LIGI Kuu ya Uingereza (EPL) msimu wa 2020/21 itaanza tarehe 12 Septemba 2020 ikishuhudia mechi sita zikipigwa katika viwanja tofauti. Inaripoti Mitandao ya...
By Mwandishi WetuAugust 20, 2020MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Rais John Pombe Magufuli, imewataka wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, kumtanguliza Mungu na...
By Mwandishi WetuAugust 20, 2020JOTO la wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliojitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania ubunge wa majimbo na wale wa Viti Maalum, linazidi kupanda,...
By Mwandishi WetuAugust 19, 2020MARAIS wastaafu wa Marekani, Bill Clinton na Jimmy Carter wamesema Donald Trump, rais wa sasa wa Taifa hilo amesababisa vurugu kwa taifa hilo....
By Mwandishi WetuAugust 19, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wabadilike na wajifunze kujivunia kilicho chao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani … (endelea). “Lazima tubadilike Watanzania,...
By Kelvin MwaipunguAugust 19, 2020FLUGENCE Massawe, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), ameshauri mamlaka husika (Wizara ya Mambo ya...
By Regina MkondeAugust 19, 2020UTATA umeibuka katika majimbo manne ya uchaguzi baada ya Wakurugenzi wa Uchaguzi, kuwanyima fomu wagombea wateule wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)....
By Regina MkondeAugust 19, 2020MSANII wa kimataifa kutoka Tanzania, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz atakuwa miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kilele cha tamasha la mabingwa wa soka wa...
By Masalu ErastoAugust 19, 2020MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama Cha NLD, Maisha Mapya Muchunguzi amekabidhiwa fomu za uteuzi wa urais na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa...
By Mwandishi WetuAugust 19, 2020RAIS wa Mali, Ibrahim Boubacar Keita ametangaza kujiuzulu pamoja na Waziri Mkuu wake, Boubou Cissé muda mfupi baada ya wanajeshi waasi kuwakamata na...
By Mwandishi WetuAugust 19, 2020MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli ameongoza kikao cha kamati kuu ya chama hicho Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma. Anaripoti...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020VITA ya maneno kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Marekani Novemba 2020, sasa imebebwa na Michelle Obama, mke wa Rais mstaafu wa taifa hilo, Barack...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020MTANDAO wa Utetezi wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini Tanzania (Tanzania Human Rights Defenders Coalition -THRDC), hatimaye umetangaza kusitisha shughuli zake kwa...
By Saed KubeneaAugust 18, 2020JOB Ndugai, aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri, amewataka watu wenye ulemavu kufika katika halmashauri ili wapewe asilimia mbili za mapato kwa mujibu...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeuwa watu wanne kwa risasi wakidai kuwa ni majibizano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020VISIWA vya Zanzibar na Pemba vimepata pigo, Mzee Hassan Nassoro Moyo ambaye ni miongoni mwa waasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964, amefariki...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020GODBLESS Lema, amechukua fomu ya kuwania Ubunge Arusha Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020WAGOMBEA udiwani 169 kati ya 1145 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), walioomba kuteuliwa kugombea udiwani kupitia chama hicho mkoani Kilimanjaro, wamepitishwa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020CONSTATINE Kanyasu, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii ameitaka Bodi mpya ya magavana wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori (Mweka), kuhakikisha wanatoa mafunzo yenye...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimerudishwa nyuma tarehe ya kutaja majina ya waliopitishwa kugombea ubunge, udiwani na uwakilishi visiwani Zanzibar. Anaripoti Brightness Boaz, Dar...
By Masalu ErastoAugust 18, 2020MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) imetangaza kusitisha shughuli zake nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea) Taarifa...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020NCHINI Zimbabwe, Serikali imegoma kupokea barua iliyoandikwa na Baraza la Maaskofu la Katoliki ikilalamikia vitendo vya rushwa, unyanyasaji, umasikini na haki za binadamu....
By Mwandishi WetuAugust 17, 2020SAFARI ya kuwania ubunge, uwakilishi (Zanzibar) na udiwani ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenye uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, itahitimishwa...
By Masalu ErastoAugust 17, 2020BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) 2020/21, imetoa ratiba ya ligi hiyo inayoshirikisha timu 18. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuAugust 17, 2020DAKTARI John Magufuli, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Rais wa Tanzania amesema, katika miaka 40 tangu kuanzishwa kwa...
By Masalu ErastoAugust 17, 2020VIONGOZI wa dini nchini Tanzania, wamekemea vitendo vya vurugu kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Masalu ErastoAugust 17, 2020MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani, yamefikia milioni 21.8, waliopona milioni 14.5 huku waliofariki dunia kutokana na ugonjwa huo wakiwa 773,122. Inaripoti...
By Mwandishi WetuAugust 17, 2020BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) 2020/21, imetangaza ratiba ya mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo inayoshirikisha timu 18. Anaripoti...
By Mwandishi WetuAugust 17, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewataka viongozi na wanachama wake kuanza mikakati ya chini kwa chini, ili kumsaidia Tundu Lissu, aliyepitishwa na...
By Mwandishi WetuAugust 17, 2020ASKOFU wa Kanisa la Mlima wa Moto, Jimbo la Dodoma na Nyanda za Juu Kusini, Sylvanus Komba amewataka vijana kuacha kukaa vijiweni na badala...
By Danson KaijageAugust 16, 2020TAALIB Karim Mbowe, mfanyabiashara na mmiliki wa Kampuni ya White Star Investiment jijini Dodoma anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
By Masalu ErastoAugust 16, 2020CHAMA cha ACT-Wazalendo. kimetangaza orodha ya wagombea 198 wa ubunge na uwakilishi, Tanzania Bara na Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea). Akitangaza...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2020WATU waliohusika na tukio la kuchoma Ofisi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, sasa wanasakwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha…(endelea). Jeshi...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2020HARAKATI za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020 zinashika kasi. Tayari wagombea ngazi ya urais bara na visiwani wanajulikana. Anaandika Mwandishi...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2020KWA mara ya kwanza, Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu katikati ya wiki, Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 tangu mfumo wa vyama vingi uliporejea tena...
By Masalu ErastoAugust 15, 2020KLABU ya Simba imemsajiri aliyekuwa beki wa Lipuli FC, David Kameta, kwa mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuimalisha kikosi chao kuelekea...
By Kelvin MwaipunguAugust 15, 2020ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali ameiomba Serikali nchini humo kuhakikisha Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe...
By Danson KaijageAugust 15, 2020SERIKALI ya Tanzania imetumia Sh.1.1trilioni kumaliza tatizo la mgawo wa umeme. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo amesema na Dk. Hassan Abbasi,...
By Regina MkondeAugust 15, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli anakabidhi rasmi kijiti cha Uenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kwa Rais wa Msumbiji,...
By Mwandishi WetuAugust 15, 2020MABINGWA wa Ligi Kuu ya soka Vodacom Tanzania Bara (VPL) 2019/20 timu ya Simba, imewatambulisha wachezaji wawili mshambuliaji na beki. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuAugust 14, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kutochagua wanasiasa wanaohubiri chuki na k6utoa maneno ya vitisho. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Kiongozi huyo...
By Danson KaijageAugust 14, 2020KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa uamuzi katika malalamiko tisa ya watoa huduma ya utangazaji kwa makosa mbalimbali ya...
By Hamisi MgutaAugust 14, 2020RAIS John Magufuli ameshauri Kanisa la Assembly of God (TAG), kuelekenza nguvu katika ujenzi wa viwanda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Ametoa...
By Mwandishi WetuAugust 14, 2020KLABU ya Simba leo Ijumaa 14 Agosti, 2020 imezindua nembo yake mpya na jezi zitakazotumika kwenye msimu ujao wa kimashindano 2020/21 katika michuano...
By Kelvin MwaipunguAugust 14, 2020RAIS John Magufuli amekabidhiwa tuzo ya ‘hongera’ kutokana na namna alivyokabiliana na ugonjwa wa Homa ya Mapafu inayosababishwa na virusi vya corona (COVID-19)....
By Mwandishi WetuAugust 14, 2020TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema licha ya Ofisi ya Kanda ya Kaskazini kuchomwa moto, ratiba yake...
By Mwandishi WetuAugust 14, 2020WANAHABARI nchini wametakiwa kuandika habari zikiwemo za uchaguzi kwa kuzingatia maadili, sheria na kanuni ili kuepuka vichocheo vya machafuko nchini na duniani kwa...
By Christina HauleAugust 14, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imempatia muda zaidi mdhamini wa Tundu Lissu ili amtafute na kumfikisha mahakamani baada ya...
By Faki SosiAugust 13, 2020PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amesema njia ya kuingia Ikulu ipo wazi. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam …...
By Hamisi MgutaAugust 13, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) visiwani Zanzibar, kimeteua wagombea 30 kati ya 50 wa ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...
By Masalu ErastoAugust 13, 2020