MWENYEKITI wa Good News For all Ministry Askofu Dk Charles Gadi amefanya maombi maalum kwa ajili ya kuliombea taifa ili kuondokana hali ya ukame ulioanza kuyakumba baadhi ya maeneo hapa nchini, anaandika Faki Sosi.
Askofu Gadi amefanya maombi hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya kuguswa na uatabiri wa hali ya hewa uliotolewa na Mamlaka ya Utabiri wa Hali ya Hewa (TMA).
Ameeleza kuwa miaka yote wamekuwa wakifanya vizuri katika kuomba na kwamba maombi ya leo yataleta majibu kwa muda wa masaa 24.
Leave a comment