Thursday , 28 March 2024

Month: August 2020

Habari

Mhadhiri UDOM kizimbani kwa rushwa ya ngono

JACOB Paul Nyangusi, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) nchini Tanzania, itamfunguliwa kesi ya Uhujumu Uchumi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

Habari za Siasa

Wagombea ubunge, uwakilishi CCM Agosti 22

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kitateua wagombea ubunge, uwakilishi na viti maalum tarehe 22 Agosti 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)...

Habari Mchanganyiko

Geita kunufaika na bilioni 9 za GGML

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na Halmashauri ya Mji wa Geita wamesaini makubaliano ya utekelezaji wa Mpango wa kusaidia Jamii...

Habari za SiasaTangulizi

Masheikh, Maaskofu wataka haki uchaguzi mkuu 2020

TAASISI za dini nchini Tanzania- Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)...

Habari za Siasa

Majaliwa akerwa wanaotafuta uongozi kwa rushwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ihakikishe Watanzania hawarubuniwi ili watumie vizuri utashi wao...

Michezo

Yanga wamkatia rufaa Morrison Fifa

MUDA mchache baada ya Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kutoa maamuzi ya kesi ya kimkataba kati ya klabu ya Yanga na...

Michezo

Morrison aishinda Yanga, kupelekwa kamati ya maadili

BERNARD Morrison amefanikiwa kuibwaga klabu ya Yanga kwenye kesi ya kimakataba iliyokuwa inasikilizwa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho...

Habari za SiasaTangulizi

Wagombea ubunge 200 Chadema hawa hapa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimetoa orodha ya pili ya walioteuliwa kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba...

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Tanzania lataka wananchi waishio porini kuondoka

JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limewataka raia kuondoka porini karibu na mpaka wake na taifa la Msumbiji, wakati huu wanapojiandaa kupambana na...

Kimataifa

Namibia yaigomea fidia ya Ujerumani

RAIS wa Namibia, Hage Geingob amekataa kupokea fidia iliyotolewa na serikali ya Ujerumani, kama fidia ya mauaji ya kimbari. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...

Habari za Siasa

Mch. Msigwa ‘alianzisha’ Iringa Mjini

MCHUNGAJI Peter Msigwa, aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini amesema, hana imani na baadhi ya watendaji wa uchaguzi kuelekea uchaguzi mkuu wa tarehe 28...

Kimataifa

Biden ateua mgombea mwenza mweusi

JOE Biden, mgombea urais kupitia Chama cha Democratic nchini Marekani, amemteua Kamala Harris, Seneta wa California kuwa mgombea mwenza wake. Inaripoti mitandao ya...

Habari Mchanganyiko

DIT inavyojipanga kukabili soko la ajira

TAASISI ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) inakusudia kuboresha mitaala ya shahada mbili za umahiri (masters) ili kuendana na ushindani wa soko la...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu 2020: NEC, vyombo vya usalama viwabane wanaodhalilisha wanawake

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na vyombo vya dola nchini Tanzania, vimetakiwa kuchukua hatua kali dhidi ya wanasiasa na watu wanaotoa lugha...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro: 2020 wasilaumu dola

INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amesema, kuna viongozi wa siasa wanaashiria shari kwenye kauli zao na kwamba, ‘kesho’ wasiilamu...

Michezo

Nyaraka kuamua hatma ya kesi ya Morison, Yanga

KAMATI ya Sheria na hadhi ya Wachezaji inatarajia kutoa maamuzi juu ya kesi ya kimkataba kati ya mchezaji Benard Morrison na uongozi wa...

Habari za Siasa

Shibuda atumia samaki kuzungumzia utawala bora

JOHN Shibuda, mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha Ada- Tadea amesema, iwapo Watanzania watamchagua katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba...

Habari za SiasaTangulizi

Wagombea ubunge CCM, presha inapanda, presha inashuka

TAKRIBANI wanachama 8,000 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), walioshiriki mbio za ubunge kupitia chama hicho, sasa wako matumbo joto, kufuatia kuibuka kwa taarifa,...

Habari za SiasaTangulizi

Pazia la ubunge, udiwani kufunguliwa leo NEC

FOMU za kuwania ubunge na udiwani katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 202 zinaanza kutolewa leo Jumatano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Lissu kuboresha sekta ya afya, nyongeza ya mishahara

MGOMBEA Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amesema, iwapo atapewa ridhaa ya kuwa rais jambo la kwanza...

Habari za Siasa

Ashikiliwa Takukuru kutorejesha milioni 44 kwa miaka kumi za Saccos

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Manyara, inamshikilia mkazi wa Mjini Babati, Yuda Sendeu akidaiwa kuzuia Sh. 44.7 milioni...

Habari za SiasaTangulizi

Wagombea 10 waliochukua fomu urais Tanzania 

WAGOMBEA kumi wa urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 wamechukua fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi  (NEC)....

Habari za Siasa

Prof. Lipumba achagiwa milioni 1 ya fomu za urais

WANAWAKE wa Chama Cha Wananchi (CUF), wamemkabidhi Prof. Ibrahim Lipumba, Mgombea wa chama hicho wa Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...

Habari za Siasa

421 kuchuana kuwania nafasi 10 ubunge viti maalum UVCCM

BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), leo Jumamosi tarehe 8 Agosti 2020 unafanya kura za maoni kwa wagombea...

Habari Mchanganyiko

Mfumo wenye neema kwa wakulima wazinduliwa Tanzania

WAZIRI wa Kilimo wa Tanzania, Japhet Hasunga amezindua rasmi huduma maalum ya kuhakiki pembejeo inayofahamika kwa jina la ‘T-hakiki.’ Anaripoti Mwandishi Wetu, Simiyu...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu achukua fomu urais Tanzania, asindikizwa kwa msafara NEC

TUNDU Antiphas Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema amekabidhiwa fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano 28 Oktoba 2020 na...

Michezo

Yanga yaachana na Yondani na Juma Abdul

KLABU ya Yanga leo imetangaza rasmi kuachana na wachezaji wake wakongwe, Kelvin Yondani na Juma Abdul baada ya kutofikia makubaliano baada ya mikataba...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi yamteua Maganja kugombea urais, Z’bar wakosa

YEREMIA Kurwa Maganja ameteuliwa na Mkutano Mkuu wa chama cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi kugombea urais wa nchi hiyo katika Uchaguzi Mkuu...

Habari za Siasa

Majaliwa akagua ujenzi SGR, atoa maagizo kwa RC Pwani

WAZIRI Mkuu wa Tanznaia, Kassim Majaliwa, amekagua ujenzi wa mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) akiridhishwa na kiwango na kasi ya maendeleo ya...

Habari za Siasa

Maslahi ya chama yawaengua wagombea urais NCCR-Mageuzi, wajumbe waduwaa

WANACHAMA watatu wa chama cha NCCR-Mageuzi, wamejitoa kuwania urais urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa...

Habari za Siasa

Membe achukua fomu kuwania urais Tanzania

BERNARD Kamilius Membe, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT-Wazalendo, amechukua fomu ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...

Habari za Siasa

Babu Duni, Selasini watofautiana NCCR-Mageuzi kushirikiana na Chadema, ACT-Wazalendo

MAKAMU Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo-Zanzibar, Juma Duni Haji maarufu ‘Babu Duni’ amekitaka Chama cha NCCR-Mageuzi kukubali kushirikiana na vyama vingine vya upinzani...

Habari za Siasa

Lissu kupokelewa kifalme Dodoma

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kati, kimeandaa mapokezi ya aina yake pindi Tundu Lissu atakapokanyaga ardhi ya jiji hilo. Anaripoti Danson...

Habari za Siasa

CUF ‘wamchomea’ Lissu, Membe

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimeeleza, rais hapaswi kuchaguliwa kwa kuhurumiwa kutokana na kupigwa risasi ama kufukuzwa kwenye chama chake. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Sheikh Alhad: Mufti angeruhusi, ningejiunga NCCR-Mageuzi

ALHAD Mussa Salum, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema, Kama Sheikh Aboubakar Zuberi, Mufti Mkuu wa Tanzania angemruhusu kujiunga na...

Habari Mchanganyiko

TOSCI yadhibiti mbegu feki

TAASISI ya kudhibiti ubora wa mbegu Tanzania (TOSCI) imefanikiwa kudhibiti uwepo wa mbegu feki baada ya kuimarisha matumizi ya lebo maalum ikiwemo kuweka...

Habari Mchanganyiko

Ufugaji wa Sungura na kukua kwa mnyonyoro wa thamani wa mkulima

UFUGAJI wa mnyama Sungura umekuwa na faida nyingi bila watu kujua duniani na hivyo kubaki wakifuga wanyama wengine. Anaripoti Christina Haule, Morogoro …...

Habari Mchanganyiko

TFRA: Mawakala, wasambazaji wafikirieni wakulima wadogo

MAWAKALA wa usambazaji mbolea kwa wakulima nchini wametakiwa kuweka mbolea zenye ujazo wa aina mbalimbali madukani ili wakulima wenye uwezo wowote wa kifedha...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa maji Jet-Buza neema kwa wananchi

AWAMU ya kwanza ya Ujenzi wa Mradi wa maji wa Jeti-Buza jijini Dar es Salaam inaendelea kwa kasi ambapo mtandao wa bomba la...

Habari za Siasa

Watatu wajitosa kuwania urais NCCR-Mageuzi

WANACHAMA watatu wa chama cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania, watachuana kuwania kuteuliwa na chama hicho kugombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu, Membe watwishwa zigo ushirikiano Chadema na ACT-Wazalendo

HATMA ya kuwapo kwa ushirikiano wa vyama viwili vya siasa nchini Tanzania vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na ACT- Wazalendo kuelekea...

Kimataifa

Mlipuko Beirut: Vifo vyafika 137

NCHI ya Bangladesh imetangaza kupeleka msaada wa chakua na dawa haraka baada ya Mji wa Beirut, Lebanon kukumbwa na janga la mlipuko. Inaripoti...

Habari za Siasa

Magufuli atamani Ndugai awe spika tena

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, ameanza kupigiwa kampeni za kuongoza Bunge hilo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya uchaguzi...

Habari za Siasa

CCM kuzindua kampeni Dodoma

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Rais John Pombe Magufuli, amependekeza kampeni za Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba 2020 za...

Habari za Siasa

Magufuli: Nataka Tanzania iwe kama Ulaya

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli amesema, Serikali anayoingoza, imefanya mambo makubwa kwa wananchi huku akitamani...

Habari za Siasa

CCM yaiga staili ya upinzani

KAULI zilizokuwa zikitolewa na vyama vya upinzani nchini Tanzania kwamba ‘tutalinda kura zetu,’ sasa zinatolewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Michezo

Ninja arejea Yanga

ABDALLAH  Shaibu (Ninja) amerejea tena ndani ya Yanga kwa mkataba wa miaka miwili akitokea klabu ya La Garaxy inayoshiriki ligi kuu nchini Marekani....

Michezo

Mshambuliaji mpya Yanga aibuka mchezaji Bora mwezi Julai

MSHAMBULIAJI wa zamani wa klabu ya Mbao FC ya Mwanza, Waziri Junior ameibuka mchezaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara mwezi Julai katika...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu 2020: CCM yaanza mbwembwe

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kimeanza kumwaga tambo, mbwembwe na kejeli dhidi ya vyama pinzania kuelekea uchaguzi mkuu wa Jumatano tarehe 28...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli achukua fomu kuwania urais Tanzania

DAKTARI John Pombe Magufuli amechukua fomu ya kuwania urais wa nchi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Alhamisi tarehe 6 Agosti 2020...

error: Content is protected !!