Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko 900 inapendeza azitia ‘nuksi’ nyumba za Lugumi
Habari Mchanganyiko

900 inapendeza azitia ‘nuksi’ nyumba za Lugumi

Nyumba ya mfanyabiashara Lugumi iliyoshindwa kuuzwa leo
Spread the love

KWA mara nyingine mnada wa kuuza nyumba za mfanyabiashara Said Lugumi umeshindwa kufanikiwa baada ya wateja wengi kutofikia bei inayotakiwa, anaandika Mwandishi Wetu.

Katika mnada uliopita nyumba hizo hazikununuliwa baada ya mmoja wa wateja waliozitaka, Dk. Luis Shika kwa jina marufu ‘900 inapendeza’ kupandisha bei hadi Sh. 900 milioni, lakini alipotakiwa kulipa asimilia 25 kama sehemu ya malipo alishindwa kwa madai kwamba fedha zake nje ya nchi.

Hata hivyo, leo mnada huo umerudiwa tena na nyumba iliyopo kitalu 47 Mbweni JKT imeshindwa kununuliwa kutokana na wateja kuhsindwa kufikia bei elekezi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!