Friday , 19 April 2024
Home erasto
1150 Articles147 Comments
Habari Mchanganyiko

BAKWATA yampinga “Mtume wa uongo” Pwani

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limewataka waumini wake na watanzania wote nchini kumpuuza mtu mmoja aliyejitokeza huko mkoani Pwani, akidai kuwa yeye...

Habari za Siasa

Meya wa jiji atoa siku 12 kwa wakwepa kodi

MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Issaya Mwita ametoa siku 12 kwa wafanyabiashara wasiolipa kodi katika Kituo cha Mabasi yaendayo mikoani cha...

Habari Mchanganyiko

Sirro abadilisha makamanda wa polisi

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, amefanya mabadiliko ya makamanda wa polisi katika maeneo kadhaa, anaandika Catherine Kayombo. Miongoni mwa...

Kimataifa

Viongozi wa mashitaka Uganda wasitisha mgomo

VIONGOZI wa mashitaka nchini Uganda waliogoma wakidai  ongezeko la mishahara wamekubali ombi la serikali la kurejea kazini huku wakati madai yao yakishughulikiwa, anaandika...

Kimataifa

Maseneta wamgomea Trump kuhusu Obama Care

JUHUDI za rais wa Marekani, Donald Trump, kuubadilisha muswada wa afya wa Obamacare zinaelekea kugonga mwamba kufuatia baadhi ya viongozi katika chama cha...

Habari za Siasa

 Lissu amtetea Dk. Mashinji 

MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema) ameikosoa serikali kuhusu namna inavyoshughulikia suala la uchochezi   katika serikali ya awamu ya tano,...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar wakamata watuhumiwa 200

JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam, limewakamata watuhumiwa mbalimbali wanaojihusisha na makosa mbalimbali ya kiuhalifu yakiwemo makosa ya kutumia madawa ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Anayebisha Rais Magufuli siyo dikteta hana akili timamu

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amezidi kusisitiza kuwa Rais John Magufuli ni dikteta na anayebisha hana akili...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ashutumiwa na ukabila

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema amemvaa tena Rais John Magufuli na sasa amemshutumu kwa kuendesha nchi kwa misingi ya upendeleo wa kikabila...

Michezo

Taifa Stars yabanwa mbavu nyumbani

TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeshindwa kutamba katika uwanja wa nyumbani baada ya kukubali sare ya bao 1-1 dhidi ya Rwanda...

Habari za Siasa

Sumaye – sasa tunaelekea vijijini

MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Pwani, Fredrick Sumaye, amesema chama chake kitazunguka nchi nzima kuelimisha wananchi juu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Sumaye akemea serikali kunyanyasa wapinzani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Pwani kimekemea serikali kwa matumizi mabaya ya sheria za nchi dhidi ya viongozi na wanachama...

Habari Mchanganyiko

ACACIA yakubali kuilipa serikali

ACACIA Mining Limited imekubali kuilipa serikali mrabaha wa asilimia sita (6%) baada ya sheria ya madini kubadilishwa, anaandika Victoria Chance. Kampuni hiyo inayomiliki...

Michezo

Yanga yamtangaza mrithi wa Muro

KLABU ya Yanga imemtangaza Dismas Ten kuwa Ofisa habari wa klabu hiyo ambaye anachuku nafasi ya Jerry Muro, anaandika Jovina Patrick. Dismas ambaye...

Habari Mchanganyiko

Risiti za mafuta kaa ya moto kwa vituo

CHRISTINA Mndeme, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini amevifungia vituo nane vya mafuta visivyofuata sheria za utendaji wilayani hapo ikiwemo kutokuwa na mashine...

Habari Mchanganyiko

TCRA yavuna Sh. 9.6 bil kutoka kampuni za simu

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekusanya Sh. 9.6 bilioni kutoka kwa kampuni za simu za mkononi kutokana na faini walizotakiwa kulipa baada ya...

Habari Mchanganyiko

Ufaransa yakubali kumaliza tofauti na Marekani

EMMANUEL Macron, Rais wa Ufaransa ameafiki uamuzi wa Donald Trump, Rais wa Marekani kijitoa katika mkataba wa mabadiliko ya tabia nchi wa Ufaransa,...

Habari za SiasaTangulizi

TRA kupiga mnada jengo la Star TV

KAMPUNI ya Sahara Media Group (SMG), inayomiliki kituo cha Televisheni Star tv, Redio Free Africa (RFA) na Kiss FM imefungwa na Mamlaka ya...

ElimuHabari Mchanganyiko

Veta yaanzisha kozi ya makanikia

CHUO cha Ufundi Stadi (VETA) kimeanzisha kozi itakayozalisha wahitimu watakaosaidia kuchakata na kung’arisha madini ya vito, anaandika Jovina Patrick. Kozi hiyo inakuja kipindi...

Habari Mchanganyiko

Sirro afanya uteuzi mwingine

SIMON Sirro, Mkuu wa  Jeshi la Polisi nchini (IGP) amefanya mabadiliko ya kamanda wa kikosi cha usalama Barabarani pamoja na kamanda wa polisi...

Habari Mchanganyiko

‘Boda to boda’ kuzinduliwa kesho

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Foundation For Civil Society (FSC) kesho linatarajia kuzindua kampeni ya “Chungulia Fursa Boda to Bado,” anaandika Victoria Chance....

Kimataifa

Rais Brazil atupwa jela

RAIS wa zamani wa Brazil, Lula da Silva, amehukimiwa kifungo cha miaka tisa na nusu gerezani, baada ya kupatikana na hatia ya kupokea...

Kimataifa

Punguzo la posho lawa moto Kenya

MAOFISA wa ngazi ya juu pamoja na wanasiasa wa upinzani nchini Kenya hawajatoa sauti kuhusiana na tamko la Tume ya Mishahara ya serikali...

ElimuHabari Mchanganyiko

Kesi ya Lusako bado

KESI ya Alphonce Lusako, mwanafunzi wa zamani wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anayehangaikia haki yake ya kikatiba ya kujiendeleza kielimu baada...

Kimataifa

Somalia yaandaa mfumo wa ‘kura moja mtu mmoja’ 2021

WATAALAMU wa masuala ya uchaguzi kutoka nchi za Kiarabu na barani Afrika wamemaliza mkutano jijini Nairobi uliolenga kuipatia Somalia mfumo bora wa uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu amchongea Ngeleja Takukuru

TUNDU Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) amemuwakia William Ngeleja, Mbunge wa Sengerema baada ya kurudisha...

Habari Mchanganyiko

Mashine ya kuzalisha mkaa wa kutengeneza yazinduliwa

KAMPUNI ya Kuja na Kushoka Tools Manufactures Group kimezindua mashine ya kutengeneza mkaa unatokana na taka na kukaushia zao la tumbaku, anaandika Irene...

Michezo

Rooney afunika Dar, Mwakyembe afurahia

IKIWA imebaki siku moja tu kufikia Julai 13, siku ya mechi ya Everton ya Uingereza na mabingwa wa Sportspesa, Gor Mahia itachezwa katika...

Kimataifa

China yajitosa kulinda amani Afrika

JESHI la China inajipanga kuweka kambi ya kijeshi nchini Djibouti huku lengo mojawapo likiwa ni kulinda amani kwa nchi za Afrika na Magharibi...

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee ashtakiwa kwa matusi, aachiwa kwa dhamana

HALIMA Mdee,Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa shtaka la...

Habari za Siasa

Wanafunzi wajawazito wamganda Rais Magufuli

WANAFUNZI wa wanaopata ujauzito kutorudi shuleni wamezidi kumkera Rais John Magufuli kwani pamoja na kupiga marufuku, amekuwa akiendelea kuchimba ‘mkwara’ kila anapopata nafasi,...

Habari za Siasa

Chadema wajitosa kumng’oa Prof. Lipumba Buguruni

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Pwani kimeanzisha operesheni maalumu ya kusaidia Chama cha Wananchi (CUF) kumwondoa Profesa Ibrahim Lipumba katika...

Habari za SiasaTangulizi

Maswali sita Ngeleja kurudisha fedha za Rugemalira

KITENDO cha William Ngeleja, Mbunge wa Sengerema kurudisha fedha alizopewa miaka mitatu iliyopita na mfanyabiashara James Rugemalira, kimezua maswali sita ambayo hayawezi kuwa...

Habari za Siasa

Madiwani CUF ‘wamzodoa’ Lipumba

JUMLA ya madiwani 19 kati ya 21 wa Chama cha Wananchi (CUF), katika jiji la Dar es Salaam, wameunga mkono msimamo wa Katibu Mkuu...

Habari za Siasa

Dk. Tulia amdhibiti Mbunge wa CCM

TULIA Ackson, Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemtaka Rashidi Shangazi, Mbunge wa Mlalo, mkoani Tanga kufuta kauli yake...

Michezo

Bocco aitwa Sauzi kumrithi Mbaraka

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa Tanzania, Salum Mayanga amemuongeza kwenye kikosi straika wa Simba, John Bocco kuchukua nafasi ya Mbaraka Yussuf aliyekuwa...

Habari za Siasa

Wabunge wa Chadema wahojiwa Polisi

BAADA ya wabunge nane wa Chadema kukamatwa na kuachiwa kwa dhamana jana usiku, leo wametakiwa kuripoti Polisi mjini Dodoma kwa mahojiano zaidi, anaandika...

Kimataifa

Korea Kaskazini yazidi kuichokonoa Japan

KOREA Kaskazini imeendelea kuichokonoa Japan kwa kurusha kombora lingine la masafa marefu ambalo linasadikika limedondokea katika bahari ya Japan, anaandika Catherine Kayombo. Kombora...

Habari Mchanganyiko

Mtandao wa wanafunzi wampinga Rais Magufuli

KAULI ya Rais John Magufuli kuwataka wanafunzi wote wa kike wa shule za msingi na sekondari watakaopata ujauzito kutorejea mashuleni imeendelea kupingwa na...

Habari za Siasa

Chadema wamkemea JPM

KAULI ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  John Magufuli kuwa wakati wa utawala wake hakuna wanafunzi wataopata ujauzito wataruhusiwa kurejea masomoni baada...

Habari za Siasa

Mdee ampuuza Ndugai

HALIMA James Mdee, Mbunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema kauli ya Job Ndugai kwamba wabunge waliopewa...

Habari za Siasa

RC Makalla aishangaa Serikali kuu

AMOS Makalla, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, ameshangazwa na hatua ya serikali kuu kupeleka fedha Sh. 9.6 bilioni kwa uongozi wa Chuo cha...

Habari za Siasa

Bunge lisiwe ndumilakuwili – Kubenea

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, amehoji uhalali wa Bunge kuwaadhibu wabunge wa upinzani na “kuwanyamazia” wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), anaandika Erasto...

MichezoTangulizi

Yanga wamwaga mboga, Simba kubinua sahani na bakuli

KLABU ya Simba imeitaka Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) mpaka kufikia Machi 24, 2017,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Pumzika kwa amani Isango wangu

NIMEPOKEA kwa mstuko mkubwa taarifa ya kifo cha mwandishi wa habari mwenzetu na aliyekuwa mfanyakazi wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Limited (HHPL),...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif: Uvumilivu wetu umefika mwisho

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad amesema viongozi na wanachama wa chama hicho wapo tayari kwa lolote kutokana...

Habari za SiasaTangulizi

Lowassa aitikisa CCM, yatimua masalia yake

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimefanya maamuzi magumu kwa kuwafuta uanachama viongozi wake waliopatikana na makosa ya maadili kinyume na katiba na kanuni za...

Michezo

Ukata wamuondoa Pluijm Yanga

KLABU ya Yanga imesitisha mkataba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Ufundi, Hans Van Der Pluijm kutokana na klabu hiyo kutokuwa na uwezo wa kuendelea...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea kurudi tena Ubungo

MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, ataendelea na ziara yake ya kikazi – kiserikali – ndani ya jimbo lake, kuanzia Jumatatu ya tarehe...

Michezo

Serengeti Boys kutinga Bungeni Kesho

Timu ya Taifa ya Vijana chini ya Umri wa Miaka 17, ‘Serengeti Boys’ ikiongozwa na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini...

error: Content is protected !!