Saturday , 20 April 2024

Day: November 23, 2020

Habari Mchanganyiko

TMA yatangaza mvua kubwa Dar

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kunyesha mvua kubwa kesho Jumanne tarehe 24 Novemba 2020 baadhi ya maeneo ya mikoa ya...

Habari Mchanganyiko

WiLDAF: Madawati ya jinsia yaanzishwe vyuoni kukali ngono

VYUO Vikuu nchini Tanzania, vimeshauri kuanzisha madawati ya jinsia ili kutokomeza vitendo hivyo vinavyojitokeza na kuathiri wanafunzi wawapo masomoni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Zitto amweka njia panda Dk. Mwinyi

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha  ACT-Wazalendo amesema, hadi sasa chama hicho hakijafanya uamuzi kuhusu ushiriki wake katika uundwaji wa Serikali ya Umoja...

Michezo

Tulia mgeni rasmi fainali Miss Tanzania

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Tulia Akson atakuwa mgeni rasmi kwenye fainali ya...

Michezo

Undertaker atandika daluga

BAADA ya miaka 30 ya ubabe na purukushani katika uwanja wa mielekeka, Mark Calaway maarufu kwa jina la Undertaker ameamua kustaafu mchezo huo....

Habari Mchanganyiko

Lissu atoa masharti matatu kurejea, amjibu IGP Sirro

TUNDU Lissu, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ametoa masharti matatu ili arejee nchini. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za Siasa

Dk. Tulia akwepa ofisi ya Sugu

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Dk. Ackson Tulia ameamua kutumia sehemu ya jengo la Mkuu wa Wilaya ya Mbeya kufanya majukumu yake ya kibunge...

Habari Mchanganyiko

Dawa ya REGEN- COV2 iliyomtibu Trump yapitishwa

DAWA ya virusi vya corona aina ya REGEN- COV2, iliyotumika kumtibu Rais wa Marekani, Donald Trump imeidhinishwa na Mdhibiti wa Dawa Marekani kwa...

Michezo

FIFA ‘yamtupa jela’ Rais wa CAF miaka mitano

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (Fifa) limemfungia kujihusisha na shughuli za moita wa miguu kwa miaka mtano, Rais wa Shirikisho la Mpira...

error: Content is protected !!