Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa ACT-Wazalendo waja 50 kwa 50
Habari za Siasa

ACT-Wazalendo waja 50 kwa 50

Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT wazalendo Bara
Spread the love

CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania kimesema, endapo kitaingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 20200, kitaweka usawa wa kijinsia wa 50 kwa 50 kwenye uongozi. Anaripoti Faki Sosi, Lindi … (endelea).

Hayo yamesemwa leo Jumatano tarehe 2 Septemba 2020 na Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo kwenye mkutano wa kampeni ya Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Bernard Membe kwenye viwanja vya Bustani ya Mkapa Kilwa Masoko.

Doroth amesema, chama hicho ndio chama pekee kitakachotekeleza sera ya 50 kwa 50 kwenye nafasi za uongozi kati ya wanaume na wanawake.

“Miaka mitano imekuwa michungu kwa wanawake wa Tanzania, ACT-Wazalendo itampa mwaname wa kitanzania heshima na kwamba  ACT-Wazalendo, tunasema 50 kwa 50 wanawake na kwamba wanawake wanaweza,” amesema Doroth.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

error: Content is protected !!