Thursday , 25 April 2024
Home erasto
1150 Articles147 Comments
Habari Mchanganyiko

Shirika la Posta labadili nembo yake

SHIRIKA la Posta Tanzania, limezindua nembo mpya ya shirika hilo baada ya ile ya zamani kukaa zaidi ya miaka 24 hadi kufika leo,...

Afya

Uhaba wa vitanda watesa wachangia damu

MPANGO wa Damu Salama, unakabiliwa na uhaba wa vitanda kwa vinavyotumiwa na watu wanaofika hapo kwa ajili ya kuchangia damu kwa hiari, anaandika...

Habari Mchanganyiko

Ripoti ya Tume ya Waziri Mkuu mgogoro wa Loliondo hii hapa, Prof. Magembe akaangwa

TUME iliyoundwa na Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa kuchunguza mgogoro wa ardhi uliodumu zaidi ya miaka 26 katika vijiji vinavyopakana na hifadhi ya taifa...

Habari Mchanganyiko

Kupotea kwa Mwandishi wahabari, THRDC yatua Kibiti

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) kwa kushirikiana na wadau wengine wameunda kamati ndogo ya uchunguzi na kuituma Kibiti kuthibitsha...

Habari Mchanganyiko

Kiama cha madalali na wenye nyumba chaja

KIAMA cha madalali wa kupangisha nyumba na wamiliki wa nyumba za kupangisha kinakuja baada ya serikali kukusudia kupeleka mswada wa sheria bungeni wa...

Habari Mchanganyiko

Amwachisha mtoto ziwa baada ya kubakwa

NASYEKZI  Lilash, mwanamke na mkazi wa Kijiji cha Arash, Tarafa ya Loliondo, Wilaya ya Ngorongoro, Mkoani Arusha, amelazimika kumwachisha ziwa mtoto wake wa...

Habari za SiasaTangulizi

Wadau katiba mpya wamtupia neno Rais Magufuli

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), kimeibuka na kusema kwamba hatma ya katiba mpya ipo mikononi mwa Rais John Magufuli kama atakuwa...

Habari Mchanganyiko

Watoto wa Loliondo walazimika kuajiriwa kuyakabili maisha

BAADA ya kuathirika kiuchumi kutokana na operesheni ondoa mifugo, katika vijiji vinavyopatakana na hifadhi ya Serengeti, Loliondo, wilayani Ngorongoro, sasa watoto walazimika kufanya...

Habari za SiasaTangulizi

Julius Mtatiro ‘avibwatukia’ vyama vya upinzani

WADAU mbalimbali wa masuala ya siasa za Tanzania wamezidi kutoa maoni yao kuhusu uchaguzi mdogo wa marudio ya udiwani ambao ulifanyika jana katika...

Habari za Siasa

Nini kimetokea uchaguzi marudio udiwani

KATIKA hali ya kawaida mtu anaweza kujiuliza nini kimetokea katika uchaguzi wa marudio katika kata 43 hapa nchini. Siku za hivi karibuni kumekuwa...

Habari Mchanganyiko

Risasi zakosesha soko ng’ombe wa Loliondo

BAADHI ya ng’ombe katika kijiji cha Arash Loliondo, Ngorongoro, mkoani Arusha, wameshindwa kupata soko kutokana na kuwa na majeraha ya risasi huku wengine wakiendelea...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watanzania waishi kama wakimbizi nchini mwao

FAMILIA ya watu 19 imeeleza namna inavyolala chini ya mti baada ya nyumba yao kubomolewa katika operesheni ya kuwaondoa wafugaji iliyofanyika Loliondo, Ngorongoro,...

Habari Mchanganyiko

Taasisi za Serikali zaikacha Shirika la Posta

IMEELEZWA pamoja na Shirika la Posta kumilikiwa na serikali kwa asilimia 100, ni asilimia 20 tu ya taasisi za serikali ndio zinatumia huduma...

Habari za SiasaTangulizi

Waliombeza Dk. Shika kuumbuka, adai mabilioni yake kutua Tanzania

BILIONEA wa nyumba za Lugumi aliyeteka vichwa vya habari siku za hivi karibuni, Dk. Louis Shika, amekamilisha malipo ya bima kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

Mama aeleza askari wa wanyamapori walivyombaka

MWANAMKE mmoja mkazi wa Kijiji cha Arash Tarafa ya Loliondo, wilayani Ngorongoro, Arusha, Nondomoli Saile, ambaye ameathirika na vitendo vya ubakaji wakati wa...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji: Kupiga chapa mifugo mwarobaini wa mgogoro

BAADA ya kudumu kwa mgogoro wa Ardhi kwa muda mrefu katika eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kati ya wafugaji na hifadhi,...

Habari za Siasa

Wafugaji kumsaidia Dk. Kigwangalla mgogoro wa Loliondo

JAMII ya Wafugaji wa Loliondo, Ngorongoro, mkoani Arusha, wamesema kuanzia sasa watakuwa wa kwanza kutoa taarifa kwa yeyote atakayebainika kuingiza mifugo kwenye eneo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli asema kulima mtoni ruksa

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Rais John Magufuli ameondoa amri ya kuwazuia wananchi kulima katika maeneo ya mito na kuwataka kuendelea kufanya hivyo...

Habari Mchanganyiko

EU yamwaga fedha kwa ajili ya umeme vijijini

UMOJA wa Ulaya (EU), umetoa msaada wa Euro Milioni 50 ambazo ni sawa na takribani Sh. bilioni 130 kwa ajili ya miradi ya...

Habari Mchanganyiko

Mawasiliano ya barabara Dar mikoani yarejea

MAWASILIANO ya barabara kati ya jiji la Dar es Salaam na mikoani imerejea leo baada ya magari kuanza kupita katika daraja la Kiluvya...

Habari za SiasaTangulizi

Waziri wa Kikwete asema Tanzania hapafai kufanyia siasa

GOODLUCK ole Medeye, aliyepata kuwa naibu waziri katika serikali ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ameibuka na kusema mazingira ya sasa nchini hayafai kufanya...

Kimataifa

Eneo la Catalonia latangaza kujitawala

SERIKALI ya eneo la Catalonia nchini Hispania imetangaza kupata ushindi wa kujitawala baada ya wakazi wake kushiriki kwa wingi katika kura ya maoni...

Kimataifa

Waliotekeleza ghasia Cameroon wamtibua rais

RAIS wa Cameroon, Paul Biya amelaani ghasia zilizotekelezwa na wananchi na kusababisha mauaji ya watu nane wakati wa maandamano ya raia wa nchi...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai agomea milioni 43 matibabu ya Lissu.

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ametua nchini akitokea nchini Kenya anapomuuguza Mbunge wa Singida Mashariki ( Chadema), Tundu...

Kimataifa

Nyuklia yazidi kumtesa Rais Trump 

RAIS wa Marekani Donald Trump amesaini sheria mpya ya kuongeza vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini juu ya mpango wake wa zana za Nyuklia...

Habari za Siasa

Polisi watanda makao makuu Chadema, wakamata wafuasi

JESHI  la polisi limewakamata watu kadhaa ambao walikuwa wakipita katika ofisi za makao makuu ya chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) zilizopo eneo...

Habari Mchanganyiko

TRA kuwashukia waendesha Bahati Nasibu

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imeanza kutekeleza jukumu la kukusanya kodi kwenye michezo ya kubahatisha jukumu ambalo ilikabidhiwa kuanzia mwezi Julai mwaka huu...

Habari Mchanganyiko

Mgogoro wa ardhi waibuka upya Karagwe

MAMIA ya wananchi wa kijiji cha Chabuhora, wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wanahitaji msaada wa haraka wa chakula, baada ya mashamba na nyumba zao...

Makala & Uchambuzi

Jeshi la Kenya lakamata Warundi wanaotamani ugaidi  

JESHI la polisi nchini Kenya limewakamata watu wanne  raia wa Burundi  waliokuwa wakielekea Somalia kujiunga na kundi la kighaidi la Al-Shabab, anaandika Catherine Kayombo. Kwa...

Kimataifa

Machafuko yakosesha watoto elimu DRC 

ASASI isiyo ya kiserikali nchini kongo imesema  watoto wengi zaidi wanakosa elimu kutokana na mgogoro na mfumo duni wa elimu wa nchi hiyo....

Habari za Siasa

Watumishi ofisi ya Magufuli wapigwa mkwara

OFISI ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR_MUU) imeshutumu wafanyakazi katika yake kwa kukwamisha malengo ya serikali kuhusu  maadili ya watumishi kwa kuwa...

Habari Mchanganyiko

IGP  Sirro aambiwa aanze na Makonda

Benson Kigaila, Mkurugenzi wa Mafunzo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemtuhumu  kamanda Simon Sirro, mkuu wa jeshi la polisi nchini kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yazidi kumtekenya Magufuli, wasema anahusika kumdhuru Lissu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeituhumu serikali ya rais John Magufuli kuwa inahusika na tukio la shambulio la kifo dhidi ya Tundu...

Habari za Siasa

Kesi ya Mdee kumtusi Magufuli yapigwa kalenda

KESI inayomkabili mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), imepigwa kalenda hadi Oktoba 11,mwaka huu itakapoanza kusikilizwa, anaandika Hellen Sisya. Mdee ambaye pia ni...

Kimataifa

‘Saudi Arabia imekiri kushindwa’

NAIBU Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassim amesema kuwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia inaonesha...

Kimataifa

Zaidi ya nyumba milioni 3.4 kukosa umeme Marekani

KIMBUNGA cha Irma kimesababisha vifo vitatu baada ya kutua katika jimbo la Florida kikitokea kisiwa cha Marco magharibi mwa pwani ya Florida nchini...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mkuu Rasmi Kuanza Kazi

Rais wa Tanzania  Dkt John Mgufuli, amemwapisha Jaji Mkuu wa Tanzania, Ibrahim Hamis Juma, ambapo awali alikuwa akikaimu nafasi alikuwa Kaimu Jaji Mkuu...

Kimataifa

Rais wa Mali kufungua kambi ya kijeshi

RAIS wa nchini Mali, Boubacar Keita amefungua kambi ya majeshi  inayohusisha nchi tano za Afrika yenye lengo la kupambana na wanamgambo katika eneo...

Kimataifa

Wakimbizi wa Burundi waanza kurejea kwao

AWAMU ya kwanza ya wakimbizi wa kutoka Burundi wanaorejea kwa hiari yao kutoka Tanzania wanatarajiwa kuwasili nchini mwao hii leo, anaandika Jovina Patrick....

Kimataifa

Korea washangilia bomu la Nyuklia

KOREA Kaskazini imefanya sherehe kubwa kwa ajili ya kuwaenzi wanasayansi waliofanikisha majaribio makubwa ya bomu la Nyuklia nchini humo, anaandika Irene Emmanuel. Sherehe...

Habari za SiasaTangulizi

Mawaziri Simbachawene, Ngonyani wang’oka, Prof. Mruma abebwa

MAWAZIRI wawili wa serikali ya awamu ya tano, wameachia ngazi muda mfupi baada ya Rais John Magufuli kuwataka kufanya hivyo leo asubuhi, anaandika...

Habari Mchanganyiko

Polisi wampiga risasi mtuhumiwa utekaji watoto Arusha

MTUHUMIWA aliyekuwa ameshikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Arusha kwa kuhusika na utekaji na mauaji ya watoto wawili Maureen na Ikram amefariki dunia...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema watetea wabunge wasiwe ombaomba

VICENT Mashinji, Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amelituhumu Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuvunja Katiba ya...

Tangulizi

Chadema watishia ‘Nyau’ kuhusu Ukuta

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetonesha kidonda kilichopona baada ya kusisitiza kwamba bado kina dhamira ya kufanya maandamano kwa nchi nzima waliyoyapa...

Habari Mchanganyiko

Walemavu wapaza sauti zao

CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) kinatarajia kuanzisha mradi maalum utakaosaidia viziwi na watendaji wa serikali za mitaa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya mafungu...

Kimataifa

Marekani yaonyesha uoga kwa Korea Kaskazini

MAREKANI imeapa kujibu shambulio lolote la kijeshi kutoka Korea Kaskazini dhidi ya nchi hiyo ama washirika wake, anaandika Irene David. Hayo yamesemwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Mbivu na mbichi za ‘dikteta uchwara’ Oktoba 4

UAMUZI mdogo kuhusiana na kesi ya “dikteta uchwara” inayomkabili Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu unatarajiwa kutolewa Oktoba...

Habari Mchanganyiko

Huduma za Mkemia Mkuu zafika mikoani

MAMLAKA ya Mkemia Mkuu wa Serikali imelenga kuimarisha utendaji kazi wa maabara  katika kanda zake za Nyanda za juu kusini, na kanda ya...

Michezo

Riadha yazidi kuing’arisha Tanzania

MCHEZO wa riadha umeendelea kuing’arisha Tanzania baada ya kuzoa medali 10 katika michezo ya Afrika Mashariki kwa wanafunzi wa shule za sekondari, yaliyofanyika...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yasisitiza kufanya maandamano kesho

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesisitiza kwamba maandamano ya amani ambayo yalipangwa kufanyika kesho nchi nzima yatafanyika, anaandika Hellen Sisya. Akizungumza na...

error: Content is protected !!