Thursday , 25 April 2024

Month: September 2020

Habari za Siasa

Lissu ‘afukua makaburi’ Mbarali

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, ugomvi wa wakulima na wafugaji ‘ni la kuundwa.’ Anaripoti...

Habari za Siasa

Majaliwa awahamasisha wananchi kujikita kwenye kilimo

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa Singida waingie kwenye kilimo...

Elimu

Magufuli amtetea mkuu Shule iliyoteketea Kagera 

SELEMAN Abdul, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Byamungu Islamic, iliyopo Kyerwa mkoani Kagera, ametetewa na Rais John Pombe Magufuli, mgombea urais wa...

Habari za Siasa

Magufuli ahofia kura za jazba

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli ameeleza kuhofia jazba katika upigaji kura kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika...

Habari Mchanganyiko

Kamanda Shana afariki dunia

ALIYEKUWA Ofisa Mnadhimu wa Chuo cha Polisi Moshi (CCP), Jonathan Shana amefariki dunia Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Membe: Tumekimbiwa

BERNARD Membe, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, mazingira magumu ya siasa kwa sasa, yamesababisha marafiki na wafanyabiashara kushindwa kuwasaidia. Anaripoti...

Michezo

ZFF yamlilia ‘Mr White’

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) kupitia rais wake Seif Kombo Pandu imetoa pole na kutuma salamu za rambi rambi kufuatia kifo...

Michezo

Yanga kujipima ubavu kwa Mlandege

TIMU Yanga kesho itacheza mchezo wa kujipima nguvu dhidi mabingwa wa Ligi Kuu visiwani Zanzibar, Mlandege katika kujiweka sawa kuwakabili Kagera Sugar kwenye...

Kimataifa

Mpango wa amani Afghanstan wapita pagumu

ZALMAY Khalilzad, mjumbe wa Marekani katika kutafuta amani nchini Afghanstan, bado anatetea uamuzi wa kuwachia huru maelfu ya wafungwa wa Talban, ingawa bado...

Habari za Siasa

Dk. Magufuli: Wana Muleba msirudie makosa

DAKTARI John Magufuli, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amewataka wananchi wa Kata ya Kasharunga wilayani Muleba, Bukoba kutorudia kosa...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru alia wapinzani kuiumiza CCM

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amelalamikia vyama vya upinzani kukichafua chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

NEC: Tutaanza kuchukua hatua kali kwa…

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imewataka wagombea ubunge na udiwani waliokata rufaa kuwa na subra  wakati rufaa hizo zikishughulikiwa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Jino kwa jino CCM vs Chadema

NI jino kwa jino, ndivyo unavyoweza kusema baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo kwa pamoja kupiga yole...

Habari za SiasaTangulizi

Mgombea Ubunge CCM afariki dunia

SALIM Abdullah Turky (57), mbunge anayemaliza muda wake katika jimbo la Mpendae, Unguja, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Membe kutua Tanzania, asema yuko imara

BERNARD Kamilius Membe, mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT-Wazalendo, anarejea nchini mwake kesho Jumanne tarehe 15 Septemba 2020 akitokea Dubai. Anaripoti...

Habari za Siasa

Vijana wa kilimo Moshi waipigia chapuo CCM

MUUNGANO wa Vijana wa Kilimo cha kitalu nyumba (MVIKIKINYU) katika halmashauri ya Moshi mkoani Kilimanjato, umeipongeza serikali kwa kuwapa elimu ya mkulima na...

Michezo

Morrison awaponza Manara na Hanspope

KAMATI ya maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewapiga faini kiasi cha Shilingi 5 milioni, Msemaji wa klabu ya Simba,...

Habari Mchanganyiko

Jaji Bomani azikwa Dar, Majaliwa amwelezea

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa Kassim ameongoza mazishi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hayati Mark Bomani huku akiwataka Watanzania wamuenzi kwa...

Habari za Siasa

Magufuli ajibu wanaohoji maendeleo Chato

JOHN Magufuli, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema, wanaohoji kwa nini amejenga Uwanja wa Ndege Chato mkoani Geita “washindwe...

Habari za Siasa

Maalim Seif amgomea Zitto

MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, amekataa ombi la Kiongozi wa chama hicho, Zitto Zuberi Kabwe la kurudi nyumbani...

Habari za Siasa

RC Mghwira awapa somo wanasiasa wanaotafuta kura

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzanmia, Anna Mghwira amewataka wanasiasa kutumia majukwaa yao ya kisiasa kutoa matamko ya matumaini kwa wananchi ili...

Habari za Siasa

Zitto amjibu Lissu ‘inawezekana’

OMBI la Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), aungwe mkono na Chama cha ACT-Wazalendo kwa upande...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru: Magufuli akimaliza miaka 10 anaondoka

JOHN Pombe Magufuli, Rais wa Tanzania hataongeza muda wa kukaa madarakani pindi vipindi vyake viwili vya Serikali ya awamu wa Ttno vitafika ukomo....

Habari za Siasa

Kubenea: Nilihofia kugawa kura Ubungo

SAED Kubenea, mgombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, amesema hakugombea ubunge katika Jimbo la Ubungo ili kutogawa kura za...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif: Naingia Ikulu 2020

MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, amejigamba kuingia Ikulu ya Zanzibar baada ya kushinda katika Uchaguzi Mkuu...

Michezo

Man Utd, Man City kuanza Ligi mwisho wa wiki hii

KLABU za Manchester United na Manchester City zinatarajia kuanza mbio zake kwenye Ligi Kuu nchini Uingereza mwishoni wa juma hili baada ya kupumzika...

Michezo

Yanga yaanza kukusanya pointi Ligi Kuu

GOLI la dakika ya 86 lililofungwa kwa kichwa na beki kisiki wa Yanga, Lamine Moro limetosha kuwapa furaha mashabiki wa timu hiyo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Tanzania kuvuna asilimia 60 ya Bomba la Mafuta

SERIKALI ya Tanzania na ya Uganda zimekubaliana kuanza ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi kwenye Bandari ya Tanga...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atoa ahadi ‘mwiba’ kwa vigogo

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameahidi kukwapua ardhi iliyotwaliwa na vigogo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Ifakara..(endelea). Mbele ya...

Habari za Siasa

Mwakyembe aiambia CCM ‘kujaa mikutanoni si ushindi’

HARRISON Mwakyembe, aliyekuwa mbunge wa Kyela kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametahadharisha kwamba kujaa watu kwenye mikutano si hoja ya kushinda. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Saratani ya matiti yaanza kushambulia wenye umri mdogo

WASTANI wa umri wa wanawake wanaogundulika kuugua saratani ya matiti katika Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) umeshuka. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...

Habari za Siasa

Rais Museveni atua Chato

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewasili Uwanja wa Ndege wa Chato Mkoa wa Geita na kupokewa na mwenyeji wake, Rais wa Tanzania, John...

Habari za Siasa

CCM yazindua kampeni Z’bar, Dk. Mwinyi amwaga ahadi

DAKTARI Hussein Ali Mwinyi, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ametaja mambo atakayotekeleza endapo atafanikiwa kuchaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa...

Michezo

Mtibwa yaing’ang’ania Simba

DAKIKA 90 zimemalizika dimba la Jamhuri mkoani Morogoro kwa mabingwa watetezi wa ligi kuu Vodacom Tanzania Bara 2020/21, Simba kutoshana nguvu kwa kufungana...

Habari za Siasa

Rais Shein: Wazanzibar msijaribu uongozi

ALI Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar anayemaliza muda wake, amewataka wananchi wa visiwa hivyo, kutofanya makosa kwa kumchagua Rais mwenye tamaa na asiyekuwa...

Habari za Siasa

Profesa Lipumba: Tukipoteza uchaguzi huu, tutajuta

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF) amesema, wananchi wakishindwa kuutumia Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020...

Habari Mchanganyiko

Wawili wadakwa wakijifanya maofisa usalama, polisi

WATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam nchini Tanzania kwa tuhuma za kujifanya maofisa wa usalama wa...

Habari Mchanganyiko

Raia saba wa kigeni mbaroni tuhuma uhalifu mtandaoni

RAIA saba wa kigeni wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania kwa tuhuma za uhalifu kwa njia...

Habari za Siasa

NEC yaamua rufaa 60, Jesca arejeshwa kumvaa Dk. Mwigulu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imemrejesha Jesca Kishoa kuwa mgombea ubunge Iramba Magharibi Mkoa wa Singida kupitia Chadema. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Milioni 4.9 zamkamatisha kigogo wa Takukuru

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, imemkamata ofisa wake wa uchunguzi mwandamizi, Nina Sipilon Saibul kwa tuhuma za kuomba...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aichongea CCM kwa WanaKigoma

ZITTO Zuberi Kabwe, mgombea ubunge Kigoma Mjini kupitia ACT-Wazalendo, ametoa sababu tano ambazo wananchi wa Mkoa wa Kigoma wanapaswa kutokichagua Chama Cha Mapinduzi...

Habari za Siasa

Sumaye: Mgombea huyu hafai

FREDERICK Sumaye, Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania ambaye aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani amedai, wapo...

Habari za SiasaTangulizi

ZEC yamteua Maalim Seif kugombea urais

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imemteua Maalim Seif Sharif Hamad kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 27 na...

Habari Mchanganyiko

Wasafi FM yafungiwa siku 7

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kusitisha utoaji huduma za utangazaji kwa Wasafi FM kwa muda wa siku saba baada ya kukiuka kanuni...

Habari Mchanganyiko

Mwanasheria Mack Boman afariki dunia

MWANASHERIA Mkuu wa kwanza Tanzania, Mark Bomani amefariki dunia usiku wa kumakia leo tarehe 11 Septemba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Maalim Seif: Sina wasiwasi na mapingamizi

MAALIM Seif Sharif Hamad, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, hana wasiwasi juu ya mapingamizi aliyowekea Tume ya Uchaguzi Zanzibar...

Michezo

Yanga wazindua jezi mpya 2020/21

MABINGWA wa kihistoria wa soka nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam, wamezindua jezi mpya ambazo zitatumika katika msimu wa 2020/21. Anaripoti...

Habari za Siasa

CCM yamtwisha zigo la ushindi Kikwete mikoa ya Kusini

CHAMA tawala nchini Tanzania cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kimempeleka Rais mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete katika mikoa ya Kusini, ili akamalize wavurugaji wa chama...

Habari za Siasa

Lissu: Ama zangu, ama za Magufuli

LICHA ya kinyang’anyiro cha wagombea Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020 kuwa na wagombea 15, Tundu Lissu miongoni...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea apata dhamana, kuendelea na kampeni Kinondoni

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania, imemwachia kwa dhamana mgombea ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Ahmed Kubenea. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha...

error: Content is protected !!