TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetoa mchanganuo wa rufaa 616 za Ubunge, Udiwani na malalamiko jinsi walivyozishughulikia huku wagombea ubunge...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imewasomea mashtaka watu wawili kwa kosa la kuchapisha maudhui mtandaoni bila leseni kutoka Mamlaka...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2020BONIFACE Jacob, Mgombea Ubunge wa Ubungo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, wako tayari kuachiana maeneo ya uchaguzi, kama watapata maelekezo...
By Regina MkondeSeptember 18, 2020MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imewahukumu kifo, watu watano waliopatikana na hatia ya kumuuwa kwa makusudi, Dk. Sengodo Mvungi,...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), nchini Tanzania, kimeeleza hakina tatizo na Rais John Magufuli, mgombea urais wa nchi hiyo kupitia Chama Cha...
By Regina MkondeSeptember 18, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais visiwani Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, Humphrey Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2020JOHN Pombe Magufuli, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 amesema, kinachoimaliza...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2020MSHAMBULIAJI raia wa Rwanda Jacque Tuisenge amesaini miaka miwili kuitumikia klabu ya Apr inayoshiriki Ligi Kuu nchini humo akitokea klabu ya Petro Luanda...
By Kelvin MwaipunguSeptember 18, 2020MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), RAIS John Pombe Magufuli amewashangaa watu wanaompinga Dk. Phillip Mpango katika Jimbo la Buhigwe...
By Regina MkondeSeptember 18, 2020ZITTO Zuberi Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na Saed Kubenea, mgombea ubunge wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam, wameongoza mashambulizi dhidi ya...
By Hamisi MgutaSeptember 18, 2020MAONYESHO ya tatu ya teknolojia za uchimbaji madini mkoani Geita yanayofanyika kati ya tarehe 17 hadi 27 Septemba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Geita...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2020AKIFIKA kwenye majimbo yanaoongozwa na wapinzani, anasema “mmechelewa kwa sababu mlichagua wapinzani.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Mafia … (endelea). Ni kauli ya Zitto Kabwe,...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2020SHULE 28 za wilaya ya Bariadi Mkoa wa Simiyu zikiwemo 11 za msingi na 17 za sekondari zimenufaika na mfumo wa uboreshaji wa...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2020UHURU wa kiuchumi kwa Wazanzibari kupitia zao la Karafuu, sasa utapatiwa ufumbuzi kwa wakulima kuuza kokote watakapo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zamzibar … (endelea)....
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2020