BERNARD Kamilius Membe, mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT-Wazalendo, anarejea nchini mwake kesho Jumanne tarehe 15 Septemba 2020 akitokea Dubai. Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2020MUUNGANO wa Vijana wa Kilimo cha kitalu nyumba (MVIKIKINYU) katika halmashauri ya Moshi mkoani Kilimanjato, umeipongeza serikali kwa kuwapa elimu ya mkulima na...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2020KAMATI ya maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewapiga faini kiasi cha Shilingi 5 milioni, Msemaji wa klabu ya Simba,...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa Kassim ameongoza mazishi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hayati Mark Bomani huku akiwataka Watanzania wamuenzi kwa...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2020JOHN Magufuli, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema, wanaohoji kwa nini amejenga Uwanja wa Ndege Chato mkoani Geita “washindwe...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, amekataa ombi la Kiongozi wa chama hicho, Zitto Zuberi Kabwe la kurudi nyumbani...
By Hamisi MgutaSeptember 14, 2020MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzanmia, Anna Mghwira amewataka wanasiasa kutumia majukwaa yao ya kisiasa kutoa matamko ya matumaini kwa wananchi ili...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2020OMBI la Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), aungwe mkono na Chama cha ACT-Wazalendo kwa upande...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2020JOHN Pombe Magufuli, Rais wa Tanzania hataongeza muda wa kukaa madarakani pindi vipindi vyake viwili vya Serikali ya awamu wa Ttno vitafika ukomo....
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2020SAED Kubenea, mgombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, amesema hakugombea ubunge katika Jimbo la Ubungo ili kutogawa kura za...
By Hamisi MgutaSeptember 14, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, amejigamba kuingia Ikulu ya Zanzibar baada ya kushinda katika Uchaguzi Mkuu...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2020KLABU za Manchester United na Manchester City zinatarajia kuanza mbio zake kwenye Ligi Kuu nchini Uingereza mwishoni wa juma hili baada ya kupumzika...
By Kelvin MwaipunguSeptember 14, 2020