Thursday , 28 March 2024
Home erasto
1146 Articles147 Comments
Kimataifa

Hospitali yashambuliwa Darfur

  SHIRIKA la misaada ya kimatibabu la madaktari wasio na mipaka (MSF) linasema kuwa watu watatu wameuawa ndani ya hospitali katika eneo la...

Kimataifa

Marekani yakanusha kumuwekea vikwazo mpenzi wa Putin

  MSEMAJI wa Ikulu ya White House anayefahamika kwa jina la Jen Psaki amesema kuwa Marekani imekanusha katika taarifa siku ya jumatatu tarehe...

Kimataifa

Tajiri namba 1 duniani ainunua Twitter

  MUASISI wa kampuni ya magari ya Tesla, Elon Musk ambaye pia ni tajiri namba moja duniani, amenunua kampuni ya mtandao wa kijamii...

Habari MchanganyikoTangulizi

CAG abaini ‘madudu’ kwenye majeshi

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) nchini Tanzania katika ukaguzi wake kwa mwaka 2020/21 amebaini udhaifu wa usimamizi, ufuatiliaji na ukiukwaji...

Habari za Siasa

Bashungwa amsimamisha kazi DED Mvomero kwa kupuuza maagizo yake

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya...

Kimataifa

Msako waendelea Kenya mauaji mwanariadha wa kike

  MWANARIADHA wakike amepatikana ameuawa huko Iten mji wa Kenya ,ambapo mwanariadha wa Olimpiki Agnes Tirop aliuawa miezi sita iliyopita polisi wameripoti. Anaripoti...

Habari

Wanajeshi walevi waua 15 mashariki mwa DRC

  Wanajeshi wawili wamewaua raia 15 kwa kuwapiga risasi katika mashambulio tofauti mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa...

Kimataifa

Daktari apatikana na hatia ya makosa 54

  DAKTARI Krisna Singh kutoka North Lanarkhire mwenye umri wa miaka 72 , amepatikama na hatia ya makosa ya unyanyasaji wa kingono dhidi...

Kimataifa

Wadukuzi Korea Kaskazini waiba dola milioni 615 mtandaoni

  MAREKANI imewahusisha wadukuzi wanaoungwa mkono na Korea Kaskazini, na wizi mkubwa wa fedha za mtandaoni dola milioni 615 kutoka kwa wachezaji maarufu...

Habari Mchanganyiko

Msanii Maunda Zorro afariki dunia

  MSANII wa muziki nchini Tanzania, Maunda Zorro amefariki dunia usiku wa jana Jumatano tarehe 13 Aprili 2022, kwa ajali ya gari. Anaripoti...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo wakosoa hotuba ya Waziri Mkuu kutogusia katiba mpya

  WAKATI Bunge likiendela kujadili hotuba ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara zilizo chini yake ya mwaka 2022/23, chama cha ACT-Wazalendo kimeshangazwa...

Kimataifa

Uingereza yawawekea vikwazo mabinti wa Putin

  SERIKALI ya Uingereza imewawekea vikwazo mabinti wa Rais Putin wa Urusi wanaofahamika kwa majina Katerina Vladimirovna Tikhonova na Maria Vladimirovna Vorontsova ,Pamoja...

Kimataifa

Kenya yachunguza usalama wa kiafya wa chokoleti ya KinderJoy

  MAMLAKA ya udhibiti wa viwango nchini Kenya, imetipoti kuchunguza Usalama wa kiafya wa chokoleti maarufu inayofahamika kwa jina la Kinder Joy ambayo...

Kimataifa

Wanafunzi watatu wafariki kwa mshituko wa moyo wakati wa mtihani

  WAKAZI wa Jimbo la Gujarat nchini India , wamepigwa na mshangao mkubwa , baada ya wanafunzi watatu kufariki dunia ghafla, kutokana na...

HabariMichezo

Simba vitani tena na wasauzi Robo fainali ya shirikisho Afrika

  Klabu ya soka ya Simba Tanzania imepangiwa kukutana na Orlando Pirates ya nchini Afrika kusini katika robo fainali ya kombe la shirikisho...

Kimataifa

Shirika la Msalaba Mwekundu lajaribu kuingia Mariupol

  MSAFARA mdogo wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu , International Geneve Comitee [ICRC] wa magari matatu, umeondoka kutoka Zaporiahzhia , kuelekea...

Kimataifa

Msumbiji kuchunguza tukio la kijana kufufuka

  KIJANA mmoja Kaskazini mwa Msumbiji aliyesemekana kufariki Dunia anayefahamika kwa jina la Eurella Manuel Benjamin ameonekana kijijini kwao akiwa mzima Baada ya...

Michezo

Steve  Nyerere  akubali yaishe, ajiuzulu usemaji SMT

  STEVEN Mangele maarufu Steve Nyerere ametangaza kujizulu nafasi ya Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT). Anaripoti Rhoda Kanuti, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Tanzania kuisaidia Msumbiji kukomesha ugaidi

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Tanzania itandelea kuwa mstari wa mbele kuisaidia nchi ya Msumbiji katika kukabiliana na vitendo ya...

Habari Mchanganyiko

Umoja wa Ulaya: Afrika iungane na dunia yote kuipinga Urusi

  UMOJA wa Ulaya (EU) umetoa tamko la kuendelea kulaani kitendo cha Urusi kuivamia Ukraine na kushawishi mataifa mbalimbali zikiwemo nchi za Afrika...

Habari za Siasa

Mbunge Malleko ampongeza Rais Samia

  MBUNGE wa Viti Maalum, Mkoa wa Kilimanjaro, Esther Malleko amempongeza Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kufikisha mwaka mmoja madarakani kwa...

Habari za Siasa

Ulinzi, mambo ya nje waelezea mafanikio mwaka mmoja wa Samia madarakani

  WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, pamoja na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, zimeeleza mafanikio...

Habari za Siasa

Ngome ya wanawake ACT-Wazalendo yawakumbuka wazazi waliojifungua

  WANAWAKE wa ACT Tanzania waadhimisha siku ya wanawake Duniani kwa kuwatembelea wazazi katika Kituo cha Afya cha Palestina Sinza jijini Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe ahitimisha siku 226 mahabusu

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Aikaeli Mbowe leo Ijumaa, tarehe 4 Machi 2022 amehitimisha siku 226...

HabariMichezo

TFF yamfungia Shaffi Dauda miaka mitano

  Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania “TFF” limemfungia mjumbe wa mkutano mkuu wa TFF Shaffi Dauda miaka mitano kujihusisha na soka ndani...

Tangulizi

Mwili wa Dk. Mwele kuwasili Ijumaa, kuagwa Dar, kuzikwa Dodoma J3

MWILI wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), anayeshughulikia magonjwa yasiyopewa kipaumbele (NTDs), Dk. Mwele Malecela (58), utawasili nchini Tanzania usiku...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wanyimwa chakula miezi 5

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe ameibuka malalamiko mahakamani ya kunyimwa chakula kwa zaidi ya miezi mitano kila...

BurudikaHabari

Harmonize kuwakutanisha jukwaa moja wasanii 50 wa Afrika Mashariki Dar

  WASANII zaidi ya 50 kutoka Afrika Mashariki wanatarajiwa kupanda jukwaa moja kwenye tamasha la ‘Afro East Carnival’ litakalofanyika Uwanja wa Tabata Shule,...

Michezo

Mastaa Kylie, Travis Scott wapata mtoto wa pili

Mwanamitindo na mfanyabiashara kutoka Marekani, Kylie Jenner (24) pamoja na mpenzi wake ambaye ni Msanii wa rap, Jacques Bermon Webster maarufu kama Travis...

Tangulizi

Shaka atoa agizo wizara ya maliasili kunusuru wananchi

  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi( CCM), Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ameiagiza Wizara ya Maliasili...

Habari za Siasa

Mwanaye Kingunge apagawisha wabunge, kugawa magari, kuongeza posho

  MGOMBEA wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kunje Ngombale Mwiru amewapagawisha wabunge baada ya kuwaahidi kupunguza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia awaomba Kilimanjaro kupunguza matayarisho ya mbege

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewaomba wananchi wa mkoa huo kupunguza matayarisho ya kinywaji maarufu mkoani humo cha pombe aina ya mbege, ili...

Habari Mchanganyiko

Tume yaundwa kuchunguza ajali ya 5 ya moto Karume

  MKUU wa Wilaya ya Ilala, Ng’wilabuzu Ludigija ameunda timu ya uchunguzi wa chanzo cha moto katika Soko la wafanyabiashara wadogo la Karume ambayo inatarajia...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia amlilia Askofu Mwenisongole, kuzikwa Desemba 30

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pole kufutia kifo cha Askofu Mkuu mstaafu wa Tanzania Assemblies of God (TAG),...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Rais Samia atoa salamu za Krismasi, Mwaka Mpya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa salamu za Krismasi na Mwaka Mpya 2022 huku akiwataka wananchi kufanya kazi kwa weledi na...

MichezoTangulizi

Hayatasahulika kwenye michezo 2021

  ZIKIWA zimebaki siku chache kuelekea kufunga mwaka 2021 na kukaribisha mwaka mpya wa 2022, kuna mambo mengi katika tasnia ya michezo yaliyofanyika...

Habari Mchanganyiko

ACT- Wazalendo yaitaka Serikali kuingilia kati bei ya mbolea

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, kimeitaka Serikali ya nchi hiyo kuingilia haraka na kudhibiti kupanda kwa kasi isiyo...

Michezo

Mastaa wamlilia mama yake Lulu Diva

  MSANII wa Bongo fleva na muigizaji katika tamthilia ya jua kali, Lulu Abasi maarufu kama Lulu Diva amepata msiba wa kuondokewa na...

Michezo

Kisa dili la Mondi; Steve Nyerere, Aristote wamvaa Mwijaku

MTANGAZAJI ambaye pia ni mwigizaji wa Bongo Movies, Burton Mwamba ‘Mwijaku’ ameingia kwenye anga za mastaa wenziwe ambao wamejipachika majina maarufu ya ‘chawa’...

HabariTangulizi

Rais Samia: Machinga tuendelee kuvumiliana

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa wafanya biashara wadogo wadogo ‘machinga’ kuwa wavumilivu katika kipindi hiki kwa kuwa kazi ya kuwaondoa barabarani...

Michezo

Kisa viza, Miss Tanzania agonga mwamba kushiriki Miss World

  MWAKILISHI Tanzania (Miss Tanzania) katika mashindano ya urembo duniani – Miss World, Juliana Rugumisa ameshindwa kwenda kushiriki katika mashindano hayo mwaka huu...

Kimataifa

Uganda wakanusha kuikabidhi China uwanja wa Entebe

  Serikali ya Uganda na ubalozi wa China mjini Kampala wamekanusha ripoti kwamba China inaweza kuchukua udhibiti wa uwanja wa ndege wa kimataifa...

Habari Mchanganyiko

TASAF yaombwa kutoa msaada wa mitaji kwa wanufaika

MNUFAIKA wa mpango wa tatu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), wa awamu ya kwanza Antusa Mchau (38), ameiomba serikali kupitia TASAF...

Michezo

Hamisa Mabetto, Rick Ross wajiachia Dubai

  MWANAMITINDO wa Tanzania, Hamisa Mobetto kwa mara ya kwanza amekutana na mwanamuziki wa Kimataifa kutoka Marekani, Rick Ross huko Dubai. Anaripoti Matilda...

ElimuTangulizi

Waliofaulu darasa la saba 2021 wachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2022

  JUMLA ya wanafunzi 907,802 waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka huu wamechaguliwa kujiunga na kidato cha mwaka mwaka 2022. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

CCM yazibana wizara 3 misitu ya hifadhi

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Wizara ya Maliasili na Utalii...

Michezo

Diamond Platnumz amfanyia kufuru Aristotle

  NI kufuru! Ndicho alichokifanya Staa wa Bongofleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz katika harusi ya mpambaji maarufu wa wasanii wa kike, Aris...

Michezo

Mahaba ya Zari kwa Mondi usipime

  UKWELI ni kwamba penzi ni kama pembe la ng’ombe, kulificha huwezi! ndivyo mahaba ya Mwanamama Zarina Hassan kwa mkali wa Bongofleva, Naseeb...

Michezo

Rais Samia: Watanzania tusikate tamaa matokeo Taifa Stars

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewasihi Watanzania na wadau wote wa soka nchini kutokata tamaa kutokana na matokeo ya Timu ya Taifa (Taifa...

KimataifaMakala & Uchambuzi

SANKARA: Rais aliyetendwa vibaya na swahiba, alipinduliwa na kuuawa

  NI takribani miaka 34 imepita tangu kuuawa kwa aliyekuwa Rais wa Burkina Faso, Thomas Sankara. Lakini kesi juu ya mauaji yake imeanza...

error: Content is protected !!