Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Askofu afanya maombi ya kuleta mvua
Habari Mchanganyiko

Askofu afanya maombi ya kuleta mvua

Mwenyekiti  wa  Good News For all Ministry  Askofu Dk Charles  Gadi
Spread the love

MWENYEKITI  wa  Good News For all Ministry  Askofu Dk Charles  Gadi  amefanya maombi maalum kwa ajili ya kuliombea taifa ili kuondokana hali ya ukame ulioanza  kuyakumba baadhi ya maeneo hapa nchini, anaandika Faki Sosi.

Askofu Gadi amefanya maombi hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya kuguswa na uatabiri wa hali ya hewa uliotolewa na Mamlaka ya Utabiri wa Hali ya Hewa (TMA).

Ameeleza kuwa miaka yote wamekuwa wakifanya vizuri katika kuomba na kwamba maombi ya leo  yataleta majibu kwa muda wa masaa 24.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Gardner Habash wa Clouds Fm afariki dunia

Spread the loveALIYEKUWA mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo cha...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

error: Content is protected !!