Friday , 29 March 2024

Day: November 8, 2020

Habari za SiasaTangulizi

Lema akimbilia ubalozi wa Marekani kuomba hifadhi

ALIYEKUWA mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), nchini Tanzania, Godbless Lema amekimbilia nchini Kenya, ili kuomba hifadhi ya kisiasa, katika ubalozi wa Marekani, jijini...

Habari za Siasa

Kigogo CUF ang’olewa kwa kubariki uchaguzi mkuu

CHAMA Cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, kimemvua madaraka Naibu Katibu Mkuu wake Zanzibar, Ali Makame Issa kwa kosa la kwenda kinyume na msimamo...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi ateua makamu wa pili wa Rais

RAIS na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Hemed Suleiman Abdallah kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo ‘yawapiga stop’ wabunge wake kwenda bungeni

KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Tanzania, ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe amesema, wananchi wasitegemee kuwaona wabunge wa chama hicho wakienda bungeni. Anaripoti Hamis...

Habari za Siasa

Mambo matano Bunge jipya

WAKATI Bunge la 12 likianza shughuli zake Jumanne tarehe 10 Novemba 2020 jijini Dodoma, mambo matano yanatarajiwa kujili ndani ya Bunge hilo ambalo...

Habari za SiasaTangulizi

Viti Maalum Chadema pasua kichwa, CC yaahirishwa

CHAMA cha Demokrasia na Mendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kiko njiapanda juu ya kuamua kupendekeza majina ya wabunge wa viti maalum kwa Tume ya...

error: Content is protected !!