Thursday , 25 April 2024

Day: September 22, 2020

Habari za Siasa

Majaliwa: 28 Oktoba siyo siku ya mzaha

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amemaliza ziara yake mkoa wa Mara na kuwaeleza wananchi Jumatano tarehe 28...

Habari za SiasaTangulizi

Kumwachia Lissu: Zitto amaliza utata

KAULI aliyoitoa Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo leo tarehe 22 Septemba 2020, imemaliza utata kwamba, chama hicho hakina jinsi ispokuwa kuungana...

Habari za Siasa

Chanzo ajali ya Chadema hiki hapa

GARI lililowabeba baadhi ya maofisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kupata ajali katika eneo la Msoka, Kata ya Ngogwa iliyopo...

Habari za Siasa

Lissu amharibia Magufuli Kagera 

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemchongea Rais John Magufuli kwa wananchi wa Mkoa wa Kagera,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo kuanza na mambo 10 Ikulu

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetaja hatua 10 itakazochukua kuimarisha sekta binafsi na uwekezaji, endapo kitafanikiwa kushika dola. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora … (endelea).  ...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif amuunga mkono Lissu, Membe na Zitto wasema…

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetangaza kumuunga mkono Tundu Lissu, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020....

error: Content is protected !!