Wednesday , 24 April 2024

Day: September 21, 2020

Habari MchanganyikoTangulizi

Fatma Karume: Nimefukuzwa

FATMA Karume, mwanasheria na mwanaharakati wa haki za binadamu nchini, amefukuzwa katika Kampuni ya Uanasheria ya IMMMA aliyoshiriki kuianzisha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Balozi wa Poland aongoza kusafisha ufukwe Kawe

KRZYSZTOF Buzalski, Balozi wa Poland nchini Tanzania ameungana na wadau wa masuala ya usafi, kusafisha ufukwe wa Kawe jijini Dar es Dalaam. Anaripoti...

Michezo

Gundogan akutwa na Corona

KLABU ya Manchester City inayoshiriki Ligi Kuu nchini England imethibitisha kuwa kiungo wake Ilkay Gundogan amekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada...

Habari za Siasa

Mgombea Chadema Dodoma Mjini ahidi afya, elimu, maji

AISHA Madoga, mgombea ubunge katika Jimbo la Dodoma mjini kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameahidi kuboresha sekta ya elimu, afya na...

Habari za Siasa

Mgombea udiwani aahidi ujenzi Daraja la Nzuguni

ALOYCE Luhega, mgombea udiwani wa Kata ya Nzuguni, jijini Dodoma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameahidi kusimamia ujenzi wa daraja linalounganisha Nzuguni C...

Michezo

Karia ruksa kuwania uongozi FIFA

KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeidhinisha kuwa rais wa sasa wa shirikisho hilo, Wallace Karia kugombea ujumbe...

Habari za Siasa

JPM ampinga Lissu, asema ‘tusijaribu’

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amewataka Watanzania kutomchagua mgombea anayehubiri Serikali za Majimbo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora …...

Habari za Siasa

Kasubi ataja vipaumbele akichaguliwa Mzimuni

BAKAR Kasubi, mgombea Udiwani wa Mzimuni Kinondoni, jijini Dar es  Salaam amawaeleza wananchi wa kata hiyo endapo watamchagua atahakikisha wananchi wanapata asilimia 10...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu apata kigugumizi Kigoma Mjini, kisa Zitto

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amewaacha njia panda wanachama wa chama hicho Jimbo la Kigoma Mjini. Anaripoti...

Habari za Siasa

Bashange ampigia chapuo Kubenea Kinondoni

JORAN Bashange, Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama cha ACT-Wazalendo, amewataka wananchi wa jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam pamoja na Kata...

error: Content is protected !!