TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, imewafikisha Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam watuhumiwa watatu kati ya wanne...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2020TUME ya Taifa ya Ushindani (FCC) imeleza kuwa haihusiki na kucheleshwa kwa mfumo wa mabadiliko wa uendeshaji wa klabu ya Simba bali kuchelewa...
By Kelvin MwaipunguNovember 19, 2020TAKWIMU za Jeshi la Polisi na Chama cha ACT – Wazalendo kuhusu mauaji yaliyotokea Zanzibar wakati wa uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2020MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro ameeleza kuwa, kuna watu walipanga wakati wa Uchaguzi Mkuu, nchi isitawalike. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeNovember 19, 2020RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema, anasuburi uamuzi wa Maalim Seif Sharif Hamad na chama chake cha ACT – Wazalendo katika...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2020DAKTARI Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar ametangaza Baraza la Mawaziri huku wizara mbili na nafasi ya manaibu waziri akiziweka kiporo. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2020RAIS wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Hussein Alli Mwinyi amesema kuwa kuwa yupo tayari kukaa na wadau wa michezo visiwani humo...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2020INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP) nchini Tanzania, Simon Sirro amewataka wanasiasa waliokimbia nje ya nchi kwa madai ya kutishiwa usalama wa maisha yao...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2020