CHAMA cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania kimesema, hakiko tayari kupokea nafasi za ubunge wa viti maalumu kwani kitakuwa kinachochea machafuko kwenye jamii. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2020CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), kimelaani matukio ya ukatili wa kijinsia yanayoendelea nchini huku kikiitaka Serikali na wananchi kutafuta mwarobaini wa changamoto...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2020KLABU ya Soka ya Yanga imesikitishwa na kushtushwa na tukio la kushikiliwa na kuhojiwa kwa mshauli wao mkuu, Senzo Masingiza jana kwenye kituo...
By Kelvin MwaipunguNovember 12, 2020SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ‘amekishangaa’ Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuendelea na mjadala wa ama wapeleke majina ya wabunge...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2020MAHAKAMA Kuu ya Zanzibar imewaamuru Kamishna wa Polisi Zanzibar na Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Zanzibar (DCI), kufika mahakamani kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2020NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amesema, atawapa kipaumbele na kuwalinda wabunge vijana waliokuwepo na waliongia...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2020BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limemthibitisha Mbunge wa Ruangwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa nchi...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2020RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua, Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo kwa kipindi cha miaka...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2020TUNDU Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameendelea kupinga chama hicho kupeleka wabunge wa viti maalum...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2020