SERIKALI ya awamu ya sita imekuja na mbinu mpya ya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika baadaye Tanzania....
By Danson KaijageNovember 1, 2021SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema sheria zinazopitishwa na Bunge zimekuwa zikilidhalilisha Bunge na kusababisha watu...
By Danson KaijageOctober 31, 2021WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ametoa siku 30 kwa watu wote wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha ndani ya muda...
By Danson KaijageOctober 30, 2021KAMISHINA wa Sensa na Makazi ya Watu nchini Anna Makinda ameziomba Asasi za kiraia kuwahamasisha watanzania kujitokeza kuhesabiwa wakati wa siku ya...
By Danson KaijageOctober 30, 2021Asasi mbalimbali za kiraia – AZAKI zimeibana Serikali na kuitaka ieleze ni faida iliyopatikana tangu yalipofanyika kwa Marekebisho ya Sheria ya Madini...
By Danson KaijageOctober 26, 2021MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga amesema kuwa karibu asilimia 50 ya watoto waishio mitaani...
By Danson KaijageOctober 25, 2021SERIKALI ya Tanzania imetenga Sh.2 bilioni kwa ajili ya kutengeneza bango na geti la kuingilia kwenye Pori la Akiba la Swagaswa lililoko...
By Danson KaijageOctober 24, 2021MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amegoma kuidhinisha fedha kiasi cha Sh. milioni 47 zilizotakikana kutumiwa na Wakuu wa Idara na...
By Danson KaijageOctober 20, 2021ASILIMIA 75 hadi 85 ya wakazi wa jiji la Dodoma wanakabiliwa na matatizo mbalimbali ya macho ikiwamo uoni hafifu pamoja na ugonjwa...
By Danson KaijageOctober 18, 2021MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC), Anthony Mtaka amewataka wafanyabiashara mkoani humo, kutopandisha bei za bidhaa za ujenzi na kuendelea na bei...
By Danson KaijageOctober 13, 2021WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima anatarajia kumuwakilisha Rais wa Samia Suluhu Hassan katika Kongamano...
By Danson KaijageOctober 12, 2021SERIKALI ya Tanzania, imeweka misimamo kuhusu mkutano wa 26 wa mabadiliko ya tabia ya nchi , unaotarajiwa kufanywa na nchi wanachama wa...
By Danson KaijageOctober 11, 2021TATIZO la afya ya akili duniani limeendelea kuwa tishio, huku ikikadiriwa kuwa litaongezeka kutoka asilimia 12 hadi 17 ifikapo mwaka 2030. Anaripoti...
By Danson KaijageOctober 11, 2021SERIKALI imesema jumla ya Halmashauri 21 tayari zimefikiwa na huduma ya Anuani za Makazi huku kazi ya kufikisha na kuunganisha nchi nzima...
By Danson KaijageOctober 7, 2021ALIYEWAHI kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali ya Tanzania (CAG), Profesa Mussa Assad amesema, amekuwa anatumia jina la Mussa ambalo si...
By Danson KaijageOctober 6, 2021MKURUGENZI Mtendaji na Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema kwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa...
By Danson KaijageSeptember 25, 2021WAZIRI wa Kilimo nchini Tanzania, Profesa Adolf Mkenda amesema kilimo hakiwezi kuendeshwa kwa matamko au kaulimbiu bali kwa kuendesha kilimo chenye tija....
By Danson KaijageSeptember 25, 2021WAZIRI wa Maji nchini, Jumaa Aweso amejionea hali ya mradi wa maji wa Kemondo-Maruku wilayani Bukoba Mkoa wa Kagera huku akitoa maagizo...
By Danson KaijageSeptember 14, 2021WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso ametangazia vita kwa wakandarasi na wahandisi ambao watakwamisha miradi ya maji inayotekelezwa serikali. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...
By Danson KaijageSeptember 10, 2021BEI ya bidhaa za vyakula kwa mwezi Agosti 2021, ilipungua huku ya bidhaa zisizo za vyakula ikiwemo mavazi, kodi ya pango na...
By Danson KaijageSeptember 9, 2021WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso amekagua mtambo mkubwa wa kuchuja maji chumvi katika eneo la Serengeti, Wilaya ya Gairo mkoani...
By Danson KaijageSeptember 4, 2021WABUNGE wa Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima wa Kawe, Jerry Silaa wa Ukonga na Humphrey Polepole...
By Danson KaijageSeptember 3, 2021SERIKALI imetoa kiasi cha Sh. bilioni 1.3 kukamilisha mradi wa maji kwa wakazi wa Njendengwa, Ihumwa, Nzuguni, Nyumba miatatu, Iyumbu, soko kuu...
By Danson KaijageAugust 30, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) uhakikishe unatumia fedha na...
By Danson KaijageAugust 25, 2021MKURUGENZI Mtendaji na Mjumbe wa Bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema Katiba mpya na yenye mawazo ya...
By Danson KaijageAugust 19, 2021MKUU wa Wilaya ya Kongwa (DC), mkoani Dodoma, Remidius Emmanuel, amesema atachukua hatua dhidi ya watu watakaotoa taarifa ya upotoshaji kuhusu chanjo...
By Danson KaijageAugust 14, 2021KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), imeishauri Ofisi ya Mthibiti na Mgamuzi Mkuu wa Hesabu za...
By Danson KaijageAugust 13, 2021UONGOZI wa Soko la Sabasaba jijini Dodoma, umepiga marufuku mtu yeyote kuingia ndani ya soko hilo bila kuvaa barakoa. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageAugust 9, 2021MBUNGE wa Viti Maalum, Conchesta Rwamlaza amekutana na vijana zaidi ya 300 wa jimbo la Bukoba vijijini lengo ikiwa kusikiliza kero, maoni...
By Danson KaijageJuly 16, 2021SERIKALI ya Tanzania imetaja takwimu za wagonjwa wa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19), ikisema nchi nzima...
By Danson KaijageJuly 10, 2021HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma, nchini Tanzania, limemaliza mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka 20 kati ya halmashauri hiyo na wafanyabiashara wa...
By Danson KaijageJuly 8, 2021MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC), Anthony Mtaka amesema, kwa kipindi cha siku 30 alizoanza kufanya kazi katika ofisi hiyo, amekuwa akipokea...
By Danson KaijageJuly 3, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, imetaka Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali, kujikita katika kuandaa ripoti...
By Danson KaijageJuly 3, 2021KATIKA kuadhimisha kilele cha wiki ya utumishi wa Umma, Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetoa msaada wa shuka 431 katika vituo...
By Danson KaijageJune 24, 2021KASIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimishi ya kilele cha dawa za kulevya duniani tarehe 26 Juni...
By Danson KaijageJune 24, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimemteua Sheha Mpemba Faki, kuwa mgombea wake katika uchaguzi mdogo wa Konde, visiwani Zanzibar, unaotarajiwa kufanyika tarehe 18...
By Danson KaijageJune 22, 2021MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC), Antony Mtaka amewataka wakuu wa wilaya (DC), kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na kuachana na...
By Danson KaijageJune 22, 2021WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira, Wilaya ya...
By Danson KaijageJune 15, 2021WIZARA Mambo ya Ndani ya Tanzania, imewapandisha vyeo maafisa, wakaguzi na askari wa ngazi mbalimbali 34,106 waliostahili kupandishwa vyeo katika kipindi cha...
By Danson KaijageJune 12, 2021MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umekutana na Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi kwa lengo la...
By Danson KaijageJune 4, 2021MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (Duwasa), iko mbioni kufanya upanuzi wa mifumo ya majitaki, ili kukidhi kasi ya ukuaji...
By Danson KaijageMay 31, 2021SERIKALI ya Tanzania imeagiza hospitali, zahanati na vituo vya afya vya umma, viweke watu maalum kwa ajili ya kuwahudumia wazee. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageMay 24, 2021CHUO cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, kimetumia Sh.29.4 milioni, kutoa motisha kwa wafanyakazi wake wote kuanzia ngazi ya chini hadi Profesa. Anaripoti...
By Danson KaijageMay 1, 2021VYAMA vya wafanyakazi Mkoa wa Dodoma, wameiomba Serikali kuona uwezekano wa kuongeza mishahara kama inavyotakiwa kisheria. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....
By Danson KaijageMay 1, 2021MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Charles Mbuge, amewarejesha katika mafunzo, vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa kujitolea kwa...
By Danson KaijageApril 30, 2021HALMASHAURI Kuu ya chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), nchini Tanzania, imempitisha kwa asilimia 100, mjumbe wa kamati kuu ambaye ni Rais,...
By Danson KaijageApril 29, 2021JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri amewaeleza wabunge wa bunge hilo kwamba, kesho Alhamis tarehe 22 Aprili 2021, kutakuwa na ugeni...
By Danson KaijageApril 21, 2021WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi, imeeleza kwamba itakaa meza moja na Wizara ya Madini pia Kampuni ya Barrick ili kujadili ujenzi wa Barabara...
By Danson KaijageApril 16, 2021WIZARA ya Maji kwa kushirikiana na Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa (TAMISEMI), watakutana kuweka mkakati wa kuhamasisha shule kujenga gata...
By Danson KaijageApril 15, 2021PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Katiba na Sheria amesema, serikali ina mpango wa kutoa elimu ya sheria kwa makundi yote ya kijamii ili...
By Danson KaijageApril 14, 2021