabati hospitali ya rufaa Geita

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita na Chama cha Madaktari Tanzania (MAT)...

Michezo

Fei Toto apeleka shangwe jangwani, kilio Kagera

  BAO pekee lililofungwa dakika ya 24 na kiungo hodari wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ limetosha kupeleka shangwe kwa mashabiki wao ndani...

Habari za Siasa

Rais Samia akutana tena na Tony Blair

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu wa Uingereza, Tony Blair. Anaripoti Wiston Josia, TUDARCo...

Michezo

Alikiba: Mfalme ni mmoja tu, albam wiki ijayo

  HATIMAYE Staa wa Bongofleva nchini, Ali Salehe Kiba maarufu kama Alikiba ametangaza kuachia albam yake ya tatu inayokwenda kwa jina la ‘The...

Michezo

Messi afungua akauti ya mabao PSG

  Mshambuliaji wa mpya wa klabu ya PSG Raia wa Argentina Lionel Messi amefungua rasmi akauti ya mabao katika klabu yake hiyo, mara...

MichezoTangulizi

Yanga kuwa vaa Kagera Sugar bila Mwamnyeto

  Klabu ya soka ya Yanga leo 29 Septemba 2021, itanza kutupa karata yake ya kwanza katika Ligi Kuu Tanzania Bara ugenini dhidi...

MichezoTangulizi

Mo Dewji ang’oka Simba, ateua mrithi

  MOHAMED Dewji, Mkurugenzi wa Bodi ya Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania ametangaza kuachia nafasi hiyo na kumteua...

Habari Mchanganyiko

Uhamiaji Tanzania yatangaza ajira 350

  KAMISHNA Jenerali wa Uhamiaji nchini Tanzania, Dk. Anna Makakala, ametangaza nafasi za ajira 350 za cheo cha Konstebo wa Uhamiaji kwa vijana...

MichezoTangulizi

Simba yaanza kwa sare, Bocco akosa penati

  MABINGWA watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba ya Dar es Salaam, imeanza msimu mpya wa ligi kuu 2021/22 kwa droo dhidi...

Habari za Siasa

Rais Samia: Mwanamke sio mtu wa daraja la pili

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameliomba Kanisa la Anglikana Tanzania kuunga mkono dhamira ya Serikali katika kuwainua wanawake kijamii, kiuchumi, kisiasa na kupambana...

Kimataifa

Rais ‘Kiduku’ aibipu UN

RAIS wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un maarufu kama ‘Kiduku’ kutokana na staili yake ya nywele, amesimamia urushwaji wa kombora la masafa mafupi...

Tangulizi

Waziri Ndalichako ateta na ujumbe wa WB, atoa ahadi

  PROFESA Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania amesema, Serikali itahakikisha fedha zinazotolewa na wadau mbalimbali wa maendeleo kwa...

HabariTangulizi

Rais Samia aonya migogoro Kanisa Anglikana

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa viongozi wa dini wa Kanisa la Anglikana Tanzania kurudi kwenye misingi ya kimaadili ya kanisa...

error: Content is protected !!