TUNDU Antipas Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania, katika uchaguzi mkuu uliyopita, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameondoka nchini kwenda Ubeljiji....
By Hamisi MgutaNovember 10, 2020CHAMA cha Wananchi (CUF), kimebariki wabunge wake wawili waliotangazwa kuwa washindi katika katika uchaguzi mkuu uliyopita nchini Tanzania, kuhudhuria vikao vya Bunge. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2020BONDIA mtanzania Hassani Mwakinyo anatarajia kushuka ulingoni 13 Novemba, 2020 kutetea mianda wake wa chama cha WBF dhidi ya bondia Raia wa Argentina,...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2020SHIRIKISHO la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeruhusu mashabiki kuingia uwanjani kwenye mchezo kati ya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)...
By Kelvin MwaipunguNovember 10, 2020SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka wabunge wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokukaa kimya bungeni na watakaofanya hivyo “umeliwa...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2020JOB Ndugai, amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea) Uchaguzi wa...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2020JOB Ndugai, mgombea Uspika wa Bunge la 12 la Tanzania amesema, ofisi ya Bunge itatoka haki sawa kwa wabunge wote ikiwemo wa upinzani...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2020