RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi watano wa Halmashauri (DED) nchi humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Uteuzi...
By Masalu ErastoJuly 4, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakurugenzi watatu katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Mbeya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Masalu ErastoJuly 4, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka watu wanaoishi kwenye makazi ya Mishamo na Katumba wawe waadilifu na wasitumike kama madalali wa kuingiza...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2020KAMATI Maalum ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, imependekeza majina matano kati ya 31 ya wanachama wa chama hicho waliojitokeza...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2020CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema kimesema, kitatumia nguvu ya umma, kushinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeonya watia nia katika kugombea nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kutoleta mpasuko ndani ya...
By Regina MkondeJuly 4, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimeweza kupata wagombea wa ubunge na udiwani, takribani asilimia 90 ya viti vyote vinavyogombewa. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 4, 2020PROFESA Ibrahim Haruna Lipumba, Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), kwa kutumia mamlaka ya kikatiba, amemsimamisha Naibu Katibu Mkuu Zanzibar wa chama hicho,...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2020TUNDU Antipas Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amechukua fomu ya kugombea urais wa Tanzania, kupitia chama hicho, katika...
By Regina MkondeJuly 4, 2020WAZIRI MKuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira rafiki na wezeshi ili kuviwezesha viwanda vidogo sana, vidogo na vya kati...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2020TUNDU Antipas Lissu, Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, atarejea Tanzania mwishoni mwa mwezi huu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2020