Friday , 29 March 2024
Home danson
966 Articles60 Comments
Habari za SiasaTangulizi

IGP Sirro tuhumani

HATUA ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuendelea kufanya mikutano ya siasa huku vyama vingine vikinyimwa uhuru huo, sasa inapigiwa yowe. Anaripoti Danson Kaijage…(endelea). IGP...

Habari Mchanganyiko

Serikali kufufua shirika la uvuvi

SERIKALI imesema, iko mbioni kufufua Shirika la Uvuvi la Taifa (TAFICO), ambalo litawekeza katika uvuvi wa samaki kwenye ukanda wa bahari kuu. Anaripoti Danson...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaombwa kuboresha michoro ya Usandaweni

SERIKALI kupitia Wizara ya Malisili na Utalii imeshauriwa kuhakikisha inaendeleza na kutangaza vivutio ambavyo vinaonekana kusaulika kama vile michoro ya mapangoni iliyopo Usandaweni...

Habari za Siasa

Rais Shein kufungua mkutano wa Jumuiya ya Madola

RAIS wa Zanzibar Dk. Ally Mohamed Shein, anatarajia kufungua mkutano wa 50 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola, Kanda ya  Afrika...

Habari za Siasa

Kamati ya Bunge yagomea ripoti, hekaheka Halmashauri Nyang’wale

HATUA ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), kugomea taarifa ya Halmashauri ya Nyang’wale, Geita kwa madai...

Habari Mchanganyiko

Wabunge, wastaafu kuondolewa kwenye nyumba za TBA

WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA), wameamua kuondoa wadaiwa sugu katika nyumba zao. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). TBA wameeleza kuwa, wapangaji hao mpaka...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu Majaliwa mgeni rasmi Siku ya Vijana Duniani

KASIM Majaliwa, Waziri MKuu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi leo katika Maadhimisho ya Siku ya Vijana duniani, ambapo kitaifa yanafanyika jijini Dodoma. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Lukuvi aunda tume maalum kuchunguza maafisa 183 wa Ardhi

WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ametoa siku 30 kwa timu maalum iliyoundwa kuchunguza maafisa ardhi 183 waliosimamishwa kazi...

Habari Mchanganyiko

Magereza watoa elimu ya matofali ya kuchoma, kuepusha mazingira

ILI kuepuka kufanya uharibifu wa mazingira ikiwemo ukataji miti hovyo, Jeshi la Magereza limeitaka jamii kujifunza njia mbadala ya ufyatuaji matofali ya kuchoma...

Elimu

Walimu walionyimwa stahiki zao wamchongea Mkurugenzi kwa Jafo

WALIMU watano waliohamishwa kutoka kituo cha kazi cha shule ya sekondari Kisasa katika Jiji la Dodoma na kupangwa kwenye vituo vingine bila kulipwa...

Habari Mchanganyiko

Wizara Viwanda, Kilimo washirikiane – Mhandisi Manyanya

WIZARA ya Viwanda na Biashara lazima ishirikiane na Wizara ya Kilimo ili kuleta tija kwa wakulima na wafugaji. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Kauli hiyo...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara Dodoma wafurushwa

WAFANYABIASHARA katika maeneo ya wazi jijini Dodoma, wameulalamikia uongozi wa jiji hilo kwa kuwafurusha katika maeneo hayo ndani ya siku 30. Anaripoti Danson...

Habari za Siasa

Nanenane Singida, Dodoma iwe endelevu – Waziri Jafo

SELEMAN Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), ametoa maagizo kwa wakuu wa mikoa ya...

Siasa

Wabunge 5 CUF wabanwa mbavu Handeni

WABUNGE watano kutoka Chama cha Wananchi (CUF), tarehe 3 Agosti 2019 walikamatwa na kuhojiwa na Jeshi la Polisi wilayani Handeni, Tanga kwa madai...

Afya

Unyonyeshaji duni tishio kwa vifo vya watoto wachanga

DUNIA ikiwa inaadhimisha wiki ya unyonyeshaji, nchini Tanzania takwimu zinaonyesha kuwa vifo vya watoto wachanga bado vinashika kasi sababu ikitajwa ni kuchelewa kunyonyeshwa...

Afya

Wanaume wabanwa likizo ya uzazi

WANAUME wanaopewa likizo ya uzazi, wameshauriwa kutumia vizuri kwa kumsaidia mama aliyejifungua, na kwamba ni kwa mujibu wa sheria ya kazi na ajira...

Habari za Siasa

Mama Samia: Watanzania ni hodari kutengeneza sera, si kuzitumia

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hasani amesema, Watanzania ni mahodari kutengeneza sera, sheria na kanuni lakini siyo watekelezaji. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Ametoa kauli...

Habari Mchanganyiko

Kamera 14 za NIDA zilizoibwa zakamatwa

JESHI la Polisi, Mkoa wa Dodoma leo 22 Julai 2019 limefanikiwa kukamata kamera 12 ambazo ni mali ya Mamlaka ya Vitamburisho vya Taifa...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru: Wapuuzeni hao wapumbavu

LUGHA kali na zenye ukakasi, zimeanza kutolewa na viongozi wakuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), juu ya barua iliyoandikwa na viongozi wastaafu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Timu JPM washusha nyundo tena

KIKUNDI ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinachomtetea Dk. John Magufuli, mwenyekiti wa chama hicho, kinaendeleza mashambulizi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Habari za Siasa

Chadema yaivuruga UVCCM Bahi

BAADA ya Katibu Mstaafu wa Chadema wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma, Melickzedeck Lesaka kutangaza kuuburuza mahakamani uongozi wa UVCCM wilaya ya Bahi kwa...

Habari Mchanganyiko

Bakwata wagoma kufanya kazi na Mkurugenzi wa Uchumi

MKUTANO mkuu wa Baraza la Waislamu Mkoa wa Dodoma (BAKWATA) umeazimia kutofanya kazi na Mkurugenzi wa Uchumi,Mipango na Uwezeshaji, Ustadh Othmani Shabani Hotty....

Habari Mchanganyiko

CMSA yazindua shindano kwa wanavyuo

MAMLAKA ya Masoko Mitaji na Dhamana (CMSA) imetangaza shindano la Masoko ya Mitaji kwa mwanafunzi wa vyuo vikuu na Taasisi za Elimu ya...

Habari za Siasa

CCM yamtamani Katibu Chadema

KATIBU Mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani Bahi jijini Dodoma, Melickzedeck Lesaka ametoa siku saba kwa Umoja wa Vijana wa...

Habari Mchanganyiko

Wakopaji watakiwa kutumia mikopo kwa maendeleo

WANACHAMA ambao wapo kwenye vikundi vya hiari vya kukopeshana SACCOS wameshauriwa kutumia fedha wanazokopa kwa ajili ya Maendeleo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari Mchanganyiko

CPA kujenga Makao yake Makuu jijini Dodoma

JUMUIYA ya Madola Kanda ya Afrika  CPA unakusudia kujenga ofisi ya Makao Makuu ya Jumuiya hiyo pamoja na ujenzi wa hoteli ya nyota...

Habari Mchanganyiko

Siyo Asasi zote zinafanya vibaya

MKURUGENZI wa asasi isiyokuwa ya kiraia ya Women Wake Up (WOWAP), Fatuma Tawfiq, amesema kuwa siyo kweli kuwa asasi za kiraia hazifanyi kazi...

Habari za Siasa

Benki wapewa dhamana ya kuondoa umaskini wa Watanzania

SERIKALI imesema kuwa bado watanzania wanakabiliwa na hali ya umasikini hivyo kuna kila sababu ya taasisi za kifedha kutoa elemu. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Mfumuko wa bei wazidi kupaa

MFUMUKO wa bei wa taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Juni ,2019 umeongezeka hadi kufikia  asilimia 3.7 kutoka asilimia 3.5 kwa mwaka ulioishia mwezi...

Habari Mchanganyiko

Timu ya uongozi Dodoma yatembelea kituo cha afya

TIMU ya Uongozi ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma (CMT), imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Mkonze. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Wazee 19, 543 Dodoma watambuliwa

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imekamilisha utambuzi wa wazee 19, 543 katika kata zote 41 za jiji hilo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari Mchanganyiko

Watumishi wa Jiji la Dodoma watakiwa kushiriki usafi

WATUMISHI wa taasisi mbalimbali za serikali wametakiwa kushiriki kikamilifu katika zoezi la usafi ambalo ufanyika kila jumamosi kuanzia saa moja kamili hadi saa...

Michezo

Dk. Mwakyembe, wenzake watembelea kituo cha vipaji

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe ameongoza mawaziri wanne, manaibu waziri na wakurugenzi wa idara zinazoshughulikia michezo kutoka Serikali...

Habari Mchanganyiko

Takukuru yaingilia kati mradi wa maji Chemba

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Dodoma imeingilia kati ujenzi wa Mradi wa Maji wa Kiniji cha Kelema Kuu,...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa Serikali wawalazikisha wapinzani kurudisha kadi

WANACHAMA wa vyama vya upinzani katika kata mbalimbali wilayani Chemba, Dodoma wamelalamikia vitendo vya watendaji wa kata kuwalazimisha kurudisha kadi za vyama vyao...

Habari za Siasa

CUF wacharuka kufukuzwa Wenyeviti wake

UONGOZI wa Chama cha Wananchi CUF wameanza kutafuta mwarobaini wa kuwarejesha wenyeviti sita wa Wilaya ya Chemba, Dodoma pamoja na mikoa mingine walioondolewa...

Habari za Siasa

Mbunge alalamika wabunge kukatwa posho

KHATIBU Said Haji, Mbunge wa Konde (CUF) amelalamikia kitendo cha wabunge kukatwa fedha zao za vikao vya bunge kiholele. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Akiomba...

Afya

Serikali yaanza kuikabili Dengue

SERIKALI imesema, imekusanya watalaamu kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya kuangamiza mbu, ikiwa ni hatua za awali za kupambana na ugonjwa wa Dengue....

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea uso kwa uso na AG

SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo ameibua sakata la serikali kushtakiwa nje ya nchi kwasababu mbalimbali, ikiwemo kuvunja mikataba ya wawekezaji. Anaripoti Danson Kaijage,...

Michezo

Spika Ndugai, Wabunge 48 waifuata Stars Misri

JOB Ndugai, Spika wa Bunge na wabunge 48, leo usiku wanatarajia kwenda nchini Misri kuishangilia Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ katika michuano...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Kabudi, Dk. Mpango washikwa pabaya

WITO kwa mawaziri wawili wa Rais John Magufuli; Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki naDk. Philip...

Habari za Siasa

Wabunge Chadema, CCM walichoka gazeti la Tanzanite

MBUNGE wa Ndanda, Cecil Mwambe (Chadema) na Mbunge wa Nzega Vijijini, Hussein Bashe wamehoji jeuri ya gazeti la Tanzanite kuwatukana watu inaipata wapi?...

Habari za Siasa

Paredi ya ng’ombe kufanyika kesho

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdalah Ulega anatarajiw kuwa mgeni Rasm kesho saa mbili na nusu kwenye maonesho ya gwaride la ng’ombe bora...

Habari za Siasa

Malalamiko ya kupikwa takwimu: Upinzani waitaja IMF

KAMBI Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kwamba, kuna kila sababu ya kukwepa kupika takwimu ili kuepuka kujenga uchumi hewa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za Siasa

Spika Ndugai ‘afyeka’ hotuba ya upinzani

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri, amefyeka baadhi ya vipengele vilivyokuwa ndani ya Hotuba ya Waziri Kivuli wa Wizara ya Fedha na...

Habari Mchanganyiko

NBC yapata tuzo ya utendaji bora

IMEELEZWA kuwa Benki ya NBC ni benki ya tatu kwa ukubwa nchini Tanzania, hivyo wametunukiwa tuzo ya Utendaji Bora wa sekta ya benki...

Habari za SiasaTangulizi

Upinzani wajibu vijembe vya Serikali

MBUNGE wa Malindi, kisiwani Unguja, Ally Salehe, ameituhumu Serikali ya Jamhuri ya Muungano, kupunja mapato ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), yanayopitia Mfuko...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema aitaka Serikali kutoa taarifa ya masoko

MBUNGE Tunduma, Frank Mwakajoka (Chadema) ameitaka serikali kutoa taarifa ya masoko kwa wafanyabiashara ya mahindi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Mwakajoka alitoa...

Habari Mchanganyiko

Mkurugenzi Dodoma amaliza mgogoro wa ardhi wa miaka 20

MKURUGENZI wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amemaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 20 kwa wakazi eneo la C Centre...

Habari za Siasa

Serikali yaja na mikakati 7 kuwezesha wananchi kiuchumi

SERIKALI imetoa maagizo saba kwa viongozi, Asasi za Kiraia na kijamii, wadau wa maendeleo na mashirika ya kimataifa, yenye lengo la kuchagiza masuala...

error: Content is protected !!