Thursday , 25 April 2024

Day: May 4, 2020

Habari Mchanganyiko

Watetezi TV washinda rufaa dhidi ya TCRA

ADHABU  iliyotolewa na Kamati ya Maadili ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa Televisheni ya Mtandaoni ya Watetezi TV ya faini ya Shilingi 5...

Habari za Siasa

Meya Jacob agonga mwamba kuingia ofisini, barua zamiminika kwa DED

BONIFACE Jacob, Meya wa Manispaa wa Ubungo jijini Dar es Salaam leo Jumatatu tarehe 4 Mei 2020 ameshindwa kuingia ofisini kuendelea na majukumu...

Habari za Siasa

SAKATA LA MEYA UBUNGO: Tamisemi yaingilia kati 

HATMA ya Meya wa Ubungo, Boniface Jacob, sasa iko mikononi mwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za...

Habari Mchanganyiko

Msikiti wa Mtoro Dar uliofungwa, wafunguliwa

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), limeamua kuufungua Msikiti wa Mtoro, ulioko maeneo ya Kariakoo, jijini Dar es Salaam, uliopangwa kufungwa kwa muda...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge 10 Chadema wamgomea Mbowe, watinga bungeni

TAKRIBANI wabunge 10 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamegoma kutii maelekezo yaliyotolewa na mwenyekiti wa chama hicho taifa, Freeman Mbowe. Anaripoti...

Habari

Corona: Ni hekaheka Maabara ya Taifa

DAKTARI Nyambura Moremi, Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na Jacob Lusekjelo, Meneja Udhibiti wa Ubora wamesimamishwa kazi kufuatia tuhuma...

Habari za Siasa

Spika Ndugai amuelezea mbunge mwenye corona

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema, mbunge aliyekuwa aliyeambukizwa virusi vya corona (COVID-19), ataruhusiwa mda wowote kutoka...

Habari za Siasa

Mazishi ya usiku yamshtua Zitto

WAKATI Serikali ya Tanzania ikipiga marufuku utaratibu hasi wa mazishi ya usiku katika Halmashauri kadhaa nchini, Zitto Kabwe ameitaka serikali kutimiza wajibu wake....

error: Content is protected !!