MUSTAFA Muro, Mgombea Ubunge wa Kinondoni jijini Dar es Salaam kupitia NCCR-Mageuzi, ameahidi kuboresha maisha ya wananchi wa jimbo hilo, endapo watamchagua katika...
By Regina MkondeSeptember 10, 2020TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imeshindwa kumteua Maalim Seif Sharif Hamad kugombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT-Wazalendo baada ya kuwekewa pingamizi....
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2020JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania, amewataka Watanzania kutumia kura zao vizuri katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020,...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imewarejesha wagombea ubunge 19 baada ya kuzifanyia kazi rufaa 22. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2020HELKOPTA (chopa) iliyotarajiwa kumbeba Tundu Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuelekea Bagamoyo mkoani Pwani, imegomewa kuruka. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeSeptember 10, 2020NAHODHA wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mbwana Samatta anayekipiga kwenye klabu ya Astorn Villa huenda akauzwa katika dirisha hili kubwa...
By Kelvin MwaipunguSeptember 10, 2020SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imezitaka klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara kuwasilisha wasifu na vyeti vya makocha wao waliowaajili kuvinoa...
By Kelvin MwaipunguSeptember 10, 2020MAMA Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) iwashughulikie...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2020WAGONJWA milioni 20.1 waliokuwa wameambukizwa virusi vya corona (COVID-19) duniani wamepona. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Mtandao wa worldometer umeripoti leo Alhamisi...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2020TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema wataweka kituo cha kuhesabu kura zao kama Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2020TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kukerwa na fikra za ‘ubeberu’ zinazopandwa kwake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Hamisi MgutaSeptember 9, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imechambua rufaa zingine 34 za ubunge kati ya hizo, 13 imewarejesha kugombea ubunge, 21 imezikataa....
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, ameonesha wasiwasi wa kukwamishwa katika kinyang’anyiro hicho. Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2020TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaaam…(endelea)....
By Faki SosiSeptember 9, 2020ASKOFU wa Kanisa la Power of God Fire, Dankton Rweikila amesema unapojenga nyumba ya Mungu ni mbegu ambayo inapandwa ndani ya jamii na...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2020WANANCHI waishio pembezoni mwa hidhafi ya msitu wa shamba la miti la Saohill wameonywa kuacha uvamizi mpya wa maeneo ya hifadhi ambao husababisha...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzani, imeweka wazi rufaa 55 zilizowasilishwa na wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, Mgombea Urais Zanzibar kupitia ACT- Wazalendo amewakaribisha wale wote ambao wanataka kumwekea pingamizi Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufanya...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2020WACHUNGAJI kutoka nchi za Marekani na Rwanda wameahidi kuombea nchi zao na nyingine kuondokana na janga la Ugonjwa wa Corona kupitia Tanzania kwa...
By Christina HauleSeptember 9, 2020MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetangaza mikoa 16 itakayopata mvua za vuli chini ya wastani hali itakayosababisha ukame katika maeneo hayo....
By Regina MkondeSeptember 8, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzani, imekubali rufaa 15 kati ya 55 za wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe...
By Mwandishi WetuSeptember 8, 2020OFISI ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imetoa tangazo la nafasi za walimu wa shule za msingi na sekondari...
By Mwandishi WetuSeptember 8, 2020MICHEZO ya raundi ya kwanza ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2020/21 imemalizika huku ikishuhudia magoli 14 yakifungwa katika mechi kumi. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguSeptember 8, 2020MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Rais John Pombe Magufuli, ameeleza mchakato wa kuwapata wagombea ubunge wa Buchosa jijini Mwanza na...
By Mwandishi WetuSeptember 8, 2020KAULI kwamba ‘tutashirikiana’ kati ya Chama cha ACT-Wazalendo na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imeanza kudhihiri kwa vitendo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Unguja...
By Mwandishi WetuSeptember 8, 2020TIMU ya KMC FC ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imeanza kwa kushindo Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2020/21 kwa kuifunga Mbeya...
By Mwandishi WetuSeptember 7, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) itamfikisha mahakamani mwalimu, Kondwani Masata akituhumiwa kutoa rushwa ya Sh.90,000 kama kishawishi kwa Katibu Tawala...
By Mwandishi WetuSeptember 7, 2020MGOMBEA Ubunge wa Mufindi Kusini Mkoa wa Iringa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), David Kihenzile amesema, vijana na wasomi wote wanaoishi nje ya...
By Mwandishi WetuSeptember 7, 2020JUMLA ya wagombea 62 wa Chama cha ACT-Wazalendo, wameng’olewa kwenye kinyang’anyoro cha ubunge Tanzania Bara na visiwani Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...
By Mwandishi WetuSeptember 6, 2020DAKTARI John Magufuli, mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema, licha ya kufanya kazi kubwa ya kuleta maendeleo Tanzania, bado kuna watu...
By Mwandishi WetuSeptember 6, 2020ASKOFU Josephat Gwajima, mgombea ubunge katika Jimbo la Kawe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema alianza kuitumikia Kawe siku nyingi. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuSeptember 6, 2020MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya tano...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2020CHAMA cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania leo Jumamosi tarehe 5 Septemba 2020 kimezindua rasmi kampeni zake za Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2020JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania, amesema ukosefu wa uaminifu ndiyo sababu vyama vya siasa vya upinzani kutofikia mwafaka wa...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2020MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Simba imemtangaza Barbara Gonzalez Kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) mpya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endeleaa) Barbara ametangazwa...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2020CHAMA cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania kimeoneshwa kusikitishwa na kauli ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Simon Sirro aliyesema ataweka kambi visiwani Zanzibar, kwa...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2020CHAMA cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania kimezindua Ilani yake ya Uchaguzi Mkuu wa Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020, waliyoipa jina la ‘Ilani ya Mwafaka...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2020KANISA Katoliki nchini Tanzania, limevitaka vyombo vyote vinavyosimamia Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 kutenda haki ili kutoivuruga amani iliyopo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2020JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limewakamata wagombea ubunge na udiwani kutoka Chama cha Demokraaia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wanakwenda Ofisi ya Tume...
By Danson KaijageSeptember 5, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Kinondoni, Dar es Salaam, kimeanza safari ya kusaka uongozi kata na jimbo hilo, katika Uchaguzi...
By Masalu ErastoSeptember 5, 2020JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwarejesha wagombea wao wa...
By Danson KaijageSeptember 5, 2020ALICIA Magabe, mke wa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameeleza jinsi walivyokutana na kukubaliana kisha...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2020MGOMBEA ubunge wa Ubungo, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo amesema, akichagulia atahakikisha anaishaiwi Serikali kujengwa ukumbi wa...
By Hamisi MgutaSeptember 5, 2020PROFESA Kitila Mkumbo, mgombea ubunge wa Ubungo, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amebainisha vipaumbele kumi atakavyokwenda kuvifanyia kazi endapo atachaguliwa...
By Hamisi MgutaSeptember 5, 2020MGOGORO baina ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), umemalizika baada ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2020TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kwamba, utawala wa awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli,...
By Mwandishi WetuSeptember 4, 2020NEYMAR de Santos, mshambuliaji wa timu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya nchini Ufaransa na wachezaji watatu wa timu hiyo, amekutwa na virusi vya...
By Mwandishi WetuSeptember 4, 2020JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kukerwa na kauli kwamba ‘wapinzani waongo, matapeli.’ Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora…(endelea)....
By Mwandishi WetuSeptember 4, 2020DAKTARI John Magufuli, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema anataka kukaa Ikulu kwa miaka 10 kama Rais Mstaafu, Jakaya...
By Mwandishi WetuSeptember 4, 2020MGOMBEA Urais wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo, Bernard Membe amewafafiji wahanga wa mafuriko Kata ya Njinjo wilayani Kilwa mkoani Lindi. Anaripoti Faki Sosi, Lindi...
By Mwandishi WetuSeptember 3, 2020