Friday , 29 March 2024
Home erasto
1146 Articles147 Comments
Afya

Serikali yapanga mikakati ya kuzuia Ebola

SERIKALI kupitia Wizara ya Áfya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yaendelea kuweka mikakati thabiti katika maeneo yote hatarishi ikiwemo mipakani na...

Michezo

Makapu afiwa na mama yake mzazi, aachwa Dar

SAID Juma Makapu amefiwa na mama yake mzazi nyumbani kwao Zanzibar, hivyo kusababishwa kuondolewa katika orodha ya wachezaji wa Yanga wanaosafiri kuelekea nchini...

Michezo

Basila aahidi zawadi ya uhakika kwa mshindi

BASILA Mwanukizi, Mkurugenzi wa kampuni ya Look LTD ambao ni waandaaji wapya wa Shindano la Miss Tanzania kwa mwaka 2018 amesema kuwa atahakikisha...

Afya

Upandikizaji figo wazidi kufanikiwa Muhimbili

IDADI ya wagonjwa waliofanyiwa huduma ya kupandikizaa figo katika hospitali ya Taifa Muhimbili imefikia 19 tangu kuanzishwa kwa huduma hiyo mwaka 2017. Anaripoti...

AfyaTangulizi

Serikali yatangaza uwezekano wa Ebola kusambaa kwa kasi

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) unaonesha...

Michezo

Wizara ya habari yamaliza mgogoro wa viwanja Mwenge

WIZARA ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imehamisha umiliki wa viwanja viwili kutoka Makonde kwenda kwa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) vilivyokuwa...

Elimu

China kuwasomesha wataalam wa gesi

SERIKALI ya China imetoa ufadhili kwa wanafunzi 20 kutoka nchini Tanzania kwa ajili ya kwenda China kusoma masuala yahusuyo mafuta na gesi. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba kummaliza rasmi Maalim Seif

HARAKATI za Profesa Ibrahim Lipumba kumtosa Maalim Seif, Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) zinaelekea ukingoni. Anaandika Faki Sosi … (endelea).  Kwa sasa...

Habari Mchanganyiko

Polisi, Dawasco, Tanesco kuanzisha msako mkali

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Tanesco, Dawasco na kampuni mbalimbali za simu za mkononi limeanzisha msako...

Afya

Wajawazito wahimizwa kupima Ukimwi

AKINA Mama wajawazito wametakiwa kuwahi kliniki mara wanapohisi wana ujauzito na kufuata ushauri wa wataamu wa afya ili kuwakinga watoto wanaotarajia kujifungua dhidi...

Elimu

Mtandao wa Wanafunzi waipongeza TCU

MTANDAO wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) umetoa shukrani kwa Tume ya Vyuo Vikuu  (TCU) kwa kukubali ushauri wao wa utaratibu mpya wa wanafunzi wa...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwakyembe awaagiza TCRA kutoa ufafanuzi sakata la ving’amuzi

DK.Harrison Mwakyembe, Waziri wa Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo,  amesema kuwa uamuzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuzitaka kampuni zinazomiliki Zuku, DSTV...

Michezo

Usajiri wamrudisha Van Der Sar Manchester

EDWIN Van Der Sar, mlinda mlango wa zamani wa Manchester United ni moja kati ya majina matatu yaliotajwa kuja kukalia kiti cha Mkurugenzi...

Elimu

TCU waanzisha mfumo mpya kwa wanafunzi wapya

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kuwa na mfumo mpya wa kielektroniki utakomwezesha mwanafunzi kuthibitisha chuo anachokwenda kusoma baada ya kuchaguliwa na...

Afya

Serikali kuwatibu wagonjwa damu nchini

SERIKALI ya Tanzania imesema inafanya mkakati wa kuhakikisha watanzania wote wanaougua magonjwa ya damu watibiwe ndani ya nchi kwa kujengea uwezo hospitali zote...

Habari Mchanganyiko

DC afunga viwanda vya Wachina Kibaha

SERIKALI imevifunga viwanda viwili vya wachina vilivyoko Kibaha mkoa wa Pwani vinavyojihusisha na utengenezaji wa nondo na uzalishaji wa malighafi ya kutengenezea Gypsum...

AfyaTangulizi

Serikali yatangaza tahadhari ya uwepo wa ugonjwa wa Ebola

UMMY Mwalimu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, amewataka watanzania kuchukua tahadhari ya hali ya juu ili kujikinga na...

Afya

Wanawake wanaotumia uzazi wa mpango waongezeka

SERIKALI kupitia Wizara ya Áfya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa idadi ya wanawake wanaotumia huduma za Afya za Kisasa...

MichezoTangulizi

Polisi wajichunguza tuhuma za kumpiga mwandishi

JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limesema linalaani vikali tukio linalosambaa mtandaoni la kupigwa kwa mwandiishi wa habari wa Wapo Radio...

Habari Mchanganyiko

Wananchi watakiwa kutumia maharage ya SUA

JAMII imeshauriwa kubadilika na kula maharage ya SUA Karanga ambayo yanatengenezwa na watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) huku yakiwa...

Habari Mchanganyiko

Viongozi Tanga watakiwa kuwa wabunifu

VIONGOZI na watendaji wakuu wa halmashauri ya Jiji la Tanga wametakiwa kuwa wabunifu katika kuhakikisha wanawafikia wanawake wengi wanaoishi mjini ili waweze kujiunga...

Afya

Utumiaji maji safi na salama, kinga kubwa ya kipindupindu

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesisitiza jamii ya Tanzania juu ya utumiaji wa maji safi na...

Habari za Siasa

Watu 13 wafikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi

WATU 13 wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi ikiwemo utakatishaji fedha wa Sh....

Elimu

Serikali kuinadi Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima

PROFESA Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, amesema Serikali imejipanga kuandaa na kutoa mafunzo ya uwezeshaji wa programu za kisomo na...

Afya

Wizara ya Afya kufanya udahili wa wanafunzi

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto, inatarajia kufanya udahili wa wanafunzi kwa asilimia 100 kutoka wanafunzi 150...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watekaji waliotumia gari ya UN, wanaswa

JESHI la Polisi Kanda Maluum ya Dar es salaam linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuteka watu na kudai fedha kwa  kutumia gari...

Michezo

Mzee Majuto alazwa tena Muhimbili

MFALME wa maigizo ya uchekeshaji nchini, Amri Athuman anayefahamika kama ‘Mzee Majuto’ amelazwa chumba cha wagonjwa mahtuti (ICU) kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili....

Afya

Serikali yasisitiza wajawazito kutibiwa bure

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesisitiza kuwa huduma za uzazi kwa wajawazito zinatolewa bila ya malipo...

Habari Mchanganyiko

Uwanja wa ndege mpya wakamilika asilimia 8o

MHANDISI Isack Kamwelwe, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, amefanya ziara katika kiwanja kipya cha ndege cha Julius Nyerere kilichopo DSM kufanya ukaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea kuitikisa nchi leo

MBUNGE wa Ubungo na Mkurugenzi Mtendaji wa MwanaHALISI, Saed Kubenea, leo Jumatatu, tarehe 30 Julai, saa sita mchana, atakuwa na mkutano na waandishi...

Kimataifa

Iran yajibu mapigo ya Marekani

NCHI ya Irani imejibu tishio la Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kumuonya kwamba atapoteza kila anachomiliki iwapo ataruhusu nchi yake kulishambulia Taifa...

Habari za Siasa

Augustino Mrema ampa kazi Kangi Lugola

AUGUSTINO Mrema, Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole,  amesema kama Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amedhamilia kuwashughulikia wanaowabambikizia...

Afya

Rais Magufuli apongezwa  

SERIKALI inayoongozwa na Rais John Magufuli imepongezwa kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa kutoa na kuchukua hatua hasa katika magonjwa ya mlipuko. Anaandika Khalifa...

Habari Mchanganyiko

DART yabadili ratiba ya mabasi

KUFUATIA ujenzi wa daraja la juu kwenye makutano ya barabara ya Morogoro na Mandela, Kampuni ya UDA Rapid Transport (UDART)  inayotoa huduma kwenye...

Habari Mchanganyiko

Askari waliokamatwa mauaji ya Akwilini waachiwa huru

ASKARI waliokamatwa kwa ajili ya uchunguzi wa mauaji ya Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji (NIT), Akwilini Akwilina wameachiwa huru baada ya uchunguzi kutobaini...

Habari Mchanganyiko

Siku ya Mashujaa, JWTZ kufanya shughuli za kijamii

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kesho litaadhimisha Siku ya Mashujaa waliopoteza uhai wakipigania Taifa, kwa kufanya shughuli za mbalimbali za...

Habari za Siasa

Vodacom wamponza Mkurugenzi TCRA

MHANDISI Izack Kamwelwe, Waziri wa Uchukuzi, Usafirishaji na Mawasiliano amempa siku 30 Mkurugenzi wa Mawasiliano Tanzania  (TCRA) kuzungumza na Kampuni ya Mtandao wa simu ya ...

Habari za Siasa

Rais Magufuli atia saini ujenzi wa daraja la Salender

RAIS John Magufuli amemtaka mkandarasi wa daraja la Salender kuhakikisha anakamilisha kazi hiyo ndani ya muda uliopangwa huku akiwataka kuwatumia wafanyakazi kutoka Tanzania....

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wapingwa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimepinga vikali kitendo kitendo cha wananchi wanaosadikika ni wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Wahitimu SUA waomba fedha kununulia vifaa

SERIKALI imeombwa kuweka utaratibu wa upatikanaji wa fedha za kununua visanduku vya tiba kwa wanyama na kuweza kumkabidhi kila wanafunzi ili wanafunzi wanaomaliza...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea ataka Tume Huru kabla ya 2020, amuomba Prof. Kabudi amuunge mkono

SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo, amewasilisha hoja binafsi Bungeni ili kupata Tume Huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020, huku akimtwisha...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole ‘apagawa’ uchaguzi Kinondoni, Siha

KIWEWE kimetawala ndani ya Chama Cha Mapinduzi baada ya wapinzani wao wakuu kwenye uchaguzi unaotarajia kufanyika Februari 17 kuapa kulinda kura kwa gharama...

Habari za SiasaTangulizi

Tamko la Maaskofu ni mwiba mkali

TAMKO LA BARAZA LA MAASKOTU KATOLIKI TANZANIA UTANGULIZI Wapendwa Familia ya Mungu, Na Watu Wote wenye Mapenzi Mema, “Neema na iwe kwenu, na...

Makala & Uchambuzi

Kwa hili serikali kuweni wapole

TAASISI za dini ni miongoni mwa wadau wakubwa wanaochangia kuwapo na kuendelea kustawisha amani ya nchi yetu ya Tanzania. Anaripoti Richard Makore …...

Habari za Siasa

NEC yainusuru Chadema na mpasuko

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), hatimaye imeridhia takwa la mgombea ubunge wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema), katika jimbo la Singida...

Habari za SiasaTangulizi

Hivi ndivyo kampuni ya Airtel ilivyopigwa

RAIS John Magufuli amepinga wizi ulifanyika dhidi ya TTCL kwa kuinyanganya kampuni yake tanzu ya Airtel na kumtaka Waziri wa Fedha, Philip Mpango...

Habari Mchanganyiko

Shirika la Posta labadili nembo yake

SHIRIKA la Posta Tanzania, limezindua nembo mpya ya shirika hilo baada ya ile ya zamani kukaa zaidi ya miaka 24 hadi kufika leo,...

Afya

Uhaba wa vitanda watesa wachangia damu

MPANGO wa Damu Salama, unakabiliwa na uhaba wa vitanda kwa vinavyotumiwa na watu wanaofika hapo kwa ajili ya kuchangia damu kwa hiari, anaandika...

Habari Mchanganyiko

Ripoti ya Tume ya Waziri Mkuu mgogoro wa Loliondo hii hapa, Prof. Magembe akaangwa

TUME iliyoundwa na Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa kuchunguza mgogoro wa ardhi uliodumu zaidi ya miaka 26 katika vijiji vinavyopakana na hifadhi ya taifa...

Habari Mchanganyiko

Kupotea kwa Mwandishi wahabari, THRDC yatua Kibiti

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) kwa kushirikiana na wadau wengine wameunda kamati ndogo ya uchunguzi na kuituma Kibiti kuthibitsha...

error: Content is protected !!