Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Afya ya Dk. Kigwangalla yaimarika
Habari za Siasa

Afya ya Dk. Kigwangalla yaimarika

Dk. Hamisi Kigwangalla, Waziri wa Maliasili na Utalii (kulia) akizungimza na Naibu wake, Japhet Hasunga
Spread the love

HALI ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla inazidi kuimarika ambapo kwa mara ya kwanza tangu alazwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, amefanya mazoezi ya kupanda ngazi kwa miguu kutoka ghorofa ya kwanza hadi ya sita. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Waziri Kigwangalla alilazwa Muhimbili baada ya kupata ajali tarehe 4 Agosti mwaka huu, maeneo ya Magugu mkoani Manyara akiwa njiani akitokea Arusha kuelekea Dodoma.

Akizungumza na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga aliyemtembelea hospitalini hap oleo tarehe 14 Agosti, 2018, Dk. Kigwangalla amesema hali yake inazidi kuimarika.

Awali, tarehe 12 Agosti mwaka huu, Dk. Kigwangalla alifanyiwa operesheni ya mkono na madaktari wa Muhimbili ambapo ilimalizika salama na sasa anaendelea vizuri.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za Siasa

CCM yamkana mwenyekiti UVCCM aliyetaka wapinzani wapotezwe

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejitenga na kauli ya mwenyekiti...

error: Content is protected !!