Tuesday , 19 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa AU waitaka DR Congo kusitisha kutangaza matokeo
Kimataifa

AU waitaka DR Congo kusitisha kutangaza matokeo

Felix Tshisekedi, Rais wa DR Congo
Spread the love

JAMHURI ya Kidemokrasia ya Congo imetakiwa kuahirisha utangazaji wa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika hivi karibuni. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Wito huo umetolewa na Muungano wa Afrika (AU), ambao umoja huo umeonesha kutoridhishwa na matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo ambayo yalimpa ushindi mgombea wa upinzani Felix Tshisekedi.

Tamko hilo kuhusu uchaguzi wa Congo lilitolea jana tarehe 17 Januari 2019 na viongozi wa A.U walipokutana mjini Addis Ababa nchini Ethiopia.

Kufuatia tamko hilo, AU inaungana na Kanisa Katoliki nchini Congo ambalo pia lilipinga matokeo hayo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Tshsekedi kwa asilimia 38.5 ya kura akichuana kwa ukaribu na Martini Fayulu aliyepata kura asilimia 34.7, wakati mgombea aliyewakilisha muungano wa serikali, Emmanuel S hadary akiambulia asilimia 23.8.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Shule zafungwa kutokana na ongezeko la joto

Spread the loveSUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu,...

Kimataifa

Tanzania, Italia kuimarisha ushirikiano sekta za kimkakati

Spread the love  SERIKALI ya Tanzania na Italia zimeahidi kuimarisha ushirikiano katika...

Habari za SiasaKimataifa

Odinga avuka kihunzi cha kwanza uenyekiti AUC

Spread the loveAZMA ya kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya, Raila Odinga...

Kimataifa

‘Wachawi’ 50 wafariki baada ya kumeza dawa mitishamba

Spread the loveWatu zaidi ya 50 wanaoshutumiwa kwa ‘uchawi’ wamefariki dunia nchini...

error: Content is protected !!