DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amevitaka vyama vya siasa nchini kutumia vyombo husika ikiwemo Baraza la Vyama vya...
By Regina MkondeMarch 31, 2020WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameitaka serikali kuwasilisha bungeni ripoti ya tathimini ya ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosabishwa...
By Danson KaijageMarch 31, 2020MCHUNGAJI wa Kanisa la Makedonia Missions Centre-Kisasa Relini Jijini Dodoma, Chini ya Kanisa la Calvary Assemblies of God, Vicent Malendaa, amewataka watanzania kutofanya...
By Danson KaijageMarch 31, 2020SERIKALI ya Tanzania imeripoti kifo cha kwanza cha Mgonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19). Anaripoti Hamis Mguta…(endelea)....
By Hamisi MgutaMarch 31, 2020IDADI ya wagonjwa wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19), nchini Tanzania wamefika 19. Inaripoti Regina Mkonde…(endelea). Taarifa hiyo...
By Regina MkondeMarch 30, 2020SALUM Shamte, Mkurugenzi wa zamani wa Kampuni ya Katani Limited, amefariki dunia afajiri ya leo tarehe 30 Machi 2020, katika Hospitali ya Taifa...
By Regina MkondeMarch 30, 2020ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amemwandikia barua ya ushauri Rais John Magufuli iliyohusu namna ya kuukabili ugonjwa unaotokana na virusi...
By Faki SosiMarch 29, 2020MBUNGE wa Moshi Vijijini (Chadema), Anthony Komu, ametangaza “kukihama” chama chake cha sasa; na kuelekea NCCR- Mageuzi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza na waandishi...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2020PAMOJA na kutolewa kwa elimu juu ya kujikinga na virusi vinavyosababisha ugonjwa hatari duniani wa corona bado jamii imekuwa na fikra hasi kwa...
By Danson KaijageMarch 29, 2020ALEX Kimbe, Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo tarehe 28 Machi 2020, ameondolewa madarakani...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2020WAFANYABIASHARA katika masoko yote yaliyopo Jijini Dodoma wamepewa saa 24 kuondoa vibanda vyao vya biashara vilivyojengwa juu ya miundombinu inayopitisha maji. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageMarch 28, 2020CHAMA cha Wananchi (CUF), kimemtupia lawama Maalim Seif Shariff Hamad, aliyekuwa Katibu Mkuu wake, kikidai kuwa, alisababisha kikiuke sheria kwa kuhamisha fedha za...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2020BORIS Johnson, Waziri Mkuu wa Uingereza, amekutwa na maambukizi ya virusi vya corona (COVID19). Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea). Taarifa kutoka kwenye ofisi...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2020MAHAKAMA ya Mkoa wa Iringa, imetupilia mbali ombi la Alex Kimbe, Meya wa Manispaa ya Iringa la kuzuia mchakato wa kumng’oa madarakani. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2020VIONGOZI kadhaa wandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika mkoa wa Songwe na jimbo la Tunduma, hatimaye wametoka gerezani. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2020NANI aliyempa sumu Mzee Phillip Mangula, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)? Ni swali ambalo halijapatiwa majibu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...
By Regina MkondeMarch 27, 2020UMOJA wa Mafundi Cherehani Mkoa wa Dodoma (UMACHEDO), umewataka mafundi wote kuchukua tahadhari katika kujikinga na virusi vya corona (COVID-19), ambavyo kwa sasa...
By Danson KaijageMarch 27, 2020NCHI ambazo zinahifadhi wakimbizi wengi na zenye makazi duni Afrika, zinatajwa kuwa na hatari zaidi ya kuenea kwa virusi vya corona (COVID-19) katika...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2020MAALIM Seif Shariff Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, amewasihi Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na...
By Jabir IdrissaMarch 27, 2020MOJA ya jambo kubwa na la kipekee kwa marehemu Dk. Makongoro Mahanga, ni kuwa mtu wa kujifunga na kutokuwa na haya katika kubadilika. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguMarch 26, 2020LICHA ya kuwepo kwa tishio la kusambaa kwa virusi vya corona (COVID-19) nchini, uchaguzi mkuu unaoratajiwa kuwanyika Oktoba mwaka huu, hautaahirishwa. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageMarch 26, 2020DENI la Taifa katika Mwaka wa Fedha wa 2018/19, limeongezeka kwa asilimia 2.18, kutoka Sh. 50.93 trilioni mwaka 2018 hadi Sh. 53.11 trilioni. Anaripoti...
By Danson KaijageMarch 26, 2020CHAMA cha Wananchi (CUF) na Chama Mapinduzi (CCM), vinatajwa kwa matumizi mabaya ya fedha katika Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali katika...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2020ISABELA Mwampamba (46), mgonjwa wa kwanza kupatikana na virusi vya corona (COVID-19) nchini Tanzania, amepona na yupo huru kuungana na familia yake. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageMarch 26, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), sasa yupo karantini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Amechukua hatua hiyo...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2020MKAKATI wa muda mrefu unaoondeshwa na wabunge pia madiwani kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumng’oa Meya wa Manispaa ya Iringa, sasa umeshika kasi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2020SHITAKA la kusababisha kuibua taharuki linalomkabili Godbless Lema, Mbunge wa Arusha Mjini, limemtibua. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea). Nje ya Mahakama ya...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2020ROBERT Mwinje (39) na Nyemo Malendaa(20), wote makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Dodoma wanatarajiwa kupandishwa kizimbani muda wowote kutoka sasa. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageMarch 25, 2020NCHI ya China imeahidi kuisadia Tanzania katika kudhibiti mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19). Anaripoti...
By Regina MkondeMarch 25, 2020MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, amekiri kuwa mmoja wa watoto wake, Dudley Mbowe, amekutwa na ugonjwa wa Corona. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2020SERIKALI jijini Nairobi, imetangaza kuongezeka wagonjwa 25 wa visa vya karibuni vya maambukizi ya Corona, kwatu tisa. Kati yao, saba ni raia wa...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2020ZORORO Makamba (30), mtangazaji maarufu wa vipindi vya televisheni nchini Zimbabwe, amefariki dunia kwa ugonjwa wa corona (COVID-19). Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Makamba aliyefariki...
By Mwandishi MaalumMarch 24, 2020PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ameagiza kupuliziwa dawa ya kuua vimelea vya ugonjwa wa corona (COVID-19) katika maeneo mbalimbali...
By Faki SosiMarch 24, 2020PROFESA Ibrahim Juma, Jaji Mkuu wa Tanzania, amesema mhimili wa mahakama umeanza kutumia mfumo wa Teknolojia, Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika uendeshaji wa...
By Regina MkondeMarch 24, 2020MIKUTANO ya ndani na hadhara iliyopangwa na Chama cha Demokrasia na Maebdeleo (Chadema), kuanza tarehe 4 Aprili 2020, sasa haitafanyika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2020JUMLA ya viongozi na wafuasi 27 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamepandishwa kizimbani wakituhumiwa kutenda makossa saba. Anaripoti Hamis Mguta, Dar...
By Hamisi MgutaMarch 23, 2020HALIMA Mdee, Mbunge wa Kawe na wenzake 14, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kufanya...
By Faki SosiMarch 23, 2020KUSAMBAA kwa virusi vinavyosababisha homa kali ya mapafu (COVID-19), kumebadili mwenendo wa dunia. Anaripoti Dandons Kaijage, Dodoma…(endelea). Prof. Pastor Majembe Chidachi, Mchungaji wa Kanisa...
By Danson KaijageMarch 23, 2020JINSI hofu ya kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 inavyozidi kupanda, ndivyo hofu ya kushika vitu mbalimbali ambavyo vinaweza kuwa na virusi pia inapanda. Unaripoti Mtandao...
By Mwandishi MaalumMarch 23, 2020DAKTARI Milton Makongoro Mahanga, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Segerea jijini Dar es Salaam, amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 23 Machi...
By Regina MkondeMarch 23, 2020NDIHOLEYE Zuberi Kifu, Mratibu wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo vikuu nchini (CHASO), kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mkoani Kilimanjaro, amejiondoa...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2020RAIS John Magufuli ameagiza, wageni wote watakaoingia nchini, wawekwe karantini kwa siku 14 kwa gharama zao. Anaandika Hamis Mguta,Dar es Salaam…(endelea). kwa sasa,...
By Hamisi MgutaMarch 22, 2020JESHI la Polisi nchini limeonya watu wanaosambaza taarifa zisizo sahihi, kuhusu mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu inayosababaishwa na Virusi vya...
By Regina MkondeMarch 21, 2020MSANII wa vichekesho Idriss Sultan, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi na wenzake wawili wakikabiliwa na kosa la kuchapisha maudhui mtandaoni bila kibali....
By Faki SosiMarch 20, 2020MUSA Bakari, shahidi wa tano kwenye kesi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo ameiambia mahakama kwamba ni kawaida polisi kuua....
By Faki SosiMarch 20, 2020DAKTARI Janeth Mghamba, Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Ufutiliaji wa Magonjwa ya Mlipuko katika Wizara ya Afya amesema, watu 27 waliochukuliwa ili kupimwa...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2020SALLAM Sharif, Meneja wa Msanii, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amekutwa na maambukizi ya virusi aina ya Corona baada ya kufanyiwa vipimo na kuwekwa...
By Kelvin MwaipunguMarch 19, 2020WATU waliokutwa na virusi vya ugonjwa wa corona (COVID -19), nchini Tanzania wamefika tano. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Kwa...
By Regina MkondeMarch 19, 2020SENGWE Mbaruku, Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Vikundi vya Wakulima (Mviwata), mkoani Kigoma amedai, Zitto Kabwe ameshtakiwa kwa sababu ya kuwasemea wananchi wa...
By Faki SosiMarch 19, 2020BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeeleza, kwamba virusi vya corona vinavyosababisha homa ya mapafu (COVID-19), havikai kwenye pesa ya Tanzania. Anaripoti Faki Sosi, Dar...
By Faki SosiMarch 19, 2020