Friday , 29 March 2024

Day: November 24, 2020

Habari Mchanganyiko

RC Mghwira: Tutengeneze condom zetu

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro (RC), Anna Mghwira ameishauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), kuangalia uwezekano wa kuweka mikakati ya kutengeneza kondom...

Habari za Siasa

Chadema yawakana Mdee na wenzake

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimekana kutambua wabunge wake 19 wa viti maalum walioapishwa jijini Dodoma. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea). Wabunge...

Habari za Siasa

Walichosema Mdee, Matiko baada ya kuapishwa

HALIMA James Mdee, Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, chama hicho kime wapa dhamana na watakitumikia kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge 19 Chadema  waapishwa Dodoma

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai  amewapisha wabunge 19 wa viti maalum          kupitia  Chama cha Demokraisa (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Michezo

Sakata la kufungiwa Rais CAF, lawaibua TFF

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa ufafanuzi juu ya kiasi cha dola za kimarekani 20, 000 (zaidi ya Tsh 43 milioni),...

Habari za Siasa

Museveni achekwa na kamanda wake

JENERALI Mugisha Muntu, Kamanda wa zamani wa Jeshi la Uganda na aliyeshiriki kumweka madarakani Rais Yoweri Museveni mwaka 1986, sasa anamcheka. Unaripoti mtandao...

Habari Mchanganyiko

Magufuli ampa kazi Dk. Shein, Mwakyembe

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi watatu. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ya...

Habari Mchanganyiko

Rais Trump akubali kung’oka

DONALD Trump, Rais wa Marekani amesalimu amri mbele ya Joe Biden na sasa anajiandaa kung’oka madarakani. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Ameelekeza taasisi husika...

Michezo

Kocha Yanga atimkia Mamelodi Sundowns

KLABU ya Mamelodi Sundowns inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini inatarajia kumtambulisha Riedoh Berdien aliyekuwa kocha wa viungo wa Yanga kujiunga na timu hiyo...

Habari za Siasa

DPP awafutia mashtaka viongozi Bavicha waliosota rumande siku 170

KATIBU Mkuu wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), Nusrat Hanje, Mratibu wa Uhamasishaji wa baraza hilo, Twaha Mwaipaya...

error: Content is protected !!