Friday , 29 March 2024

Day: November 12, 2020

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yagomea wabunge viti maalumu

CHAMA cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania kimesema, hakiko tayari kupokea nafasi za ubunge wa viti maalumu kwani kitakuwa kinachochea machafuko kwenye jamii. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ukatili wa watoto, Tamwa yaiangukia jamii na Serikali

CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), kimelaani matukio ya ukatili wa kijinsia yanayoendelea nchini huku kikiitaka Serikali na wananchi kutafuta mwarobaini wa changamoto...

Michezo

Yanga yasikitishwa kushilikiwa Senzo, Polisi yanena

KLABU ya Soka ya Yanga imesikitishwa na kushtushwa na tukio la kushikiliwa na kuhojiwa kwa mshauli wao mkuu, Senzo Masingiza jana kwenye kituo...

Habari za Siasa

Viti maalum: Spika Ndugai awashangaa Chadema kulumbana

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ‘amekishangaa’ Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuendelea na mjadala wa ama wapeleke majina ya wabunge...

Habari za Siasa

Sakata la kina Mazrui, DCI na Kamishna Polisi waitwa kortin  

MAHAKAMA Kuu ya Zanzibar imewaamuru Kamishna wa Polisi Zanzibar na Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Zanzibar (DCI), kufika mahakamani kwa ajili ya...

Habari za Siasa

Dk. Tulia achaguliwa naibu spika ‘nitawalinda wabunge vijana’

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amesema, atawapa kipaumbele na kuwalinda wabunge vijana waliokuwepo na waliongia...

Habari za Siasa

Majaliwa achambuliwa bungeni, athibitishwa waziri mkuu

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limemthibitisha Mbunge wa Ruangwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa nchi...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli amteua tena Majaliwa waziri mkuu 

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua, Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo kwa kipindi cha miaka...

Habari za Siasa

Lissu apigilia msumali wabunge viti maalum Chadema

TUNDU Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameendelea kupinga chama hicho kupeleka wabunge wa viti maalum...

error: Content is protected !!