Saturday , 20 April 2024

Month: February 2020

Habari za Siasa

Zitto ana kesi ya kujibu – Mahakama

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amekutwa na kesi ya kujibu. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Umauzi huo umetolewa...

Habari za Siasa

Chadema yalia na NEC

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuongeza muda wa zoezi la uboreshaji daftari la wapiga kura,...

Habari za SiasaTangulizi

Kishindo cha Zitto; Sina hofu ya vitisho

HOFU anayojengewa Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ndani na nje ya Bunge haimyumbishi. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea). Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Masikini Kabendera!

MATUMAINI ya Erick Kabendera, mwandishi wa habari wa kimataifa wa Tanzania anayeshitakiwa kwa madai ya uhujumu uchumi, kuungana na familia yake yamewekwa njia...

Habari za Siasa

JPM amgeuka Makonda,amtaka arejeshe fedha za TASAF

FEDHA za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), alizotumbua Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam mwaka 2012, ametakiwa kuzirejesha. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

NBS yaeleza hali ya umasikini nchini

DAKTARI Albina Chuwa, Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), amesema kasi ya upunguaji umasikini kwa Watanzania imeongezeka, ukilinganisha na nchi za...

Habari za SiasaTangulizi

Kabendera atakuwa huru kesho?

HATMA ya Mazungumzo kati ya Erick Kabendera na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), kufahamika jumatatu tarehe 17 Februari 2020. Anaandika Faki Sosi, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Mwambe aitosa Chadema, amkaanga Mbowe

CECIL Mwambe, Mbunge wa Jimbo la Ndanda, amejiuzulu wadhifa huo baada ya kukihama chama chake cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), na kurejea katika...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Membe, Kinana, Makamba: CCM yaapa kufukuza mwenye kiburi

CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimeweka wazi kwamba, kitamfukuza uanachama mtu atakayeonyesha kiburi dhidi ya sheria, misingi na kanuni za chama hicho. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru awachoma wateule wa Rais Magufuli

DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amewatuhumu baadhi ya wateule wa Rais John Magufuli, kwamba hawana uaminifu, kitendo kinachopelekea...

Makala & Uchambuzi

Bavicha na UV-CCM, ni pipa na mfuniko

BARAZA la taifa la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo ((BAVICHA), jana Alhamisi, tarehe 13 Februari 2020, liliitisha mkutano na waandishi wa...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya ‘kimapinduzi’ yasogezwa mbele

KESI iliyofunguliwa na Ofisa wa Mtandao wa Haki za Binaadamu (THRDC), Paul Kisabo kupinga washtakiwa wa makosa ya uhujumu kunyimwa dhamana, imesogezwa mbele. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Membe: Naisubiri NEC

SIKU moja baada ya Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuketi jijini Dar es Salaam, Bernard Membe amesema, ‘anasikilizia’ uamuzi wa...

Habari za Siasa

Rushwa CCM; Makada waanza kumimina fedha mtaani 

MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaosaka ubunge na udiwani kupitia chama hicho, wameanza kumimina fedha mtaani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

Joto la Tume Huru lapanda

IKIWA imebaki miezi takribani minane kuingia kwenye uchaguzi mkuu, baadaye mwaka huu, hitajio la Tume Huru ya Uchaguzi linazidi kushika kasi. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

Idd Simba afariki dunia

MFANYABIASHARA, Mbunge wa zamani wa Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Idd Simba (85) amefariki dunia. Anaripoti Kelvin Mwaipungu,...

Habari za Siasa

Mbatia ampinga Rais Magufuli

MSIMAMO wa Rais John Magufuli, kwamba hatosaidia watakaokumbwa na mafuriko, umepingwa na James Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Kesi za ‘kimapinduzi’ kuanza kuunguruma

KESI za kupinga watuhumiwa kukamatwa kabla ya upelelezi kukamilika, pamoja na kunyimwa haki ya dhamana inaanza kutajwa leo tarehe 13 Februari 2020. Anaripoti Faki...

Habari za SiasaTangulizi

Siku saba ngumu kwa Membe, Kinana, Mzee Makamba ndani ya CCM

KAMATI Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM),  imetoa siku saba kwa Kamati Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu, kukamilisha taarifa ya mahojiano ya Bernard...

Habari za SiasaTangulizi

Joto Zitto kukamatwa lapanda

HATUA ya Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo kudai kuundiwa zengwe la kuhusishwa na utakatishaji fedha, limekishtua chama hicho. Anaripoti Faki...

Habari za Siasa

Mch. Msigwa: Nakubalika

MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini, amesema kila baada ya miezi mitatu, hufanya utafiti kubaini idadi ya wananchi wanaomuunga mkono jimboni humo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wizara Afya yakabidhiwa hospitali ya Maweni

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imekabidhiwa rasmi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Maweni. Anaripoti Mwandishi wetu, Kigoma…(endelea)....

Habari za SiasaKimataifa

Hivi ndivyo Trump anavyoiua Palestina

RAIS wa Marekani, Donald Trump anataka dunia itambue, kwamba anashughulika kutatua mgogoro kati ya Israel na Palestina. Anaandika Mwandishi Wetu… (endelea). Harakati na...

Habari za Siasa

Maalim atilia neno kitambulisho cha Mzanzibari

MAALIM Seif Shariff Hamad amepokea kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi huku akitoa neno kwamba “wala hakuna sababu ya msingi ya kutolewa kitambulisho kipya.” Anaripoti...

Habari za Siasa

Rais Magufuli aonya waliojenga mabondeni

RAIS John Magufuli ameweka msisitizo kuwa, serikali haitatoa msaada wa aina yoyote kwa watu waliojenga mabondeni, pindi watakapopata maafa ya mafuriko. Anaripoti Hamis Mguta,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyechana Qur’an; JPM ‘akubali’ hoja ya Sheikh Ponda, Kishki

DANIEL Maleki (30), aliyechana kitabu kitukufu cha Qur’an, wilayani Kilosa katika Mkoa wa Morogoro, amefukuzwa kazi rasmi leo tarehe 11 Februari 2020. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Virusi vya Corona vyauwa watu 1,000, Watanzania waishio China njiapanda

WATANZANIA waishio nchini China,  wako njia panda baada ya kukwama kurejea nchini kufuatia mlipuko hatari wa Virusi vya Corona, vilivyopoteza maisha ya watu...

Habari Mchanganyiko

Kabendera aanza kuona nuru

MAZUNGUMZO ya kukiri makosa kati ya mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera na Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP) yapo kwenye hatua ya...

Habari Mchanganyiko

Hofu ya magonjwa ya mlipuko yatanda soko la 77

WAKAZI wa Jiji la Dodoma wamehofia kupata magonjwa ya mlipuko wa matumbo au kipindupindu kutokana na kutozingatiwa kwa kanuni za usafi hususani katika...

Habari Mchanganyiko

Mfumko wa bei washuka

MFUMKO  wa bei wa taifa kwa mwaka ulioishia Januari 2020, umepungua hadi asilimia 3.7 kutoka asilimia 3.8 kwa mwaka ulioishia Desemba 2019. Anaripoti...

Habari za Siasa

Sumaye ataja sababu zilizomng’oa Chadema

FREDERICK Sumaye, Waziri Mkuu Mstaafu ameeleza sababu za kurejea CCM leo tarehe 10 Februari 2020, kwamba Chadema walikuwa wamkidharua. Anaripoti Faki Sosi, Dar...

Habari za Siasa

Bashange ataka ukatibu mkuu ACT-Wazalendo

JORAM Bashange, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi na Kampeni ya Chama cha ACT-Wazalendo, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya katibu mkuu kwenye chama...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba ampopoa Mbowe

HATUA ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) – Taifa, kusoma hadharani barua aliyomuandikia Rais John Magufuli, imekebehiwa. Anaripoti Hamis...

Habari za Siasa

Zitto augua ghafla Marekani

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ameugua ghafla akiwa nchini Marekani. Anaripoti Martin Kamotei, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa ya ugonjwa...

Habari za Siasa

Sumaye arudi CCM

FREDERICK Sumaye, Waziri Mkuu wa zamani amerejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo tarehe 10 Februari 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba atoa masharti kuungana na Mbowe, Zitto 

PROF. Ibrahim Haruna Lipumba, mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), ametoa masharti mazito ya “ushirikiano” kwa viongozi wenzake wa vyama vya ACT- Wazalendo...

Kimataifa

Rais Moi aagwa kwa aina yake bungeni

MAELFU ya raia na viongozi wa Serikali ya Kenya, leo tarehe 8 Februari 2020, wamejitokeza katika viwanja vya bunge jijini Nairobi, kutoa heshima...

Habari za Siasa

Wanawake Chadema wapewa mbinu za ushindi uchaguzi 2020

SOPHIA Mwakagenda, Mbunge viti Maalumu, amewapa mbinu za ushindi wajumbe wa Baraza la Wanawake la Chama cha Chadema (Bawacha), kwenye Uchaguzi Mkuu wa...

Habari za Siasa

Uboreshaji daftari wapiga kura Dar, Pwani kuanza Februari 14

ZOEZI la uboreshaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, kuanza tarehe 14 hadi 20 Februari,...

Habari za SiasaTangulizi

Nyota ya Bernard Membe yazidi kung’aa

IKIWA imesalia miezi michache kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu wa rais, wabunge wa madiwani wa Oktoba mwaka huu, nyota ya aliyepata kuwa Katibu...

Habari za Siasa

Sensa kubaini wasio na ajira yaja

ANTONY Mavunde, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Ajira na Vijana amesema serikali itaifanyia kazi hoja ya Grace Tendega, Mbunge Viti Maalumu (Chadema),...

ElimuHabari za Siasa

CUF chaibuka na waraka mpya wa elimu

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimeitaka serikali kuufuta Waraka Mpya wa Elimu Na. 4 wa mwaka 2020, kwa maelezo kwamba, utekelezwaji wake utapelekea walimu...

Habari za Siasa

Viongozi Chadema wazuiwa kwenda nje ya nchi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimelalamikia hatua ya viongozi wake tisa kuwekewa vikwazo vya kusafiri nje ya nchi, na Mahakama ya Hakimu...

Habari za Siasa

Zitto ahofia yaliyomkuta Lissu

ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini, anahofia usalama wa maisha yake, kufuatia vitisho anavyopokea kutoka kwa baadhi ya wanasiasa, kutokana na hatua yake...

Habari za SiasaTangulizi

Kauli ya Membe baada ya kuhojiwa

BERNARD Membe, waziri wa zamani wa Mambo ya Nje amesema, mahojiano yake na Kamati ya Kamati ya Maadili na Usalama ya Chama Cha...

Habari za SiasaTangulizi

TLS yagonga nyundo mbele ya JPM

MFUMO wa sheria za jinai ulioko sasa nchini, hauna tofauti na sheria za kikoloni, zilizotumika kutia hofu wananchi ili watii amri za kikoloni...

Habari za Siasa

Waombewe wapate laana – Rais Magufuli

UKOSEFU wa maadili, tabia ya kuchelewesha kesi kwa makusudi na kuendekeza rushwa katika Mahakama za Tanzania, kunamkwaza Rais John Magufuli. Anaripoti Faki Sosi,...

Habari za Siasa

Tanzania yapekuwa mikataba ya misaada

 SERIKALI ya Tanzania kupitia Ofisi ya Mwansheria Mkuu (AG), inapitia upya mikataba ya misaada na mikopo takribani 70, ili kuangalia masharti yake kama...

Habari za Siasa

Mbowe: Majibu yenu yataleta majuto

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, amemweleza Kasim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania kuwa majibu mepesi yanayotolewa kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi, yataleta...

Habari za SiasaTangulizi

Membe: Ni kikao kigumu

BERNARD Membe, waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, leo tarehe 6 Februari 2020, anakwenda kuhojiwa na Kamati ya Kamati ya Maadili na...

error: Content is protected !!