Thursday , 25 April 2024
Home erasto
1150 Articles147 Comments
Makala & Uchambuzi

Tume ya Uchaguzi Kenya yalegeza masharti

TUME ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), imeazimia kuongeza muda wa kupiga kura siku ya uchaguzi katika maeneo yenye sheria ya muda...

Kimataifa

Marekani na Korea wazidi kuvimbiana

Rex Tellerson, Waziri wa Mambo ya Kigeni  Nchini Marekani amejibu juu ya jaribio la pili la kombora la masafa marefu lililofanywa na Korea Kaskazini,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbivu na mbichi wabunge wa CUF kujulikana Agost 4

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania inatarajia kutoa uamuzi kuhusiana na mapingamizi yaliyotolewa na upande wa serikali katika kesi iliyofunguliwa na wabunge nane wa Chama...

Habari za SiasaTangulizi

Meya Jacob kama Lissu,  amparura Magufuli

BONIPHACE   Jacob, Mstahiki Meya Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaama amemtaka Rais John Magufuli, Rais wa Jamuhuri ya Muungano  kuwakemea...

Makala & Uchambuzi

Wadau wasisitiza kutunza amani Kenya

WITO wa amani umeendelea kutolewa kwa wananchi nchini Kenya kuelekea uchaguzi mkuu, ili kuepusha machafuko yaliyozuka katika uchaguzi wa mwaka 2007, anaandika Catherine...

Makala & Uchambuzi

Marekani, Uingereza kuchunguza kifo cha Musando wa Kenya

MAUAJI ya Kaimu Mkurugenzi wa Masuala Teknolojia wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka Nchini Kenya (IEBC), yameziibua nchi za Marekani na Uingereza na...

Habari Mchanganyiko

Serikali yajibu mapigo ya Mbowe

HATIMAYE  hoja zilizotolewa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zimemuibua msemaji wa serikali wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Hassan Abbas, anaandika...

Kimataifa

Algeria yajiita maskini jeuri

ALGERIA imesema haitachukua mkopo wa kigeni licha ya nchi hiyo kukabiliwa na matatizo mengi ya ndani hususani ya kiuchumi, anaandika Victoria Chance. Uchumi...

Kimataifa

Korea Kaskazini yazidi kuililia Marekani

SERIKALI ya Korea Kaskazini imeionya Marekani isitumie njia za vikwazo zaidi wala za kijeshi dhidi ya Pyongyang, anaandika Hellen Sisya. Wizara ya Mambo...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu: Hatutanyamaza

MARA baada ya kuachiwa huru na mahakama, Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, ametupa dongo lingine kwa Rais John Magufuli kwa kumwambia kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu aibwaga serikali, apata dhamana

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, hatimaye amepata dhamana baada ya ombi la mawakili wa serikali la kuomba mahakam imnyime dhamana kutupiliwa mbali,...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai abariki timua timua ya Prof. Lipumba

JOB Ndugai, Spika wa Bunge amebariki kuvuliwa uanachama kwa wabunge nane wa Chama cha Wananchi (CUF) na anayedai kuwa Mwenyekiti halali wa chama...

Elimu

TCU yafafanua ada ya usajili wanavyuo

SERIKALI kupitia Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imeviagiza vyuo vikuu kote nchini kutoza kiasi cha pesa kisichozidi Sh. 10,000 kwa kila mwanafunzi...

Habari Mchanganyiko

Tamasha la utamaduni kufanyika Dar

KAMPUNI ya masoko inayojishughulisha na ushauri na mikakati kwa wateja ZECHY Afrika imeandaa tamasha la kusheherekea utamaduni wa mtanzania (Chemichemi Canival) litakalofanyika mwezi...

Elimu

Maonyesho ya vyuo vikuu yafunguliwa Dar

WAZIRI Mkuu, Kasimu Majaliwa leo amefungua rasmi maonyesho ya 12 ya vyuo vikuu hapa nchini, anaandika Victoria Chance. Maonyesho hayo ya siku tatu...

Habari Mchanganyiko

Mwakyembe awashukuru Watanzania

WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk.Harrison Mwakyembe, amewashukuru viongozi mbalimbali wa serikali na Watanzania wote kwa ujumla waliohusika kufanikisha shughuli nzima...

Kimataifa

Marekani yaziwekea vikwazo Urusi, Korea

BARAZA la Wawakilishi nchini Marekani limepiga kura ya kziwekea vikwazo nchi za Urusi, Korea Kaskazini na Iran kutokana na kufanya makosa mbalimbali, anaandika...

Habari za Siasa

Wanachama 54 Chadema wambwaga OCD wa Geita

MAWAKILI wanaowatetea wanachama 54 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema), wameshinda pingamizi la Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Geita, Mponjoli...

Kimataifa

Wanaharakati wahukumiwa kifungo cha maisha nchini Misri

Mahakama ya Jinai nchini Misri imewahukumu kifungo cha maisha jela wanaharakati 43 wa Ikhwanul Muslimin, anaandika Hellen Sisya. Katika hukumu hiyo mahakama hiyo imesema...

Habari Mchanganyiko

Wakili Makene alilia fedha za ada ya TLS

WAKILI wa kujitegemea ambaye pia ni mwanachama wa Chama Cha Mawakili Tanzania Bara(TLS), Emmanuel Makene amekilalamikia Chama hicho kuwa hakiwasaidii wanachama wake wakati...

Habari za SiasaTangulizi

Fatma Karume naye amvaa Rais Magufuli

FATUMA Karume, wakili wa Tundu Lissu, Mwanasheria mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amesema kila mtu ana haki ya kumkosoa Rais,...

Habari za Siasa

JPM amewataka Watanzania kuvumiliana

RAIS John Magufuli, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka Watanzania kuwa na mioyo ya kuvumiliana, anaandika Hellen Sisya. Rais Magufuli ameyasema...

Habari Mchanganyiko

Wenye ulemavu waiangukia serikali ya JPM

CHAMA cha walemavu Tanzania (CHAWATA), kimeiomba serikali ya awamu ya tano kuwaangalia kwa jicho la tatu katika swala zima la uchumi wao, anaandika Victoria...

Habari za SiasaTangulizi

Hekima za Ndugai kuokoa wabunge nane wa CUF

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa bado anaitafakari barua ambayo ameipokea kutoka kwa, Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu kumkuta ya Lema?

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, amenyimwa dhamana baada ya kufikishwa katika Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa mashtaka ya kutoa...

Kimataifa

Rais Kabila kushinikizwa kuachia ngazi mwaka huu

CHAMA cha Upinzani cha Union For Democracy and Social Progress (UDPS) cha DRC kimebainisha mpango wake wa kumshinikiza rais Joseph Kabila kuondoka madarakani,...

Kimataifa

Bunge la Congress kufanya maamuzi kwa Trump

BUNGE la Congress limetaka Urusi iadhibiwe kwa kosa la kuingilia uchaguzi wa rais uliofanyika mwaka jana nchini Marekani, anaandika Catherine Kayombo. Bunge hilo...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu afikishwa mahakamani Kisutu muda huu

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS), baada ya kuwekwa mahabusu siku nne, hatimaye amefikishwa katika...

Kimataifa

Msemaji wa White House ya Trump aachia ngazi

MSEMAJI wa rais wa Marekani, Donald Trump amejiuzulu kufuatia uteuzi wa rais wa mkurugenzi mpya wa mawasiliano nchini humo, anaandika Catherine Kayombo. Sean...

Kimataifa

Marekani yaitishia Nyau Sudan Kusini

MAREKANI imetishia kusitisha misaada kwa viongozi wa Sudan Kusini endapo hawatashiriki katika mazungumzo ya ngazi ya juu na kushindwa kuheshimu muda wa mwisho...

Kimataifa

Mwanamuziki apiga gitaa wakati wa upasuaji

MWANAMUZIKI nchini India apiga gitaa kwenye meza ya kufanyia upasuaji ili kuwasaidia madaktari kutibu mishipa (involuntary muscle spasms) katika vidole vyake, anaandika Jovina...

Kimataifa

Vijana wa Burundi ”wazamia” nchini Marekani

VIJANA sita wakiwamo wavulana wanne na wasichana wawili kutoka  Burundi waliokuwa wakishiriki katika mashindano ya roboti yaliyokuwa yakifanyika  jijini Washington DC, wametoweka nchini...

Kimataifa

Kim Jong-un aitambia Marekani

Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini  amesema kuwa, vitisho vya hivi karibuni vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yake, ni...

Habari Mchanganyiko

Mabadiliko katika sekta ya madini

Wizara ya Nishati na Madini imefanya mabadiliko kufuatia kupitishwa kwa sheria mpya ‘the written laws (miscellaneous amendmend ) Act 2017  iliyofanyiwa marekebisho kadhaa...

Kimataifa

Wapinzani Uganda wala ‘kibano’ kama wa Tanzania

POLISI nchini Uganda imewatia mbaroni wapinzani waliofanya mkusanyiko wa kupinga serikali wiki iliyopita, anaandika Hellen Sisya. Emilian Kayima, Msemaji wa jeshi la polisi...

Elimu

Vyuo vikuu vya ‘wababaishaji’ kukiona

TUME ya vyuo vikuu nchini (TCU), imesema itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya vyuo vikuu ambavyo vitatangaza kozi ambazo hazitambuliki na tume...

Habari Mchanganyiko

ALAT kuhamia mkoani Dodoma mwezi ujao

JUMUIYA ya Tawala ya Mitaa (ALAT) Tanzania inatarajia kuhamia mkoani  Dodoma ifikapo tarehe 1 mwaka huu, ikiwa ni  sehemu ya kutekeleza agizo la Rais John...

Elimu

Vyuo 80 kushiriki maonesho ya elimu ya juu

VYUO takribani 80 vinatarajiwa kushiriki maonesho ya elimu ya juu, sayansi na teknolojia yanayotarajiwa kufanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es...

Kimataifa

Bunge Poland lapewa ”meno” kufukuza majaji

BUNGE la taifa nchini Poland limepitisha muswaada unaolipa nguvu ya kuteua au kutengua viongozi wa mahakama kuu wakiwemo majaji wa juu, anaandika  Catherine...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar yanasa 44 wizi wa magari

JESHI la Polisi Kanda maalum Dar es salaam limewakamata watuhumiwa 44 wa wizi wa vifaa vya magari pamoja na vifaa hivyo vya magari,  katika oparesheni...

Elimu

TCU yajivua rasmi udahili wa wanafunzi

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imejivua rasmi jukumu la kusimamia suala la udahili kwa wanafunzi ambao wanatarajia kujiunga na masomo ya elimu...

Habari Mchanganyiko

Chama cha wapangaji waibua madai mapya

CHAMA cha Wapangaji   Tanzania (Tanzania Tenants Association), kimeiomba serikali kuweka chombo maalum kwa ajili ya kulinda maslahi ya wapangaji, anaandikaCatherine Kayombo. Akizungumza na wanahabari,...

Habari za Siasa

Kubenea: Nitauza hata kiatu kumwondoa Lipumba

MBUNGE wa Jimbo la Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, amesema yupo tayari kuuza chochote alichonacho hadi afanikishwe operesheni ya kumwondoa ofisini Prof. Ibrahim Lipumba...

Habari za Siasa

Mbunge Kubenea kuhojiwa Polisi Dar 

MBUNGE wa Jimbo la Ubungo (Chadema), Saed Kubenea  amemtaka mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), anayetambulika na Msajili wa Vyama Vya Siasa Nchini...

Kimataifa

UN yashutumu jeshi la DRC kwa mauaji

WACHUNGUZI wa Umoja wa Mataifa wanaochunguza  mauaji ya wataalam wao nchini DRC wamebaini kwamba wanajeshi wa serikali ya hiyo wanahusika na mauaji hayo,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baada ya kufungiwa vituo vyake, Diallo aburuzwa mahakamani

ANTONY Diallo, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Sahara Media Group (SMG), inayomiliki kituo cha televisheni Star TV, Redio Free Africa (RFA) na Kiss...

Habari za Siasa

Polisi walikoroga Ruvuma, wazuia vikao vya ndani vya Chadema

JESHI la Polisi mkoani Ruvuma limekizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kufanya mikutano ya ndani, anaandika Irene David. Katazo hilo limekuja siku...

Kimataifa

Hekaheka za uchaguzi nchini Kenya 

VIFAA mbalimbali kwa ajili ya kufanikisha uchaguzi mkuu nchini Kenya vimeanza kuwasili nchini humo kutokea Dubai, anaandika Catherine Kayombo. Miongoni mwa vifaa hivyo...

Habari za SiasaTangulizi

Hiki ndicho anachokitamani Tundu Lissu

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, amewaeleza Watanzania kuwa kitu pekee ambacho kinaweza kuikomboa nchi kutoingia katika machafuko, anaandika Hellen Sisya. Fuatilia VIDEO HII...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara Ubungo wacharuka

MFANYABIASHARA ambaye pia ni Naibu katibu wa Wafanyabiashara kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es salaam, John Shayo ametangaza kuuburuza mahakamani uongozi...

error: Content is protected !!