Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa ACT-Wazalendo waikaba Polisi
Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo waikaba Polisi

Spread the love

MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam imekiruhusu chama cha ACT-Wazalendo kulishtaki Jeshi la Polisi Tanzania kwa kuzuia ziara za chama hicho. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Kesi hiyo namba 8 ya mwaka 2018 imepangwa kuanza kusikilizwa Aprili 4, mwaka huu mbele ya Jaji Ferdinand Wambari, Jaji Rehema Sameji, na Jaji Rose Teemba.

Chama hicho kimefunga shauri hilo kwa lengo la kulishtaki jeshi hilo kuacha kuingilia shughuli za chama hicho isivyo halali.

Frebruari 23 mwaka huu Kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe alitiwa mbaroni na jeshi la Polisi mkoani Morogoro kwa kudaiwa kufanya ziara kinyume na sheria.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!