Friday , 19 April 2024
Home erasto
1150 Articles147 Comments
Habari za Siasa

Mbunge ang’aka wananchi Kigoma kuitwa wakimbizi, serikali yajibu

  MBUNGE wa Kigoma Kaskazini (CCM), Assa Makanika, ameiomba Serikali ya Tanzania, kuwasaidia wananchi wa jimbo hilo, ambao wamekuwa wakikamatwa kwa kuitwa wakimbizi...

Elimu

Mfumo wa elimu Tanzania kujadiliwa

  HUSNA Sekiboko, mbunge wa viti maalum, aiomba Serikali ya Tanzania, kufanya marekebisho ya mtaala wa elimu ya msingi na sekondari. Anaripoti Jemima...

Habari Mchanganyiko

CCBRT yaita watoto wenye mguu kifundo

  HOSPITALI ya CCBRT, imetoa wito kwa wazazi wanaojifungua watoto wenye tatizo la mguu kifundo, kuwafikisha hospitali mapema kwa ajili ya kupatiwa matibabu....

Habari za Siasa

Majaliwa abanwa bungeni fedha za miradi kurudi hazina

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amebanwa bungeni kuhusu utaratibu wa fedha za miradi zinazochoelewa kutumika, kurudishwa katika Mfuko Mkuu wa Hazina...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la makinikia laibuka bungeni

  MBUNGE wa Msalala mkoani Geita (CCM), Idd Kassim, amesema usafirishaji makontena ya makinikia kutoka Mgodi wa Bulyanhulu, umezua taharuki kwa wananchi ,...

Habari Mchanganyiko

Kijiji Matinje kupelekewa mawasiliano

  SERIKALI ya Tanzania, inakusudia kutatua matatizo ya mawasiliano Kijiji cha Matinje Ikombandulu, ambalo ni eneo la machimbo lenye idadi kubwa ya watu...

Habari Mchanganyiko

Mbunge alilia deni bilioni 5 la wananchi, Bashe amjibu

  ISSA Mchungahela, mbunge wa Lulindi (CCM), mkoani Mtwara, ameiomba Serikali ya Tanzania, kuwalipa wananchi wanaodai miche ya mikirosho, deni ambalo lina muda...

Michezo

Mbunge ataka bei bidhaa sokoni kushuka, serikali yajibu

  MBUNGE wa Viti Maalum asiye na chama bungeni, Cecilia Daniel Paresso, ameiomba serikali kudhibiti mfumo wa bei kubwa za bidhaa sokoni ili...

Habari za Siasa

Rais Samia awataka wananchi wapige kelele changamoto za afya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kupaza sauti zao wanapokutana na changamoto za huduma ya afya, ili Serikali yake izifanyie...

Habari za Siasa

Uteuzi wahadhiri serikalini waibua mjadala bungeni

  ANATROPIA Theonest, Mbunge Viti Maalum asiye na chama bungeni, amehoji mkakati wa Serikali, katika kuziba pengo la wahadhiri wa vyuo vikuu, wanaoteuliwa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaanza kuondoa mgogoro wa Tarura, wabunge

  SERIKALI ya Tanzania, imeanza kuondoa changamoto ya ukata wa fedha, katika Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura), baada ya Mfuko...

Habari Mchanganyiko

Bil. 40 kupunguza uhaba wa mbegu

  SERIKALI ya Tanzania, imepanga kutumia Sh. 40 bilioni, kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji, kwenye mashamba ya uzalishaji wa mbegu...

Habari Mchanganyiko

Bulaya alilia mradi wa maji uliokwama miaka 13

  MBUNGE Viti Maalum asiye na chama bungeni, Ester Bulaya, amehoji lini Serikali itapeleka maji katika vijiji vilivyopitwa na Mradi wa Maji wa...

Afya

Zahanati zachelewa kufunguliwa kisa uhaba wa watumishi

  MBUNGE wa Kilwa Kaskazini (CCM), Francis Ndulane, amesema uhaba wa watumishi wa umma, unasababisha baadhi ya zahanati jimboni humo, kuchelewa kufunguliwa. Anaripoti...

AfyaHabari Mchanganyiko

Hospitali ya Rorya kuanza upasuaji Desemba 2021

  SERIKALI ya Tanzania imesema, Hospitali ya Halmashauri ya Rorya mkoani Mara, inatarajiwa kuanza kazi rasmi mwezi Desemba 2021. Anaripoti Jemima Samwel, DMC...

Habari za Siasa

Ubadhirifu watawala mikopo ya halmashauri, Serikali kuja na kibano

  SERIKALI ya Tanzania, imesema iko mbioni kuanzisha utaratibu wa kutoa vifaa badala ya fedha, katika mikopo inayotolewa na halmashauri, kwa vikundi vya...

Habari za Siasa

Ateuliwa, atumbuliwa kabla ya kuapishwa

  SAA 48 kabla ya Makatibu Tawala wa Mikoa (RAS) kuapishwa, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Azza Hilal Hamad....

Habari za Siasa

Siku 14 za Wambura kufikia U-DCI, Rais Samia…

  NYOTA ya Camilius Wambura, ndani ya Jeshi la Polisi Tanzania, imeendelea kung’aa, baada ya Amri Jeshi Mkuu, Rais Samia Suluhu Hassan, kumpandisha...

Habari Mchanganyiko

Sakata mahindi yenye sumu lawaibua TPSF

  SAKATA la kuzuiwa kwa mahindi yaliyodaiwa kuwa na sumu kuvu, katika mpaka wa Namanga mkoani Arusha, unaounganisha nchi ya Kenya na Tanzania,...

Habari Mchanganyiko

Tumthamini mwanamke, kulinda utu wake

  WAKATI leo tarehe 28 Mei 2021, dunia ikiadhimisha siku ya hedhi, bado jamii inahitaji uelewa mpana kuhusu suala zima la hedhi salama...

Habari Mchanganyiko

Spika ashangaa vijiji kukosa umeme

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameshangazwa na kitendo cha Tarafa ya Mungaa, iliyoko katika Jimbo la Singida Mashariki, mkoani Singida,...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na mjumbe wa UN

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk. Phumzile Mlambo-Ngouka, kuhusu...

Elimu

Majaliwa atoa maagizo NACTE

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameliagiza Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), liongeze juhudi katika usimamizi wa taasisi na...

Michezo

27 waitwa kambini Stars, kuingia kambini Juni 5

  KOCHA wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Kim Poulsen ameita kikosi cha wachezaji 27 kitakachoingia kambani tarehe 5 Juni, 2021...

Habari Mchanganyiko

Kigogo Bandari aliyetoroka, apandishwa kizimbani kwa utakatishaji fedha

  ALIYEKUWA Mhasibu katika Bandari ya Kigoma, Madaraka Robert Madaraka, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma, kwa tuhuma za utakatishaji fedha na...

Habari Mchanganyiko

Tuhuma za rushwa: Mwenyekiti CCM akwepa jela, alipa faini

  MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tawi la Maisaka mkoani Manyara, Bakari Yangu, amekwepa kifungo cha miaka miwili gerezani, kwa kulipa faini...

Habari za SiasaTangulizi

Ubadhirifu wa Bil 1.67, wang’oa vigogo 11 wizara ya fedha

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amewasimamisha kazi vigogo 11 wa Wizara ya Fedha na Mipango, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili, za matumizi...

Afya

Mfumo kudhibiti vifo vya wajawazito waja

  WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, inatarajia kuanzisha mfumo wa ufuatiliaji taarifa za wajawazito, ili kupunguza vifo vya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe awachongea maafisa Takukuru kwa Rais Samia

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, awachukulie hatua maafisa wa Taasisi ya Kuzuia...

Habari za Siasa

Mbunge CCM ashauri taasisi huru ziundwe kuidhibiti Serikali

  MBUNGE Viti Maalum mkoani Tanga (CCM), Mhandisi Mwanaisha Ulenge, amesema kuna haja ya nchi kuwa na taasisi huru, iitakayodhibiti utendaji wa wizara...

Elimu

Kilio darasa la saba kunyimwa ajira serikalini chafikishwa bungeni

MBUNGE Viti Maalum asiye na chama bungeni, Nusrat Hanje, amefikisha bungeni kilio cha wahitimu wa darasa la saba, wanaosoma katika Vyuo vya Ufundi...

Habari za Siasa

Ujambazi waibuliwa bungeni, Majaliwa atoa kauli

  MBUNGE wa Makete mkoani Njombe (CCM), Festo Sanga, amehoji kauli ya Serikali kuhusu kukithiri vitendo vya ujambazi katika majiji nchini. Anaripoti Nasra...

Tangulizi

Chadema yabadili upepo, Mbowe ataja mikakati mipya

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeamua kuachana na siasa za kiharakati, badala yake kinakuja na siasa shirikishi. Anaripoti Nasra Bakari, DMC…(endelea...

Habari Mchanganyiko

Bajeti ya ardhi 2021/22 yapungua kwa 64.2%

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, imesema bajeti ya maendeleo katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya...

Habari Mchanganyiko

AfDB yatoa Bil. 323.4 mradi wa umeme Malagarasi

  BENKI ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), imeikopesha Serikali ya Tanzania Dola za Marekani 140 (Sh. 323.4 bilioni), kwa ajili ya utekelezaji mradi...

Habari za Siasa

Serikali hatarini kupoteza 100 Bil, Mdee amkaba Lukuvi

  MBUNGE Viti Maalum asiye na chama bungeni, Halima Mdee, amesema Serikali iko hatarini kupoteza Sh. 100 bilioni, endapo itavunja mkataba wa mradi...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru alipa kibarua Bunge

  MBUNGE wa kuteuliwa na Rais, Dk. Bashiru Ally, amelishauri Bunge la 12 lijikite katika ajenda za kuchochea mapinduzi ya kilimo, kama Bunge...

Habari Mchanganyiko

Watano mbaroni kwa tuhuma za mauaji Dar

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu watano, wanaotuhumiwa kumuuwa aliyekuwa mlinzi wa Baa, Regan Sylvester. Anaripoti Jemima...

Habari Mchanganyiko

Mrithi wa Mambosasa akunjua makucha

KAMANDA wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Camillius Wambura, amesema ameanzisha operesheni maalum ya kupambana na wahalifu wanaotumia...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge ataka walioporwa fedha na TRA warejeshewe

  MBUNGE wa Vunjo mkoani Kilimanjaro (CCM), Dk. Charles Kimei, ameiomba Serikali irudishe fedha za kodi zilizokusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataka utafiti mabadiliko ya teknolojia

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa taasisi za elimu nchini, kufanya utafiti juu ya mabadiliko ya teknolojia, ili kubaini...

Habari Mchanganyiko

Bunge laishauri Serikali imalizie viporo fedha za korosho

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, imeishauri Serikali imalize kulipa madeni ya fedha za korosho, ilizonunua kwenye msimu...

Afya

Mbunge alia ukosefu X-Ray, Serikali yatoa agizo

  WIZARA ya Ofisi ya Rais-Tamisemi, imeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, itumie mapato yake ya ndani, kununua kipimo cha kuchunguza...

Habari za Siasa

Spika Ndugai awapa masharti wabunge

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka wabunge kuacha ngonjera katika kipindi cha maswali na majibu, ili kuokoa muda. Anaripoti Jemima...

Habari za Siasa

Ripoti CAG yabaini ubadhirifu Wizara ya Kilimo Z’bar

  MDHIBITI na Mkaguzi wa Fedha za Serikali Visiwani Zanzibar (CAG), Dk. Othman Abbas Ali, amemefichua ubadhirifu wa mabilioni ya shilingi katika wizara...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na bosi TRC

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, tarehe 22 Mei 2021, amezungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC),...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua mabalozi 23 akiwemo Hoyce Temu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa mabalozi 23, akiwemo Hoyce Anderson Temu, ambaye ni mwandishi wa habari na mjasiriamali....

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo aonya wanaopanga uongozi CCM 2022

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amewaonya wanachama wa chama hicho, walioanza kupanga safu za...

Afya

Milioni 500 kuboresha hospitali wilaya Iringa

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh. 500 milioni kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya watoto, wanaume na wanawake ya magonjwa mchanganyiko hospitali...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataka Hayati Magufuli aenziwe

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameshauri aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, aenziwe kwa kutimiza ndoto yake ya uanzishwaji somo...

error: Content is protected !!