Thursday , 25 April 2024

Month: March 2020

Habari za Siasa

Dk. Bashiru ataka vyama vya siasa kumaliza tofauti

DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amevitaka vyama vya siasa nchini kutumia vyombo husika ikiwemo Baraza la Vyama vya...

Habari za Siasa

Mdee, Mch. Msigwa wataka ripoti ya Corona ijadiliwe bungeni

WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameitaka serikali kuwasilisha bungeni  ripoti ya tathimini ya ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosabishwa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Viongozi wa dini kutoa elimu ya ugonjwa wa Corona

MCHUNGAJI wa Kanisa la Makedonia Missions Centre-Kisasa Relini Jijini Dodoma, Chini ya Kanisa la Calvary Assemblies of God, Vicent Malendaa, amewataka watanzania kutofanya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tanzania yaripoti kifo cha kwanza mgonjwa wa Corona

SERIKALI ya Tanzania imeripoti kifo cha kwanza cha Mgonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19). Anaripoti Hamis Mguta…(endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Wagonjwa wa corona Tanzania waongezeka

IDADI ya wagonjwa wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na  Virusi vya Corona (COVID-19), nchini Tanzania wamefika 19. Inaripoti Regina Mkonde…(endelea). Taarifa hiyo...

Habari za Siasa

Shamte afariki dunia

SALUM Shamte, Mkurugenzi wa zamani wa Kampuni ya Katani Limited, amefariki dunia afajiri ya leo tarehe 30 Machi 2020, katika Hospitali ya Taifa...

Habari za Siasa

Corona: Zitto aainisha mambo 7 kwa JPM

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amemwandikia barua ya ushauri Rais John Magufuli iliyohusu namna ya kuukabili ugonjwa unaotokana na virusi...

Habari za SiasaTangulizi

Komu atangaza kung’atuka Chadema

MBUNGE wa Moshi Vijijini (Chadema), Anthony Komu, ametangaza “kukihama” chama chake cha sasa; na kuelekea NCCR- Mageuzi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza na waandishi...

Habari Mchanganyiko

Baadhi wakaidi kunawa mikono, kisa watu weusi hawapati corona

PAMOJA na kutolewa kwa elimu juu ya kujikinga na virusi vinavyosababisha ugonjwa hatari duniani wa corona bado jamii imekuwa na fikra hasi kwa...

Habari za Siasa

Meya wa Chadema Iringa ang’olewa

ALEX Kimbe, Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo tarehe 28 Machi 2020, ameondolewa madarakani...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara waliojenga juu ya miundombinu ya maji wapewa saa 24

WAFANYABIASHARA katika masoko yote yaliyopo Jijini Dodoma wamepewa saa 24 kuondoa vibanda vyao vya biashara vilivyojengwa juu ya miundombinu inayopitisha maji. Anaripoti Danson...

Habari za SiasaTangulizi

Tuhuma za CAG: CUF yamtwisha zigo Maalim Seif

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimemtupia lawama Maalim Seif Shariff Hamad, aliyekuwa Katibu Mkuu wake, kikidai kuwa, alisababisha kikiuke sheria kwa kuhamisha fedha za...

Afya

Waziri Mkuu Uingereza akutwa na corona

BORIS Johnson, Waziri Mkuu wa Uingereza, amekutwa na maambukizi ya virusi vya corona (COVID19). Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea). Taarifa kutoka kwenye ofisi...

Habari za Siasa

Meya Iringa njia panda, mahakama yamtosa

MAHAKAMA ya Mkoa wa Iringa, imetupilia mbali ombi la Alex Kimbe, Meya wa Manispaa ya Iringa la kuzuia mchakato wa kumng’oa madarakani. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Vigogo wa Chadema Songwe, watoka gerezani 

VIONGOZI kadhaa wandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika mkoa wa Songwe na jimbo la Tunduma, hatimaye wametoka gerezani. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Nani kampa sumu Mangula? Hakuna jibu

NANI aliyempa sumu Mzee Phillip Mangula, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)? Ni swali ambalo halijapatiwa majibu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

Habari Mchanganyiko

UMACHEDO waja na tahadhari ya corona

UMOJA wa Mafundi Cherehani Mkoa wa Dodoma (UMACHEDO), umewataka mafundi wote kuchukua tahadhari katika kujikinga na virusi vya corona (COVID-19), ambavyo kwa sasa...

Afya

‘Nchi zenye sifa hizi Afrika, zipo hatarini kwa corona’

NCHI ambazo zinahifadhi wakimbizi wengi na zenye makazi duni Afrika, zinatajwa kuwa na hatari zaidi ya kuenea kwa virusi vya corona (COVID-19) katika...

Habari za Siasa

Maalim Seif awaangukia Watanzania

MAALIM Seif Shariff Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, amewasihi Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe aeleza siri ya Dk. Mahanga Chadema

MOJA ya jambo kubwa na la kipekee kwa marehemu Dk. Makongoro Mahanga, ni kuwa mtu wa kujifunga na kutokuwa na haya katika kubadilika. Anaripoti...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Uchaguzi Mkuu palepale

LICHA ya kuwepo kwa tishio la kusambaa kwa virusi vya corona (COVID-19) nchini, uchaguzi mkuu unaoratajiwa kuwanyika Oktoba mwaka huu, hautaahirishwa. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari za Siasa

Deni la Taifa lapaa tena

DENI la Taifa katika Mwaka wa Fedha wa 2018/19, limeongezeka kwa asilimia 2.18, kutoka Sh. 50.93 trilioni mwaka 2018 hadi Sh. 53.11 trilioni. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

CAG abaini madudu CUF, CCM

CHAMA cha Wananchi (CUF) na Chama Mapinduzi (CCM), vinatajwa kwa matumizi mabaya ya fedha katika Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali katika...

Afya

Mgonjwa wa kwanza wa corona Tanzania apona

ISABELA Mwampamba (46), mgonjwa wa kwanza kupatikana na virusi vya corona (COVID-19) nchini Tanzania, amepona na yupo huru kuungana na familia yake. Anaripoti Danson...

AfyaHabari Mchanganyiko

Corona: Mbowe siku 14 karantini

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), sasa yupo karantini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Amechukua hatua hiyo...

Habari za Siasa

Mkutano ‘kumng’oa’ Meya Iringa waitishwa

MKAKATI wa muda mrefu unaoondeshwa na wabunge pia madiwani kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumng’oa Meya wa Manispaa ya Iringa, sasa umeshika kasi. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Shitaka hili limemtibua Lema

SHITAKA la kusababisha kuibua taharuki linalomkabili Godbless Lema, Mbunge wa Arusha Mjini, limemtibua. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea). Nje ya Mahakama ya...

Habari za SiasaTangulizi

Wapiga dili CCM kuhenyeshwa

ROBERT Mwinje (39) na  Nyemo Malendaa(20), wote makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Dodoma wanatarajiwa kupandishwa kizimbani muda wowote kutoka sasa. Anaripoti Danson Kaijage,...

AfyaHabari Mchanganyiko

China kuisaidia Tanzania kudhibiti Corona

NCHI ya China imeahidi kuisadia Tanzania katika kudhibiti mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19). Anaripoti...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Mbowe athibitisha mwanawe kupata Corona

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, amekiri kuwa mmoja wa watoto wake, Dudley Mbowe, amekutwa na ugonjwa wa Corona. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Kimataifa

Waathirika wa Corona Kenya wafikia 25

SERIKALI jijini Nairobi, imetangaza kuongezeka wagonjwa 25 wa visa vya karibuni vya maambukizi ya Corona, kwatu tisa. Kati yao, saba ni raia wa...

Afya

Mtangazaji maarufu afa kwa corona

ZORORO Makamba (30), mtangazaji maarufu wa vipindi vya televisheni nchini Zimbabwe, amefariki dunia kwa ugonjwa wa corona (COVID-19). Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Makamba aliyefariki...

Afya

Dar kupuliziwa dawa kuangamiza vimelea vya corona

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ameagiza kupuliziwa dawa ya kuua vimelea vya ugonjwa wa corona (COVID-19) katika maeneo mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

Corona yaisukuma mahakama kubadili mfumo

PROFESA Ibrahim Juma, Jaji Mkuu wa Tanzania, amesema mhimili wa mahakama umeanza kutumia mfumo wa Teknolojia, Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika uendeshaji wa...

Habari za Siasa

Chadema yasubiri Corona ipite, kuliamsha upya

MIKUTANO ya ndani na hadhara iliyopangwa na Chama cha Demokrasia na Maebdeleo (Chadema), kuanza tarehe 4 Aprili 2020, sasa haitafanyika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee, Bulaya, Jacob wabebeshwa tuhuma saba

JUMLA ya viongozi na wafuasi 27 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamepandishwa kizimbani wakituhumiwa kutenda makossa saba. Anaripoti Hamis Mguta, Dar...

Habari za Siasa

‘Uvamizi Segerea’: Mdee, Bulaya waanza kusota Kisutu

HALIMA Mdee, Mbunge wa Kawe na wenzake 14, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kufanya...

Afya

Kanisa latoa somo kuongeza kinga ya COVID-19

KUSAMBAA kwa virusi vinavyosababisha homa kali ya mapafu (COVID-19), kumebadili mwenendo wa dunia. Anaripoti Dandons Kaijage, Dodoma…(endelea). Prof. Pastor Majembe Chidachi, Mchungaji wa Kanisa...

Afya

Elimu mpya: Je, Covid-19 vinaishi muda gani katika vitu kabla kuambukiza?

JINSI hofu ya kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 inavyozidi kupanda, ndivyo hofu ya kushika vitu mbalimbali ambavyo vinaweza kuwa na virusi pia inapanda. Unaripoti Mtandao...

Habari za Siasa

Dk. Makongoro Mahanga afariki dunia

DAKTARI Milton Makongoro Mahanga, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Segerea jijini Dar es Salaam, amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 23 Machi...

Habari za SiasaTangulizi

Mwingine aondoka Chadema, aelekea NCCR- Mageuzi

NDIHOLEYE Zuberi Kifu, Mratibu wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo vikuu nchini (CHASO), kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mkoani Kilimanjaro, amejiondoa...

Habari Mchanganyiko

JPM atumia staili ya China kuikabili corona, wagonjwa wafika 12

RAIS John Magufuli ameagiza, wageni wote watakaoingia nchini, wawekwe karantini kwa siku 14 kwa gharama zao. Anaandika Hamis Mguta,Dar es Salaam…(endelea). kwa sasa,...

AfyaHabari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi laonya watoa taarifa za uongo kuhusu Corona

JESHI la Polisi nchini limeonya watu wanaosambaza taarifa zisizo sahihi, kuhusu mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu inayosababaishwa na Virusi vya...

Habari Mchanganyiko

TCRA yamburuza Idriss Sultan kizimbani

MSANII wa vichekesho Idriss Sultan, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi na wenzake wawili wakikabiliwa na kosa la kuchapisha maudhui mtandaoni bila kibali....

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi: Kwa sasa ni kawaida polisi kuua

MUSA Bakari, shahidi wa tano kwenye kesi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo ameiambia mahakama kwamba ni kawaida polisi kuua....

AfyaHabari Mchanganyiko

‘Waliokuwa na dereva taxi Arusha, hawajaambukizwa COVID-19’

DAKTARI Janeth Mghamba, Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Ufutiliaji wa Magonjwa ya Mlipuko katika Wizara ya Afya amesema, watu 27 waliochukuliwa ili kupimwa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Meneja wa Diamond akutwa na Corona

SALLAM Sharif, Meneja wa Msanii, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amekutwa na maambukizi ya virusi aina ya Corona baada ya kufanyiwa vipimo na kuwekwa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wagonjwa wa corona wafika watano

WATU waliokutwa na virusi vya ugonjwa wa corona (COVID -19), nchini Tanzania wamefika tano. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Kwa...

Habari za Siasa

Shahidi ‘ambeba’ Zitto

SENGWE Mbaruku, Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Vikundi vya Wakulima (Mviwata), mkoani Kigoma amedai, Zitto Kabwe ameshtakiwa kwa sababu ya kuwasemea wananchi wa...

Habari Mchanganyiko

BoT: Fedha zetu hazishiki COVID-19

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeeleza, kwamba virusi vya corona vinavyosababisha homa ya mapafu (COVID-19), havikai kwenye pesa ya Tanzania. Anaripoti Faki Sosi, Dar...

error: Content is protected !!