SERIKALI imesema, Mgodi wa Geita Gold Mine (GGM), ni moja ya waajiri walioandikishwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF). Anaripoti...
By Danson KaijageApril 14, 2020SERIKALI imeshauriwa kuona namna bora ya kutoa elimu kwa watu wenye walemavu wa kutosikia (viziwi) jinsi ya kujikinga na ugonjwa wa Corona. Anaripoti...
By Danson KaijageApril 13, 2020SERIKALI imetangaza ongezeko la “kesi mpya kumi na nne” (14) za maambukizi ya ugonjwa wa Corona (Covid 19) nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuApril 13, 2020SERIKALI ya Tanzania kupitia Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TCAA), imefuta safari za ndege za abiria za kimataifa, huku ikiweziwekea masharti ndege za...
By Regina MkondeApril 12, 2020ASKOFU Evance Chande wa Kanisa la EAGT Dodoma, ameviomba vyombo vya habari na waandishi wa habari kutoa elimu ya maambukizi ya corona kwa...
By Danson KaijageApril 12, 2020KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameeleza kuwa ameliandikia barua Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kulitaka kuja nchini kuifanyia ukaguzi Benki...
By Faki SosiApril 11, 2020FREEMAN Mbowe, Kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemhoji Rais John Magufuli ya kwamba, idadi ngapi ya vifo vitakavyotokana na Ugonjwa...
By Mwandishi WetuApril 11, 2020TAKRIBANI wabunge tisa kutoka vyama viwili vikubwa vya upinzani bungeni – Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wako...
By Mwandishi WetuApril 11, 2020SERIKALI imetangaza vifo viwili vya wagonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19). Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Kwa mujibu wa...
By Hamisi MgutaApril 10, 2020WATU wanaosumbuliwa na magonjwa sugu pamoja na unene uliopitiliza wako hatarini kupoteza maisha, kutokana na Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na...
By Regina MkondeApril 10, 2020ILI UWEZE kufanikisha jambo ni lazima uweke mipango mikakati ya jambo ambalo unataka kulifanya kwa maana ya mpango wa mrefu wa kati na...
By Danson KaijageApril 10, 2020SHEREHE ya Sikukuu ya Pasaka sasa itafanyika tofauti, ni baada ya Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, kupika marufuku sehemu...
By Regina MkondeApril 9, 2020WATANZANIA wametakiwa kuongeza umakini katika kujilinda na virusi vya corona (COVID-19), kwa kuwa siku chache zijazo, nchi itaingia katika hatua ya kuambukizana wenyewe...
By Mwandishi WetuApril 9, 2020CHAMA cha NCCR- Mageuzi, kimekana madai kuwa kimetumia kiasi Sh. 1.19 bilioni, zilizotolewa na serikali, bila kuwa na uthibitisho wa nyaraka. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuApril 9, 2020SHEIKH wa Mkoa Dodoma, Alhajji Sheikh Mustafa Rajabu Shabani, amesema amechukizwa na baadhi ya viongozi ndani ya Baraza la Waisilamu (BAKWATA) Mkoa na Wilaya...
By Danson KaijageApril 8, 2020KUTOKANA na tishio la ugongwa hatari wa Coroma, halmashauri ya jiji la Dodoma limetoa utaratibu wa kuomba maeneo ya biashara kwa njia ya...
By Danson KaijageApril 8, 2020KAMPUNI ya Emotec, inayomilikiwa na Mtanzania imebuni mfumo wenye uwezo wa kutambua mtu mwenye homa kali ikiwemo muathirika wa virusi vya corona (COVID-19),...
By Regina MkondeApril 7, 2020TUNDU Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki amemshangaa Spika Job Ndugai, kwa madai ya kufanya kazi kama ‘mkusanya mapato ya benki.’Anaripoti Mwandishi wetu…...
By Mwandishi WetuApril 7, 2020PROFESA Jumanne Kishimba, Mbunge wa Kahama (CCM), ameishauri serikali kuruhusu pombe ya gongo, itumike katika kukabiliana na mlipuko wa Virusi vya Corona, kwa...
By Mwandishi WetuApril 7, 2020SERIKALI ya Tanzania imetangaza wagonjwa wanne wapya wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuApril 6, 2020KAULI ya Boniface Jacob, Diwani wa Kata ya Ubungo (Chadema) na Meya wa Manispaa ya Ubungo, kwamba hatogombea tena udiwani katika Uchaguzi Mkuu...
By Faki SosiApril 6, 2020SHIRIKA la Habari la Uingrereza (BBC), limetengaza mnyama wa kwanza (Chui) kukutwa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Chui huyo wa...
By Mwandishi MaalumApril 6, 2020BORIS Johnson, Waziri Mkuu wa Uingereza amekimbizwa hospitali kutokana na makali ya virusi vya corona (COVID-19). Linaripoti Shirika la Habari la BBC. Boris...
By Mwandishi MaalumApril 6, 2020WAKATI baadhi ya misikiti ikitumia dakika 20 pekee katika Ibada ya Ijumaa, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) sasa litaumia dakika 45...
By Faki SosiApril 5, 2020BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imezifanyia maboresho fedha za noti, toleo la mwaka 2010, katika kipengele cha usalama. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa mujibu...
By Mwandishi WetuApril 4, 2020CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeziomba jumuiya za kimataifa, hususan taasisi za fedha, kuzipa nafuu katika ulipaji madeni, nchi masikini zenye mikopo, ili ziweze kupata...
By Faki SosiApril 4, 2020SHAHIDI wa mwisho wa upande wa utetezi kwenye kesi namba 327/2018, inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ameieleza mahakama kuwa...
By Faki SosiApril 3, 2020JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi amekataa kufanya kazi na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageApril 3, 2020MPAKA sasa, watu watatu wawaliokuwa wakisumbuliwa na ugonjwa wa corona, wamepona. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam…(endelea) Taarifa iliyotolewa na Ummy Mwalimu, Waziri wa...
By Hamisi MgutaApril 3, 2020JOSEPH Haule (Prof. Jay) Mbunge wa Mikumi (Chadema), ametaka kujua ni lini serikali itafuta umiliki wa mashamba pori ya muda mrefu ya Mauzi...
By Danson KaijageApril 3, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani kimeiomba serikali kutoa taarifa za kina zaidi juu ya maambukizi ya ugonjwa wa Homa...
By Regina MkondeApril 3, 2020TAIFA la China limeidhinisha matumizi ya nyongo ya dubu kuwatibu wagonjwa wa corona (COVID-19). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Kwa kujibu wa taarifa ya Shirika la...
By Mwandishi WetuApril 3, 2020CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT), kimeiomba serikali na wananchi kutoa ushirikiano kwa watalaamu wa afya, katika mapambano dhidi ya mlipuko wa Ugonjwa wa...
By Mwandishi WetuApril 3, 2020GERALD Serikali shahidi wa sita kwenye kesi ya uchochezo inayomkabili Zitto Kabwe Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo ameieleza mahakama kuwa alishuhudia miili ya...
By Masalu ErastoApril 2, 2020SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo (Chadema) amesema, siku akitaka kuhama chama hicho, atasaema na si watu kupiga ramli. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam...
By Kelvin MwaipunguApril 2, 2020SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo (Chadema), ameishauri serikali kutengeneza mikakati ya dharura ya kukabili mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosabishwa...
By Regina MkondeApril 2, 2020AFISA masoko wa Jiji la Dodoma, James Yuna amewaonya baadhi ya wafanyabiashara ambao wanafanya utapeli kwa wafanyabiashara wenzao kwa kitendo cha kuwauzia maeneo...
By Danson KaijageApril 1, 2020PIKIPIKI na Bajaji zinazosafirisha abiria, zimeruhusiwa kuingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam, ili kupunguza changamoto ya usafiri katika kipindi cha mlipuko...
By Regina MkondeApril 1, 2020Yeremia Kulwa Maganja, aliyekuwa Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, amejivua uanachama wa chama hicho, kwa madai kwamba kimegubikwa na hila. Anaripoti Mwandishi...
By Hamisi MgutaApril 1, 2020