Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Algeria yajiita maskini jeuri
Kimataifa

Algeria yajiita maskini jeuri

Mji Mkuu wa Algeria, Algiers
Spread the love

ALGERIA imesema haitachukua mkopo wa kigeni licha ya nchi hiyo kukabiliwa na matatizo mengi ya ndani hususani ya kiuchumi, anaandika Victoria Chance.

Uchumi wa nchi hiyo umeporomoka kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la kimataifa.

Abdul Majeed Taboun Waziri Mkuu wa Algeria ameyasema hayo katika kikao na mkuu wa Jumuiya ya

Waajiri na Wafanyakazi wa nchi hiyo na kuongeza kuwa, Rais Abdelaziz Bouteflika wa nchi hiyo amepiga marufuku nchi yake kuchukua mkopo kutoka nje hadi pale taifa litakapokuwa halikabiliwi na hatari yoyote ile.

Aidha, amesema kuwa nchi hiyo inataka kuwa moja ya nchi zinazostawi kiuchumi kwa kuzalisha bidhaa za aina mbalimbali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

error: Content is protected !!