Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa ACT-Wazalendo waomba mkutano wa maridhiano
Habari za Siasa

ACT-Wazalendo waomba mkutano wa maridhiano

Spread the love

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali pamoja na wadau wa demokrasia nchini kuitisha mkutano wa kitaifa wa maridhiano ya kisiasa kwa ajili ya kujadili changamoto zinazokabili mfumo wa vyama vingi. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Wito huo umetolewa leo tarehe 15 Agosti, 2018 jijini Dar es Salaam na Dorothy Semu, Kaimu Katibu Mkuu wa ACT wakati akizungumza na wanahabari kuhusu matokeo ya uchaguzi mdogo uliofanyika hivi karibuni.

Semu amesema matokeo ya uchaguzi huo ambapo CCM ilishinda kwa asilimia mia, yameonyesha kwamba imefunga mlango wa wananchi kuchagua viongozi wa njia ya kidemokrasia, na hivyo si jambo jema kwa ustawi wa demokrasia.

“CCM ijue kuwa inapofunga mlango wa wananchi kuchagua viongozi kwa njia ya kidemokrasia, inafungua milango mingine ambayo inaweza kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko,” amesema na kuongeza Semu.

Hili si jambo lenye afya kwa taifa.Uitishwe Mkutano wa Kitaifa wa maridhiano ya kisiasa ambapo changamoto

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!