SIKU tatu baada ya kufariki Ruge Mutahana, aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group (CMG), Ruge Mutahaba, leo tarehe 7 Machi 2019, mtangazaji na Mahiri wa Clouds FM kupitia kipindi cha Jahazi, Ephrahim Kibonde amefariki dunia. Anaripoti Bupe Mwakitelekeko…(endelea).
Taarifa za msiba huo tayari zimedhibitishwa na Clouds Media. John Mongella, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amethibitisha kufariki kwa Kibonde.
“Mtangazaji wa Clouds FM Kibonde amefariki dunia hapa Mwanza, alianza kusumbuliwa na presha alipokuwa Bukoba kwenye msiba wa marehemu Ruge Mutahaba na kuhamishiwa Mwanza,” amesema Mongella.
Taarifa zaidi zitawajiwa hapa MwanaHALISI ONLINE
Leave a comment