HOSPITALI ya Rufaa ya KCMC Mkoa wa Kilimanjaro, imeanza mchakato wa ujenzi wa hosteli za wagonjwa wa saratani wenye kipato cha chini ili...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2020TUME ya kuchunguza matukio ya majengo ya Shule za Msingi na Semondaei za Kislamu kuungua kwa moto jijini Dar es Salaam inakamilisha taarifa...
By Regina MkondeJuly 31, 2020KAMATI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) 2019/20, imetoa orodha ya majina 30 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa...
By Hamisi MgutaJuly 31, 2020ABOUBAKAR Zubeir, Mufti Mkuu wa Tanzania, amewaonya watu wanaopanga kufanya vurugu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba, 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Luteni Kanali Patrick Kenani Sawala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2020AGNESS Mchau (30), ameibuka mshindi kura za maoni ubunge wa viti maalum Mkoa wa Kilimanjaro kupitia Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi...
By Mwandishi WetuJuly 30, 2020POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam nchini Tanzania, limewaua watuhumiwa watatu wa ujambazi eneo la Chamazi, waliokuwa kwenye gari aina ya Nissan...
By Kelvin MwaipunguJuly 30, 2020SHAHIDI wa kwanza Yusufu Shaban Omar Matimbwa katika kesi inayomkabili Diwani wa Kijichi, Mbagala jijini Dar es Salaam Elias Mtarawanje (29), anayedaiwa kupokea...
By Mwandishi WetuJuly 30, 2020REHEMA Mikidani Ngenje, Mwanafunzi wa Darasa la Nne Shule ya Msingi Somanga, Lindi amemweleza Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, shule yao ilivyo...
By Mwandishi WetuJuly 30, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemtaka Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhudhuria mahakamani...
By Faki SosiJuly 30, 2020TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imetangaza Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa urais na uwakilishi utafanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJuly 30, 2020WAJUMBE wa Baraza la Vijana la Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) jijini Dodoma, wamepokonywa simu zao za mkononi, wakati wa mkutano wa kura za...
By Mwandishi WetuJuly 30, 2020WAGONJWA milioni 10.7 wamepona ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa mujibu wa mtandao wa worldometer, unaonyesha hadi...
By Mwandishi WetuJuly 30, 2020WAKATI hali ya sintofahamu kati ya China na India ikishika hatamu, India imenunua ndege tano mpya za kivita aina ya Rafale zilizo na uwezo wa...
By Mwandishi WetuJuly 30, 2020WAJUMBE wa Mabaraza ya Vijana ya Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wa mikoa nchini Tanzania, leo Alhamisi tarehe 30 Julai 2020, watapiga kura za...
By Mwandishi WetuJuly 30, 2020BENJAMIN William Mkapa, Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania, amehitimisha safari yake ya siku 29,845 hapa duniani. Anaripoti Hamisi Mguta, Lupaso,...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amesema Hayati Benjamin William Mkapa, Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania, alikataa kuzikwa katika eneo...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2020ALI Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, amemwomba Mwenyezi Mungu kumsamehe Hayati Benjamin William Mkapa pale alipoteleza wakati wa...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2020RAIS mstaafu wa awamu ya nne wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameeleza jinsi alivyomtoa jasho Hayati Benjamin William Mkapa, katika mchujo wa mgombea...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2020MSANII wa uigizaji nchini Tanzania, Mwemba Burton (35) maarufu Mwijaku amepandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akituhumiwa kusambaza...
By Faki SosiJuly 29, 2020BUNGE la Uturuki limepitisha sheria tata, ambayo inaipa serikali ya nchi hiyo mamlaka ya kuingilia maudhui kwenye mitandao ya kijamii na hata kulazimisha...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2020Dk. Shein afikisha salamu za Wazanzibari kwa Mkapa Saa 7:46 mchana DAKTARI Ali Mohammed Shein, Rais wa Serikali ya Zanzibar amemtaja Hayati Benjamin...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2020KATIBU Mkuu wa Chama cha ADA-Tadea, John Shibuda amepitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho, kugombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2020KESI ya viongozi na wafuasi 26 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaokabiliwa na mashtaka saba yakiwamo kutoa lugha ya maudhi na...
By Faki SosiJuly 28, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mtwara kwa ajili ya kushiriki shughuli ya mazishi ya Rais mstaafu...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2020HELKOPTA iliyobeba mwili wa Hayati Rais mstaafu awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William Mkapa imetua salama katika uwanja wa ndege mdogo wa...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2020VIGOGO wa siasa za upinzani nchini Tanzania , Maalim Seif Sharif Hamad, Zitto Kabwe na Bernard Membe wamemkaribisha nchini humo kwa maneno ya...
By Masalu ErastoJuly 28, 2020RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli, amebadili jina la uliokuwa Uwanja wa Taifa na sasa kuwa unaitwa Uwanja wa...
By Kelvin MwaipunguJuly 28, 2020NDEGE iliyombeba mwakilishi wa Kenya, Samuel Poghisio aliyekuwa anakwenda Tanzania, kuhudhuria shughuli ya kitaifa ya kumuaga Hayati Benjamin Mkapa, Rais wa Awamu ya...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amejikuta akitokwa machozi hadharani baada ya shindwa kujizuia wakati akielezea mazungumzo yake ya mwisho na Rais mstaafu...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli anawaongoza waombolezaji kuaga Kitaifa mwili wa Hayati Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ametoa simulizi ya hali aliyonayo sasa iliyowafanya wasikilizaji kulengwa lengwa na machozi...
By Regina MkondeJuly 27, 2020MKUTANO Mkuu Maalum wa Chama cha Wananchi (CUF), leo Jumatatu tarehe 27 Julai 2020, umempitisha Prof. Ibrahim Lipumba, mwenyekiti wa chama hicho kuwani...
By Yusuph KatimbaJuly 27, 2020MWILI wa Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William Mkapa leo Jumatatu tarehe 27 Julai 2020 unalala nyumbani kwake, Masaki...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, viongozi wakuu wa nchi kesho Jumanne ndio watapata fursa ya kuaga mwili wa Hayati Rais mstaafu...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 kuzingatia weledi na kuepuka kufanya kazi...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2020SISTY Nyahoza, Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania amesema, Hayati Benjamin William Mkapa, Rais wa awamu ya tatu ameacha mchango wake...
By Faki SosiJuly 27, 2020UJIO wa Tundu Antiphas Lissu, makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, umetikisa viunga vya Jiji la Dar es...
By Regina MkondeJuly 27, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam nchini Tanzania imeleezwa upelelezi wa kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2020MWAKA 1995, niliitwa Profesa uchwara, zile sera za Chama cha Wananchi (CUF), sasa wanazitekeleza lakini wanashindwa kutekelza kwa ufasaha wake kwa kuwa sio...
By Faki SosiJuly 27, 2020PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) amesema, Watanzania wamechoshwa na maisha ya umasikini, na sasa uhai wa Chama Cha Mapinduzi...
By Yusuph KatimbaJuly 27, 2020TUNDU Antiphas Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania cha Chadema- Bara amewasilia nchii hum oleo Jumatatu tarehe 27 Julai...
By Regina MkondeJuly 27, 2020WANACHAMA na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), watamsindikiza Tundu Lissu kwa maandamano kutokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...
By Masalu ErastoJuly 27, 2020BAADHI ya wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitokeza Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar...
By Regina MkondeJuly 27, 2020TUNDU Antiphas Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania cha Chadema- Bara ameanza safari ya kutoka Ubelgiji kurejea nchini mwake...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2020MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) imesema, itamuenzi Hayati Rais wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William...
By Hamisi MgutaJuly 27, 2020KLABU ya Yanga imemfuta kazi kocha wake, Lucy Eymael kutokana na kauli zake za kibaguzi alizozitoa kwa mashabiki wa timu hiyo katika vipindi...
By Kelvin MwaipunguJuly 27, 2020MWILI wa Benjamin Mkapa, Hayati Rais Mstaafu wa awamu ya tatu ya Tanzania, unaendelea kutolewa heshima za mwisho na Watanzania, katika Uwanja wa...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2020LIGI Kuu ya Uingereza (EPL) 2019/20 imehitimishwa huku ikishuhudia timu ya Aston Villa anayoicheza Nahodha wa Taifa Stars ya Tanzania, Mbwana Samatta ikinusurika...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2020MWILI wa Hayati Rais wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William Mkapa umerejeshwa Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo kutoka Uwanja wa Uhuru...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2020