Thursday , 18 April 2024
Home danson
968 Articles60 Comments
Habari za Siasa

Maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru yaja kivingine

  SERIKALI ya awamu ya sita imekuja na mbinu mpya ya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika baadaye Tanzania....

Habari za Siasa

Ndugai awatupia zigo mawaziri utungwaji sheria mbovu

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema sheria zinazopitishwa na Bunge zimekuwa zikilidhalilisha Bunge na kusababisha watu...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene atoa siku 30 kwa wanaomiliki silaha haramu kuzisalimisha

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ametoa siku 30 kwa watu wote wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha ndani ya muda...

Habari Mchanganyiko

Makinda aziangukia AZAKI kuhamasisha sensa 2022

  KAMISHINA wa Sensa na Makazi ya Watu nchini Anna Makinda ameziomba Asasi za kiraia kuwahamasisha watanzania kujitokeza kuhesabiwa wakati wa siku ya...

Habari Mchanganyiko

AZAKI yaibana serikali kuhusu faida za madini

  Asasi mbalimbali za kiraia – AZAKI zimeibana Serikali na kuitaka ieleze ni faida iliyopatikana tangu yalipofanyika kwa Marekebisho ya Sheria ya Madini...

Habari Mchanganyiko

Asilimia 50 ya watoto wa mitaani wanatokana na ndoa zilizovunjika

  MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga amesema kuwa karibu asilimia 50 ya watoto waishio mitaani...

Tangulizi

Bilioni 2 kuboresha pori la Swagaswaga Dodoma, Dk. Ndumbaro atoa neno

  SERIKALI ya Tanzania imetenga Sh.2 bilioni kwa ajili ya kutengeneza bango na geti la kuingilia kwenye Pori la Akiba la Swagaswa lililoko...

Habari za Siasa

Madiwani Dodoma wamtibua Mtaka, wajiidhinishia milioni 47 za ziara, awagomea

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amegoma kuidhinisha fedha kiasi cha Sh. milioni 47 zilizotakikana kutumiwa na Wakuu wa Idara na...

Habari Mchanganyiko

Asilimia 75 Dodoma wana uoni hafifu, trakoma! ushirikina watajwa

  ASILIMIA 75 hadi 85 ya wakazi wa jiji la Dodoma wanakabiliwa na matatizo mbalimbali ya macho ikiwamo uoni hafifu pamoja na ugonjwa...

Habari za Siasa

Mabilioni ya IMF yatua Dodoma, RC Mtaka aonya wafanyabiashara

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC), Anthony Mtaka amewataka wafanyabiashara mkoani humo, kutopandisha bei za bidhaa za ujenzi na kuendelea na bei...

Afya

Waziri Gwajima kumuwakilisha Rais Samia kongamano la wanawake Urusi

  WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima anatarajia kumuwakilisha Rais wa Samia Suluhu Hassan katika Kongamano...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaweka msimamo UN mabadiliko tabia nchi

  SERIKALI ya Tanzania, imeweka misimamo kuhusu mkutano wa 26 wa mabadiliko ya tabia ya nchi , unaotarajiwa kufanywa na nchi wanachama wa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Ugonjwa wa akili tishio

  TATIZO la afya ya akili duniani limeendelea kuwa tishio, huku ikikadiriwa kuwa litaongezeka kutoka asilimia 12 hadi 17 ifikapo mwaka 2030. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Halmashauri 21 zafikiwa na anuani za makazi

  SERIKALI imesema jumla ya Halmashauri 21 tayari zimefikiwa na huduma ya Anuani za Makazi huku kazi ya kufikisha na kuunganisha nchi nzima...

Habari Mchanganyiko

Profesa Assad aeleza siri ya jina lake

  ALIYEWAHI kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali ya Tanzania (CAG), Profesa Mussa Assad amesema, amekuwa anatumia jina la Mussa ambalo si...

Habari za Siasa

Butiku atema cheche, akemea ubaguzi wa vyama vya siasa

  MKURUGENZI Mtendaji na Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema kwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa...

Habari za Siasa

Waziri Mkenda asema kauli mbiu, matamko hayaboreshi kilimo

  WAZIRI wa Kilimo nchini Tanzania, Profesa Adolf Mkenda amesema kilimo hakiwezi kuendeshwa kwa matamko au kaulimbiu bali kwa kuendesha kilimo chenye tija....

Habari Mchanganyiko

Aweso atua Bukoba, aagiza milioni 420 za mkandarasi zilipwe

  WAZIRI wa Maji nchini, Jumaa Aweso amejionea hali ya mradi wa maji wa Kemondo-Maruku wilayani Bukoba Mkoa wa Kagera huku akitoa maagizo...

Habari Mchanganyiko

Aweso atangaza vita na wakandarasi wababaishaji

  WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso ametangazia vita kwa wakandarasi na wahandisi ambao watakwamisha miradi ya maji inayotekelezwa serikali. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

Bei ya vyakula yashuka, kodi ya pango na ‘guest’ yaongezeka

  BEI ya bidhaa za vyakula kwa mwezi Agosti 2021, ilipungua huku ya bidhaa zisizo za vyakula ikiwemo mavazi, kodi ya pango na...

Habari Mchanganyiko

Aweso atoa maagizo kwa watalamu wizara ya maji

  WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso amekagua mtambo mkubwa wa kuchuja maji chumvi katika eneo la Serengeti, Wilaya ya Gairo mkoani...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima, Silaa na Polepole wafika kuhojiwa CCM

  WABUNGE wa Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima wa Kawe, Jerry Silaa wa Ukonga na Humphrey Polepole...

Habari za Siasa

Sh bilioni 1.3 kukamilisha mradi wa maji Dodoma

  SERIKALI imetoa kiasi cha Sh. bilioni 1.3 kukamilisha mradi wa maji kwa wakazi wa Njendengwa, Ihumwa, Nzuguni, Nyumba miatatu, Iyumbu, soko kuu...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aipa maagizo Talgwu, bilioni 172 zalipa madeni

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) uhakikishe unatumia fedha na...

Habari za Siasa

Butiku asema katiba mpya ni muhimu lakini…

  MKURUGENZI Mtendaji na Mjumbe wa Bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema Katiba mpya na yenye mawazo ya...

Habari za Siasa

DC Kongwa aonya wapotoshaji chanjo ya Korona

  MKUU wa Wilaya ya Kongwa (DC), mkoani Dodoma, Remidius Emmanuel, amesema atachukua hatua dhidi ya watu watakaotoa taarifa ya upotoshaji kuhusu chanjo...

Habari za Siasa

LAAC yabaini ‘madudu’ Chemba na Chamwino, yampa rungu CAG

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), imeishauri Ofisi ya Mthibiti na Mgamuzi Mkuu wa Hesabu za...

Habari Mchanganyiko

Kisa koroka: Bila barakoa huingii soko la sabasaba Dodoma

  UONGOZI wa Soko la Sabasaba jijini Dodoma, umepiga marufuku mtu yeyote kuingia ndani ya soko hilo bila kuvaa barakoa. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari za Siasa

Mbunge awakutanisha vijana kujadili kero zao

  MBUNGE wa Viti Maalum, Conchesta Rwamlaza amekutana na vijana zaidi ya 300 wa jimbo la Bukoba vijijini lengo ikiwa kusikiliza kero, maoni...

AfyaTangulizi

Tanzania yatangaza takwimu za Covid-19, “284 wanapumulia mashine”

  SERIKALI ya Tanzania imetaja takwimu za wagonjwa wa  wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19), ikisema nchi nzima...

Habari Mchanganyiko

Mgogoro wafanyabiashara sabasaba Dodoma wahitimishwa

  HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma, nchini Tanzania, limemaliza mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka 20 kati ya halmashauri hiyo na wafanyabiashara wa...

Habari Mchanganyiko

RC Mtaka: Napokea malalamiko 130 ya ardhi kila siku

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC), Anthony Mtaka amesema, kwa kipindi cha siku 30 alizoanza kufanya kazi katika ofisi hiyo, amekuwa akipokea...

Habari za Siasa

Spika Ndugai ampa somo CAG

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, imetaka Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali, kujikita katika kuandaa ripoti...

Afya

EWURA yapeleka ‘zawadi’ vituo vya afya

KATIKA kuadhimisha kilele cha wiki ya utumishi wa Umma, Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetoa msaada wa shuka 431 katika vituo...

Habari Mchanganyiko

Waziri Majaliwa mgeni rasmi kilele cha dawa za kulevya

  KASIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimishi ya kilele cha dawa za kulevya duniani tarehe 26 Juni...

Habari za Siasa

CCM yaanza safari kulisaka jimbo la Konde

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimemteua Sheha Mpemba Faki, kuwa mgombea wake katika uchaguzi mdogo wa Konde, visiwani Zanzibar, unaotarajiwa kufanyika tarehe 18...

Habari za Siasa

RC Mtaka awafunda Ma-DC ‘epukeni balehe ya madaraka’

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC), Antony Mtaka amewataka wakuu wa wilaya (DC), kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na kuachana na...

Habari Mchanganyiko

Waziri Aweso amng’oa bosi wa maji Sengerema

  WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira, Wilaya ya...

Habari Mchanganyiko

Askari 34,106 wapandishwa vyeo Tanzania

  WIZARA Mambo ya Ndani ya Tanzania, imewapandisha vyeo maafisa, wakaguzi na askari wa ngazi mbalimbali 34,106 waliostahili kupandishwa vyeo katika kipindi cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

THRDC yateta na Profesa Kabudi

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umekutana na Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi kwa lengo la...

Habari Mchanganyiko

Mifumo majitaka Dodoma kufumuliwa

  MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (Duwasa), iko mbioni kufanya upanuzi wa mifumo ya majitaki, ili kukidhi kasi ya ukuaji...

Afya

Serikali yatoa muongozo matibabu ya wazee

  SERIKALI ya Tanzania imeagiza hospitali, zahanati na vituo vya afya vya umma, viweke watu maalum kwa ajili ya kuwahudumia wazee. Anaripoti Danson...

Habari Mchanganyiko

Mei Mosi: Watumishi wote chuo cha mipango wapewa Sh.100,000

  CHUO cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, kimetumia Sh.29.4 milioni, kutoa motisha kwa wafanyakazi wake wote kuanzia ngazi ya chini hadi Profesa. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Dodoma yaomba nyongeza ya mishahara

  VYAMA vya wafanyakazi Mkoa wa Dodoma, wameiomba Serikali kuona uwezekano wa kuongeza mishahara kama inavyotakiwa kisheria. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

JKT yawarejesha kambini vijana wa kujitolea

  MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Charles Mbuge, amewarejesha katika mafunzo, vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa kujitolea kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Samia apitishwa 100% kugombea uenyekiti CCM

  HALMASHAURI Kuu ya chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), nchini Tanzania, imempitisha kwa asilimia 100, mjumbe wa kamati kuu ambaye ni Rais,...

Habari za Siasa

Bunge lina ugeni mzito – Spika Ndugai

  JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri amewaeleza wabunge wa bunge hilo kwamba, kesho Alhamis tarehe 22 Aprili 2021, kutakuwa na ugeni...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujenzi, Madini meza moja na Barrick

WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi, imeeleza kwamba itakaa meza moja na Wizara ya Madini pia Kampuni ya Barrick ili kujadili ujenzi wa Barabara...

Habari za Siasa

Shule sasa kuvuna maji ya mvua

  WIZARA ya Maji kwa kushirikiana na Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa (TAMISEMI), watakutana kuweka mkakati wa kuhamasisha shule kujenga gata...

Habari za Siasa

Prof. Kabudi: Elimu ya sheria kutolewa nchini

PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Katiba na Sheria amesema, serikali ina mpango wa kutoa elimu ya sheria kwa makundi yote ya kijamii ili...

error: Content is protected !!