Saturday , 20 April 2024
Home bupe
78 Articles0 Comments
Habari Mchanganyiko

Sumatra yatangaza vita kwa wamiliki mabasi

BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), limetoa wito kwa abiria waendao mikoani kipindi hiki cha sikukuu...

Afya

Watalaam ugonjwa wa Ini kujifua India

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili inatarajia kuwapeleka nchini India watalaam mbalimbali katika sekta ya afya kwa ajili ya mafunzo ya ugonjwa wa Ini, anaandika Angel...

Habari Mchanganyiko

Lukuvi atangaza kubadilisha hati za ardhi 2018

WAZIRI wa Ardhi ,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amemtaka Mkurugenzi wa Tehama katika wizara hiyo, ifikapo 2018, mradi wa mfumo unganishi...

Habari za Siasa

Kauli ya Chadema baada ya Mwenyekiti Bavicha kuhamia CCM

DK. Vincent Mashinji, Katibu Mkuu wa Chadema, amesema chama hakina mgogoro na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bavicha, Patrobas Katambi ambaye ametangaza kujiunga na CCM...

Habari Mchanganyiko

Wataam watakiwa kumaliza makosa ya mitandaoni

WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, imewaomba wataalamu wa masomo ya kompyuta kuzingatia mafunzo wanayofundishwa ya mafunzo ya makosa ya mtandao, itasaidia kuondoa...

Habari za Siasa

Takukuru waingia kazini ‘issue’ ya Nyalandu

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imesema kuwa suala la aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu imelisikia na imeanza kulifanyia...

Habari Mchanganyiko

Utafiti wa wafanyakazi wa ndani wapigwa ‘stop’

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia, imeipiga marufuku Taasisi ya Haki za Binadamu kufanya utafiti wa unyanyasaji watumishi wa ndani wa kitanzania wanaofanya...

Habari za Siasa

NEC yavikumbusha vyama kanuni za kampeni

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewaomba wagombea watumie kanuni walizofundishwa katika kampeni za udiwani zinazoendelea katika kata mbalimbali nchini, anaandika Angel Willium....

Habari Mchanganyiko

Dk. Shika aendelea kusota, Polisi kumpima akili

KAIMU Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Benedict Kitalika amesema jeshi la polisi linaendelea kummshikilia Dk. Louis Shika kwa kuwa...

Michezo

Diamond Platnumz ambwaga Mobeto mahakamani

MSANII Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amemgalagaza mzazi mwenzake, Mwanamitindo Hamisa Mabeto katika kesi ya madai aliyoifungua katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kudai...

Habari Mchanganyiko

Wananchi wahimizwa kuwekeza kwenye hisa

WANANACHI wametakiwa kuhudhuria semina zinahusua uwekezaji wa hisa ili wapate elimu itakayowasaidia kupata ufahamu kwa undani kuhusu biashara hiyo endelevu, anaandika Angel Willium....

Habari Mchanganyiko

Serikali kuanza kutumia ujuzi wa wasomi wazawa

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia imeahidi kutumia tafiti zinazofanywa na wanafunzi wazawa ili kugundua matatizo ya wananchi na njia za kuweza kuyatatua,...

Habari Mchanganyiko

Wazazi watakiwa kuwekeza kwa watoto

TAASISI ya Maendeleo ya Binadamu ya Chuo Kikuu cha Aga Khani, imewaomba wadau mbalimbali kufunya uwekezaji wa muda mrefu kwa watoto wa chini...

Afya

Wazazi, walezi wapewa neno

WAZAZI na walezi kuwatunza na kiwalea watoto wa chini ya miaka mitano ikiwamo kuwapatia lishe bora, elimu na kuwalinda dhidi ya unyanyasaji, anaandika...

Habari Mchanganyiko

Wakandarasi wazawa waililia serikali

VYAMA vya wakandarasi vya Contractors Association of Tanzania, Tanzania Civic Engineering Contractors na Association of Citizen Contractors, wameiomba serikali iendelee kutoa fursa za...

Habari Mchanganyiko

Taasisi ya Tulia Ackson yatembeza bakuri kwa wadau

TAASISI ya Utamaduni wa Ngoma za Asili ( Tulia Traditonal Dances) imewaomba wadau mbalimbali waliosaidia kufanikisha tamasha lao kufanya hivyo tena kwa mwaka...

Habari Mchanganyiko

Polisi ‘vibaka’ wapewa neno

TUME y a Haki za Binadamu na Utawala Bora Nchini, imelionya Jeshi la Polisi na kulitaka kuagiza askari wa jeshi hilo kurudisha mali...

Tangulizi

Serikali yatangaza bomoa bomoa Dar-Arusha

KAMPUNI ya Reli (TRL), imetangaza kubomoa nyumba zote zilizojengwa kando kando mwa reli inayotoka Dar es salaam, Moshi  hadi jijini Arusha, anaandika Angela...

Habari Mchanganyiko

‘Watu wasiojulikana’ wapiga hodi polisi

JESHI la Polisi Kanda ya Maalumu ya Dar es Salaam limeanza kufanya msako kuwasaka watu waliofanya mauaji ya askari polisi aliyeokotwa juzi akiwa...

Afya

Wizara ya Afya yapokea mashine 100 za saratani

UMMY Mwalimu, Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, amepokea mashine 100 za tiba mgando (cryotherapy), mashine tisa za...

Habari Mchanganyiko

Waziri Kindamba ‘apigia chapuo’ TTCL kwa SUA

OFISA Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba amewaomba Watanzania kutumia kampuni hiyo kwa mawasiliano kwa kuwa hivi sasa huduma...

Michezo

Miss Tanzania 2017 apatikana ‘juu kwa juu’

KAMATI ya Miss Tanzania kwa mara ya kwanza imeshindwa kufanya mashindano ya kumtafuta mrembo wake kwa mwaka 2017, badala yake imeteua msichana bila...

Habari Mchanganyiko

Switzerland yawakumbuka walemavu

WATU wenye ulemavu nchini wameiomba serikali  na taasisi mbalimbali binafsi kuwasaidia  eneo la   kujenga ofisi ya kudumu. Anaandika Angela Willium Wamesema wanahitaji ofisi kwa...

Habari Mchanganyiko

Kampuni kubwa nchini zashuka mtaji DSE

HALI ngumu ya kiuchumi imesababisha ukubwa wa mtaji wa kampuni kubwa zilizoorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), kushuka kutoka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mlimani City watoa sababu za kufungia Nakumatt

DUKA kubwa (Supermarket) la Nakumatt lililopo jijini Dar es salaam, limelifungia, baada ya kukosa bidhaa za kutosha kwa muda mrefu pamoja na kudaiwa...

Elimu

Wazazi Azania sekondari watupiwa neno

WAZAZI wa shule ya sekondari Azania wanaombwa kuchangia fedha kwa ajili ya kununua viti vya kukalia wanafunzi wanapokuwa darasani, anaandika Angel Willium. Akizungumza...

Habari za Siasa

Waziri Kairuki akumbuka vyeti feki

ALIYEKUWA  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki leo ameaga  ofisi yake ya zamani huku akikumbuka alivyohangaika na watumishi...

Habari Mchanganyiko

Mapato TRA 2015/17 yashuka kwa bilioni 100

KWA takribani miezi 23  tangu Rais John Magufuli aingie Ikulu, Mapato ya serikali kwa mwezi yameshuka kutoka trilioni 1.4  Desemba 2015  hadi kufikia...

error: Content is protected !!