Friday , 29 March 2024

Day: October 12, 2020

Habari za SiasaTangulizi

NEC yaijibu Chadema ‘tangazeni sera’

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imesema, zabuni ya kumpata mchapishaji wa karatasi za kupigia kura ilitangaza kwa mujibu wa Sheria...

Habari Mchanganyiko

Bosi Takukuru aomba kukiri makosa uhujumu uchumi

MKURUGENZI wa zamani wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Kulthum Mansoor, ameiomba Ofisi ya Mkurugenzi...

Habari za Siasa

Kubenea kuanzisha benki, kiwanda cha taka Kinondoni

SAED Kubenea, Mgombea Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo amesema, ana mpango wa kuanzisha benki kwa ajili ya wananchi wa jimbo hilo. Anaripoti Hamis...

Habari za Siasa

Stori ya Enock iliyomuumiza Lissu Singida

STORI ya kushambuliwa kwa Wilfred Enock, mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imemuumiza Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia chama...

Habari za Siasa

Mgombea Chadema amwangushia jumba bovu mgombea CCM

CONCHESTA Rwamlaza, mgombea ubunge katika Jimbo la Bukoba vijinini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemtuhumu Jason Rweikiza, mgombea mwenzake kupitia Chama...

Habari za Siasa

‘Mchawi’ wa Mbowe Hai achunguzwa

OFISA wa Jeshi la Polisi katika Jimbo la Hai, Mkoani Kilimanjaro, anachunguzwa na jeshi hilo kwa madai ya kumtabiria Freeman Mbowe, mgombea ubunge...

Habari za Siasa

Gambo apanga kummaliza Lema

MRISHO Gambo, mgombea ubunge Jimbo la Arusha mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), ameamua kubadili mtindo wa kummaliza Godbless Lemba, mgombea ubunge wa jimbo...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif akwepa kitanzi cha NEC

MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, ameshindwa kumnadi kwa jina Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia...

error: Content is protected !!