Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Admin wa WhatsApp afungwa miezi mitano jela
KimataifaTangulizi

Admin wa WhatsApp afungwa miezi mitano jela

Spread the love

MWANAFUNZI mmoja anayefahamika kwa jina la Junaid Khan (21) ametumikia kifungo cha miezi mitano gerezani nchini India kwa kuwa msimamizi wa kundi la WhatsApp ambalo ulitumwa ujumbe wa matusi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Junaid Khan alishtakiwa kwa kosa la uasi kufuatia kundi hilo kutumwa ujumbe wa matusi huku yeye akiwa miongoni mwa viongozi wa kundi ‘Admin’, hata hivyo alikana kuutuma ujumbe huo.

Adhabu hiyo imemkumba Khan kufuatia sheria ya mitandao nchini India kuruhusu vyombo vya dola kuwachukulia hatua wasimamizi wa makundi ya mitandao ya kijamii au admins ikiwemo kuwafunga gerezani, kwa kosa la kwa kusambaza ujumbe unaoonekana kuwa ni tusi kidini au kisiasa.

Hata hivyo, Polisi inamshikilia admin aliyetoroka kundini kwa madai ya kuhusika kutuma ujumbe huo.

Chanzo: BBC Swahili

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kutunukiwa udaktari wa heshima Uturuki

Spread the loveBaraza la Chuo Kikuu cha Ankara, ambacho ni cha pili...

error: Content is protected !!