Friday , 29 March 2024

Day: August 5, 2020

Habari za Siasa

Urais Z’bar: Maalim Seif amtumia salamu Dk. Mwinyi

MAALIM Seif Shariff Hamad, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, amemtumia salamu Dk. Hussein Mwinyi,...

Habari za Siasa

Watatu wachukua fomu za urais Tanzani

WAGOMBEA watatu wamechukua fomu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kugombea Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020....

Habari za Siasa

Membe ataja mtaji wa kumwingiza Ikulu, agusia katiba mpya

BERNARD Kamilius Membe, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha upinzani nchini humo cha ACT-Wazalendo ameeleza mikakati atakayoifanya yeye na chama chake, pindi...

Makala & Uchambuzi

Uchaguzi mkuu 2020: Wanawake wajitokeza, rasimu ya Warioba yakumbukwa

JUMATANO ya tarehe 28 Oktoba 2020, Watanzania wenye sifa za kupiga kura, watakuwa na fursa ya kujitokeza kuwachagua madiwani, wabunge na Rais. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif, Membe wateuliwa kugombea urais Tanzania na Z’bar

MKUTANO Mkuu wa chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, kimewateua Bernard Membe na Maalim Seif Sharif Hamad kuwa wagombea urais...

Habari Mchanganyiko

Tujali, tuitunze miundombinu – Waziri Jafo

SERIKALI imetoa wito kwa Watanzania kutunza miundombinu nchini ili fedha zielekezwe kwenye maeneo mengine ya maendeleo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Wito huo umetolewa...

Habari za Siasa

Fatma Karume atoa somo la demokrasia, amkosoa Msajili

FATMA Karume, Rais Mstaafu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika, ametoa somo la demokrasia kwenye Mkutano Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, unaofanyika leo...

Habari za Siasa

Lissu amtahadharisha Membe, agusia ushirikiano na ACT-Wazalendo

MWANASIASA machachari wa upinzani nchini Tanzania,Tundu Antipas Lissu, amemuonya kada wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bernard Membe, kuwa upinzani wa sasa...

Habari za Siasa

Zitto aeleza ACT-Wazalendo itakayofanya ikiingia Ikulu

KIONGOZI wa chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amechambua masuala mbalimbali ambayo chama hicho endapo kikiibuka mshindi katika...

Habari za SiasaTangulizi

Msajili ashangazwa Lissu kuibuka mkutano ACT-Wazalendo, Chadema yamjibu

OFISI ya Msajili wa vyama vya siasa nchini Tanzania, imeendelea kusisitiza vyama vya siasa kuzingatia sheria za nchi katika kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika...

Habari za Siasa

Polepole alia na Lissu, Chadema

HUMPREY Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameitaka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kukishughulikia Chama cha Demokrasia...

Habari za Siasa

Lissu aibua shangwe mkutano mkuu ACT-Wazalendo

TUNDU Antipus Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameibua shangwe ndani ya Mkutano Mkuu wa ACT-Wazalendo. Anaripoti...

Habari za Siasa

Polepole apasua vichwa waliopita kura za maoni

CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimeeleza kutokuwa na simile kwa wanachama wake, waliopita kwenye kura za maoni kisha kukutwa na makandokando. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Maalim Seif: Tukishindwa tutakubali, lakini tukishinda…

MWENYEKITI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema, endapo watashindwa kihalali katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 watakuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Wiki hii: JPM, Lissu ‘kukutana’ NEC

MIOAMBA miwili ya siasa nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, inatarajiwa ‘kupigana kumbo’ katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi (NEC),...

Habari za Siasa

Membe, Maalim Seif kuteuliwa na ACT-Wazalendo kugombea urais Tanzania, Z’bar?

CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, kinafanya mkutano mkuu wa chama hicho ukiwa na ajenga mbili kuu kuelekea Uchaguzi Mkuu...

Habari za Siasa

NEC kuanza kutoa fomu za urais leo

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inaanza kutoa fomu za uteuzi kwa wagombea urais wa Tanzania na makamu wake, kuanzia leo Jumatano tarehe...

Habari za Siasa

Chadema: Siku 60 za kampeni zitafidia miaka 5 ya giza

CHAMA cha Demokrasia na Maendeeleo (Chadema), kimesema kitatumia siku 60 za kampeni za uchaguzi kwa kasi kufidia miaka  mitano ya kuwa kigzani katika...

error: Content is protected !!