Thursday , 25 April 2024

Day: October 2, 2020

Habari Mchanganyiko

Treni ya abiria Dar-Arusha yazinduliwa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC),Aboubakar Kunenge amezindua safari ya kwanza ya treni ya abiria kutoka Dar es salaam kwenda Mkoani...

Habari za Siasa

Lissu atoa msimamo, kamati kuu Chadema yaitwa

TUNDU Antiphas Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, uamuzi uliofanywa na Kamati ya Maadili ya Tume...

Habari Mchanganyiko

Tamwa yajitosa rushwa ngono vyombo vya habari

CHAMA cha Wanahabri Wanawake Tanzania (Tamwa) kimezindua mradi wa ‘rushwa ya ngono miongoni wanahabari wanawake katika vyombo vya habari’ kwa kuangalia tatizo hilo...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yamshusha Lissu jukwaani siku 7

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemsimamisha Tundu Lissu, mgombea urais kupitia Chadema kufanya kampeni kwa siku saba kuanzia kesho Jumamosi hadi 9...

Habari Mchanganyiko

RC Moro akumbushwa wazazi kuchangia maendeleo

LOATA Ole Sanare, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro amewataka wazazi kufanyia kazi kwa vitendo maazimio mbalimbali yanayotolewa katika vikao vya kamati za shule...

Kimataifa

Rais Trump, mkewe waambukizwa corona 

RAIS wa Marekani, Donald Trump na mkewe Melania Trump, sasa wapo karantini baada ya kukumbwa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti BBC … (endelea). Kabla...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi ‘waitikia’ msimamo wa Lissu

HATUA ya Jeshi la Polisi kufuta wito uliomtaka Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kujipeleka katika...

Habari za Siasa

Magufuli: Mkiniletea wale, hampati maji

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amesema, wananchi wa Tunduma, Mkoa wa Songwe wakichagua mgombea nje ya...

Habari za SiasaTangulizi

Marekani yamkana Lissu, JPM

LICHA ya Dk. John Magufuli, mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM na Tundu Lissu, mgombea urais kupitia Chadema kutawala siasa ngazi ya urais,...

error: Content is protected !!