Friday , 29 March 2024

Day: September 9, 2020

Habari za Siasa

Lissu: Safari hii tutafanya kama CCM

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema wataweka kituo cha kuhesabu kura zao kama Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Wewe umetumwa na mabeberu? Swali lililomchefua Lissu

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kukerwa na fikra za ‘ubeberu’ zinazopandwa kwake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

13 washinda rufaa za ubunge, 21 watoswa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imechambua rufaa zingine 34 za ubunge kati ya hizo, 13 imewarejesha kugombea ubunge, 21 imezikataa....

Habari za Siasa

Maalim Seif ahofia ‘kukatwa’ urais Z’bar

MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, ameonesha wasiwasi wa kukwamishwa katika kinyang’anyiro hicho. Anaripoti...

Habari za Siasa

Lissu: Hatujidanganyi, uchaguzi huu mgumu

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaaam…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Askofu ahusisha ujenzi wa kanisa na maisha ya jamii

ASKOFU wa Kanisa la Power of God Fire, Dankton Rweikila amesema unapojenga nyumba ya Mungu ni mbegu ambayo inapandwa ndani ya jamii na...

Habari Mchanganyiko

Wananchi waonywa matukio moto hifadhi za misitu

WANANCHI waishio pembezoni mwa hidhafi ya msitu wa shamba la miti la Saohill wameonywa kuacha uvamizi mpya wa maeneo ya hifadhi ambao husababisha...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yaweka wazi rufaa 55  

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzani, imeweka wazi rufaa 55 zilizowasilishwa na wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...

Habari za Siasa

Maalim Seif awakaribisha wanaotaka kumweka pingamizi

MAALIM Seif Sharif Hamad, Mgombea Urais Zanzibar kupitia ACT- Wazalendo amewakaribisha wale wote ambao wanataka kumwekea pingamizi Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufanya...

Habari Mchanganyiko

Wachungaji Marekani, Rwanda waombea corona wakiwa Tanzania

WACHUNGAJI kutoka nchi za Marekani na Rwanda wameahidi kuombea nchi zao na nyingine kuondokana na janga la Ugonjwa wa Corona kupitia Tanzania kwa...

error: Content is protected !!