Thursday , 28 March 2024
Home danson
966 Articles61 Comments
Habari za Siasa

Chuo cha Diplomasia kimenufaisha 3,421

JUMLA ya wanachuo 3,421 wamehitimu masomo yao katika Chuo cha Diplomasia tangu kuanzishwa kwake mwaka 1978. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Taarifa hiyo...

Habari za Siasa

Serikali kuajiri walimu wa sayansi 4,500

SERIKALI imesema iko katika taratibu za mwisho za kuwaajiri walimu 4,500 wa masomo ya sayansi kwa ajili ya kuwapeleka katika shule za sekondari...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mchungaji amvaa Spika Ndugai

MWANGALIZI wa Makanisa ya Baptist mkoani Dodoma, Antony Mlyashimba, amemtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kutubu na kisha kukaa meza moja na Mkaguzi...

Habari Mchanganyiko

Rushwa bado tatizo nchini-Mchungaji

ASKOFU wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Kati, Dk. Dikson Chilongani amesema kuwa licha ya kuwa serikali inapambana na rushwa lakini hali hiyo...

Habari Mchanganyiko

Uhuru vyombo vya habari wahojiwa bungeni

MALALAMIKO ya kuminywa kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini, yameibuka tena leo tarehe 18 Aprili 2019 bungeni jijini Dodoma. Anaripoti Danson Kaijage,...

Afya

Kifafa ugonjwa unaotaabisha wakazi Wilaya ya Ulanga

GODLUCK Mlinga, Mbunge wa Ulanga (CCM) amesema kuwa, Wilaya ya Ulanga inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wa kifafa Tanzania na duniani. Anaripoti Danson...

Habari za Siasa

Mbunge CCM: Kwanini elimu ya Muungano isitolewe?

RITTA Kabati, Mbunge wa Viti Maalum (CCM), ametaka Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kuona uwezekano wa kupeleka...

Habari za Siasa

Dk. Tulia ang’oa hotuba ya Sugu bungeni

SPIKA wa Bunge, Dk.Tulia Ackson ameamuru kuondolewa kwenye kumbukumbu za bunge Hotuba ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa Mwaka wa...

Habari za Siasa

Mbunge CCM atetea wafungwa wajawazito

MBUNGE Viti Maalum (CCM), Angelina Malembeka ameishauri serikali kuweka utaratibu kwa wafungwa wa kike wenye ujauzito, kupewa vifungo vya nje ya gereza, ili...

Habari za SiasaTangulizi

Upinzani waibuka na kero saba za Muungano

KAMBI Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeibuka na kero saba za Muungano kwamba, mpaka sasa bado zinatikisa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Ratifa...

Habari za Siasa

Mbunge CCM ahoji ahadi za serikali

CATHERINE Magige, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) leo tarehe 16 Aprili 2019, ameitaka serikali kueleza ni lini itakamilisha ahadi zake ilizotoa kwa jamii?...

Habari za Siasa

Mbunge ashauri kesi kubwa za rushwa DPP arukwe

MBUNGE wa Kasulu Mjini, Daniel Nsanzugwako ameishauri serikali kuiruhusu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU), kuendesha mashauri makubwa ya rushwa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto atoa hoja 10 nzito, Ripoti ya CAG

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, ametaja maeneo 1o muhimu katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za SiasaTangulizi

Ripoti ya CAG yawaweka njia panda wabunge wa CCM

BAADHI ya wabunge wa Chama cha Mapinduzi wamedai wapo njia panda, kwani hawajajua kama watachangia ripoti ya Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Elimu

Serikali yaomba wadau kukarabati nyumba za walimu

NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mwita Waitara ametoa wito kwa wananchi na wadau wa maendeleo kushirikiana na serikali katika kukarabati nyumba za...

Afya

Serikali yathibitisha uwepo wa homa ya dengue Dar, Tanga

SERIKALI imetoa taarifa kwa Umma kuwa bado kuna ugonjwa wa homa wa Dengue hapa nchini licha ya kuwa ugonjwa huo, mpaka sasa hakuna...

Habari za Siasa

Ripoti ya CAG yatua bungeni

RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad  imewasilishwa bungeni na  Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais,...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea: Sio viwanda tu, nyumba za serikali zirejeshwe

SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo (Chadema), ameitaka serikali kurejesha nyumba za serikali zilizouzwa kiholela na si viwanda vilivyobinafsishwa pekee. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za Siasa

Mbunge: Nani anaweza kupambana na Magufuli 2020?

LIVINGSTON Lusinde, Mbunge wa Jimbo la Mtera (CCM), ameshauri bunge na wananchi kwa ujumla kwamba, kusiwepo na uchaguzi wa rais mwaka 2020. Anaripoti...

Habari za Siasa

Kero 11 za Muungano zimetatuliwa-Serikali

SERIKALI imeeleza kwamba, changamoto na kero za muungano ambazo zimetatuliwa mpaka sasa ni 11 kati ya 15 zilizowasilishwa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la CAG bungeni; Mnyika, Chenge, Mhagama hapatoshi 

HATUA ya karatasi yenye orodha ya shughuli za Bunge (order paper) kutoonesha kuwepo kwa taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali...

Habari za Siasa

Mbunge CCM ahofia ahadi ya Rais Magufuli kutotekelezwa

MBUNGE wa kuteuliwa, Alhaji Abdalah Bulembo (CCM) ameonesha wasiwasi kuwa, ahadi zilizotolewa zinaweza kushindwa kutekelezeka kutoka na muda kubaki mfupi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari za Siasa

Spika Ndugai: Wabunge wanadaiwa mabilioni, kulipa mashaka

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameweka wazi kuwa wabunge kumi wa viti maalum waliokuwa wanatokana na chama cha CUF waliotimuliwa na chama hicho...

Habari za Siasa

Spika Ndugai: Bunge halina ugomvi na Ofisi ya CAG

JOB Ndugai, Spika wa Bunge ameeleza kwamba, taasisi anayoiongoza haina ugomvi na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

Mnyika amkabili Spika Ndugai

JOHN Mnyika, Mbunge wa Kibamba jijini Dar es Salaam amepinga hatua ya Job Ndugua, Spika wa Bunge kufukuza wabunge kwa madai ya kudhalilisha...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la CAG: Lema ampiku Mdee

MBUNGE wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, “amefukuzwa bungeni.” Amezuiwa kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Lema amekutwa na...

Habari za Siasa

Pierre Liquid alamba dume

LICHA ya kuitwa mtu wa hovyo, mchekeshaji anayechipuka kwa kasi Peter Mollel ‘Pierre’ sasa ni lulu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kuitikia kwake...

Habari za SiasaMpya

Spika Ndugai amng’ang’ania Lema

GODBLESS Lema, Mbunge wa Arusha Mjini leo mchana tarehe 3 Aprili 2019 atakutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maadili saa 8...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema ahoji uharaka wa serikali kubinafsisha viwanda

MBUNGE wa Viti Maalum, Devotha Minja (Chadema) amehoji serikali sababu za kushindwa kufanya maandalizi mazuri katika ubinafsishaji wa viwanda? Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za Siasa

Wananchi wafungiwe dira mpya za maji – Serikali

SERIKALI imeagiza wananchi kuendelea kufungiwa dira mpya za maji – Lipa Kadiri Utumiavyo – ili kupunguza malalamiko yao. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Lema achafua Bunge, wapinzani watoka nje 

BAADHI ya wabunge wa upinzani, wametoka nje ya Bunge, kupinga hatua ya Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, kumshitaki kwenye Kamati ya...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge la Ndugai laamua kumtenga Prof. Assad

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limeazimia kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad,...

Habari za Siasa

Bunge la 15 kuanza kesho, miswada miwili kupitishwa

MKUTANO wa kumi na tano wa bunge unaoanza kesho unatarajia kujadili na kupitisha miswada miwili ya sheria ambayo itasomwa kwa hatua zake zote....

Habari za Siasa

Tamisemi yawaangukua wadau vyama vya siasa 

WAKATI uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, ukitarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi)...

Habari Mchanganyiko

TFS watimua wafugaji ndani ya hifadhi Ikowa

MENEJA wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Kanda ya Kati, Mathew Kiondo ametoa siku mbili kwa wafugaji wanaolisha mifugo yao katika Msitu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kambi Rasmi ya upinzani Bungeni, njiapanda

KAMBI Rasmi ya upinzani bungeni, iko hatarini “kusambaratika” kufuatia “mapinduzi” ya kisiasa, yaliyotokea ndani ya Chama cha Wananchi (CUF). Anaripoti Danson Kaijage kutoka...

Elimu

‘Wahitimu Kidato cha IV wachangamkie fursa hii’

WANAFUNZI waliomaliza Kidao cha IV mwaka 2018 na matokeo yao kutangazwa, sasa wanaweza kutumia mfumo maalumu kubadili chaguo za masomo na tahasusi kulingana...

Habari za Siasa

Hatma ya pingamizi za serikali kwa Nassari kesho

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dodoma kesho tarehe 29 Machi 2019, itatoa uamuzi wa pingamizi tatu, zilizotolewa na serikali katika kesi ya maombi madogo...

Elimu

Waziri Mkuu atoa onyo kwa maofisa Elimu

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa onyo kwa maofisa elimu nchini kutojihusisha kwenye vitendo vya kupanga na kuiba mitihani ya kitaifa. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

UNICEF: Cheti cha kuzaliwa ni ulinzi kwa mtoto

MKUU wa Kitengo cha ulinzi wa Mtoto kutoka UNICEF, Maud  Droogleever Fortuyn amesema kuwa usajili na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa watoto chini...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru: Msiombe JPM adumu madarakani

FIKRA kwamba, Rais John Magufuli anapaswa kuendelea kuwepo madarakani hata baada ya kumaliza muhula wake wa pili iwapo atachaguliwa, wametakiwa kuzika fikra hizo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Dodoma wajiandaa kumpokea Rais Magufuli kwa mabango

WAKAZI wa Kata ya Mtumba, jijini Dodoma wanajiandaa kumpokea Rais John Mgufuli kwa mabango yenye malalamiko baada ya halmashauri ya jiji hilo kushindwa...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Dodoma: Vijana changamkieni fursa Mtumba

SHEIKHE wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Rajabu amewataka vijana kutumia nguvu zao wakati serikali ikijenga mji wa kiserikali katika eneo la Mtumba, jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Pigo lingine Chadema, Ndugai amvua ubunge Nassari

SPIKA wa bunge Job Ndugai amemwandikia barua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Semistocles Kaijage kumtaarifu kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki linaloongozwa na Joshua...

Habari Mchanganyiko

Binti aondolewa kizazi kwa siri, madaktari washindwa kujieleza

RAHAEL Alaay (25) ameiomba serikali kupitia Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kuingilia kati mgogoro wake na...

Afya

‘Ulaji holela dawa za kupunguza maumivu ni hatari’

ULAJI holela wa dawa za kupunguza maumivu ni moja ya sababishi ya ugonjwa wa Figo, imeelezwa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo...

Habari Mchanganyiko

WFP wajipanga kumkwamua mkulima mdogo

MWAKILISHI  wa Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Tanzania, Michael Dunford alisema WFP inaangalia namna ya kumtoa mkulima katika kilimo kidogo na kuwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Ester Matiko wageuka kivutio bungeni

MBUNGE wa Hai, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko wote Chadema wamekuwa kuvutio katika ukumbi wa Pius Msekwa kwa kushangiliwa...

Habari za Siasa

Kubenea ang’ata na kupuliza mpango wa Maendeleo ya Taifa

MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) amesema kuwa mpango uliowasilishwa leo na Waziri wa Fedha na Mipango kwa wabunge wote wa...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu awachimba mkwara mawaziri wake

WAZIRI Mkuu Kassm Majaliwa amewataka mawaziri wote kuhakikisha wanahudhuria katika vikao vya kamati za kudumu za bunge. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

error: Content is protected !!