Tuesday , 23 April 2024

Month: May 2020

Habari za SiasaTangulizi

Utata mtupu sakata la Meya Jacob

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika amesema, chama chake, hakijawahi kumfukuza uwanachama, aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Ubungo,...

Habari za Siasa

Mwigulu aanzia pagumu

MWIGULU Nchemba, Waziri wa Katiba na Sheria aliyeapishwa leo tarehe 3 Mei 2020, amepewa jukumu zito na Rais John Magufuli. Anaripoti Hamis Mguta,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli amteua Dk Mwigulu kumriti Balozi Mahiga

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Dk. Mwigulu Nchemba kuwa waziri wa katiba na sheria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …....

Habari za SiasaTangulizi

Balozi Mahiga alivyozikwa, Samia Suluhu amwakilisha Rais Magufuli

SAFARI ya mwisho hapa duniani ya Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga imehitimishwa leo Jumamosi tarehe Mei 2, 2020 kwa mwili...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge waliofariki dunia Tanzania wafikia tisa

WAZIRI  wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amefariki dunia leo alfajiri akiwa nyumbani kwake. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Mwanadiplomasia Balozi Mahiga afariki dunia

BALOZI Dk. Augustine Philip Mahiga, amefariki dunia, asubuhi hii ya leo, tarehe 1 Mei 2020, mjini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

error: Content is protected !!