DAKTARI Hamisi Kigwangalla, Waziri wa Maliasili na Utalii ameonesha hofu ya kuuawa, akidai kuwepo kikundi cha watu wanaopanga kutekeleza njama hizo. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJanuary 22, 2020KUENDELEA kuwekwa kuzuizini kwa mwanasheria wa haki za binadamu, Tito Elia Magoti na mwenzake Theodory Giyani, ni jaribio la kutaka kunyamazisha wakosoaji. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 22, 2020MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imeeleza utabiri wake kwamba, kutakuwa na mvua kubwa kwa siku tano mfululizo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeJanuary 22, 2020HALIMA Halima Mdee, Mbunge wa Kawe na Esther Bullaya, Mbunge wa Bunda wamebaki ‘njia panda’. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Ni...
By Faki SosiJanuary 21, 2020TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imefuta hati za usajili za vyuo vitatu na chuo kikuu kishiriki kimoja, baada ya kubaini kukosa uwezo...
By Hamisi MgutaJanuary 21, 2020YAMEWAFIKA shingoni. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wadhamini wa Tundu Lisuu, Robert Katula na Ibrahim Ahmed ‘kuja juu,’ kutokana na kauli ya mdhaminiwa...
By Regina MkondeJanuary 21, 2020WAFANYABIASHARA wa soko la kuuza na kuchinja kuku lililopo Mwembe Tayari, jijini Dodoma wametakiwa kufanya biashara hiyo kwa kuzingatia kanuni na sheria za usafi. Anaripoti...
By Danson KaijageJanuary 21, 2020MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Benilth Mahenge, ameongoza mamia ya waombelezaji katika mazishi ya Twaha Mwaya, aliyekuwa Katibu wa Baraza la Waislamu...
By Danson KaijageJanuary 21, 2020SERIKALI kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imefunga laini za simu 975,041, zisizosajiliwa kwa mfumo wa alama ya vidole. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeJanuary 21, 2020WANANCHI wametakiwa kutoa taarifa pale wanapokutana na watu wenye dalili za magonjwa ya mlipuko, ikiwemo ugonjwa wa Ebola. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam…(endelea)....
By Hamisi MgutaJanuary 20, 2020SASA ni wazi kwamba mafuriko yanayotokana na mvua kubwa zinazonyesha jijini Dar es Salaam tangu miaka ya 1990, yameikumbusha serikali ya Tanzania kuhusu...
By Mwandishi MaalumJanuary 20, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imewataka mshtakiwa Halima Mdee na Ester Bulaya waeleze kwanini wasifutiwe dhamana zao. Anaripoti Faki Sosi,...
By Faki SosiJanuary 20, 2020CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema kitaipeleka serikali mahakamani, iwapo itaendelea na msimamo wake wa kuzima laini za simu zisizosajiliwa kwa mfumo wa alama za...
By Regina MkondeJanuary 20, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema anawahurumia wadhamini wake katika kesi ya uchochezi inayomkabili. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeJanuary 20, 2020WANANCHI ambao hawajasajili laini zao za simu, lakini tayari wamefanya baadhi ya taratibu, busara itatumika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kogoma … (endelea). Kauli hiyo imetolewa...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2020WAJUMBE wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, wamegoma kuwatambua wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2020ZITTO Kabwe Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo ameeleza kuwa zipo njama zinazofanywa dhidi yake ili akamatwe na kushtakiwa kwa kesi ya utakashaji fedha...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2020ISAYA Mwita Charles, ameendelea kusisitiza kuwa yeye bado ni meya halali wa Jiji la Dar es Salaam na kuingeza, “nitaendelea kuhudhuria na kuongoza...
By Regina MkondeJanuary 18, 2020DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ametuma salamu kwa Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini, kwamba ajiandae kuliachia jimbo...
By Regina MkondeJanuary 18, 2020HATUA ya vyama nane vya upinzani kujitoa katika kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019, ilishtua Chama cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2020MBUNGE wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea, amemtuhumu mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Spora Liana, kutumia madaraka yake vibaya na kwa maslahi...
By Hamisi MgutaJanuary 17, 2020JESHI la Polisi wilayani Kigoma limemzuia Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini, kufanya mkutano wake wa hadhara na wananchi, leo tarehe 17 Januari...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2020MKUTANO wa Kamati ya Fedha na Uongozi wa halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, umemalizika baada ya kufanyika chini ya mtutu wa...
By Faki SosiJanuary 16, 2020CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kwamba, kinashughulikia agizo la Halmashauri Kuu yake ya Taifa, la kuwahoji makatibu wakuu wastaafu wa chama hicho, Abdulrahman...
By Regina MkondeJanuary 16, 2020HOSPITALI ya Rufaa ya Sokoine mkoani Lindi, imesema chanzo cha kifo cha Rashid Akbar, aliyekuwa Mbunge wa Newala Vijijini, kilichotokea ghafla jana tarehe...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2020ALIYEKUWA Mfanyakazi wa Mamlaka ya Bandari (TPA), Stephen Mtui amefikishwa katika Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi mbili Ikiwemo utakatishaji fedha...
By Faki SosiJanuary 15, 2020WAJUMBE wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wameshindwa kuendelea na mkakati wao...
By Regina MkondeJanuary 15, 2020MGANGA Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dk. Gatete Mahava ametoa onyo kwa wafanyabiashara wote wanaouza chakula au matunda karibu na vyoo...
By Danson KaijageJanuary 15, 2020KUFUATIA hali mbaya ya kiuchumi inayopitia Familia ya Mwanahabari Erick Kabendera, aliyeko mahabusu kwa zaidi ya miezi mitano katika Gereza la Segerea jijini...
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2020WAGANGA 40 wa tiba asili na tiba mbadala, wametapeliwa kiasi cha Sh. 5.2 Mil na watu waliojifanya kuwa viongozi wa Baraza la Tiba...
By Danson KaijageJanuary 14, 2020ABUU Kimboko, Mkazi wa Mbagala Rangitatu, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa mashtaka mawili, likiwemo la...
By Faki SosiJanuary 14, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad na Salim Biman, wapo njiani kuelekea Pemba kuitikia wito wa Jeshi la Polisi wilayani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea)....
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2020ABDUL Nondo, Mwanaharakati wa Haki za Binadamu amefanya utafiti mfupi kuhusu huduma ya afya katika Kata ya Iyumbu, Wilaya ya Ikungi mkoani Singida....
By Regina MkondeJanuary 14, 2020JOSEPH Roman Selasini, Mbunge wa Rombo (Chadema), amejiuzulu nafasi ya unadhimu wa Kambi ya Upinzani bungeni. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Selasini amechukua hatua...
By Danson KaijageJanuary 13, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imefuta kwa gharama, kesi namba tatu ya mwaka 2020 ya Isaya Mwita, Meya wa...
By Faki SosiJanuary 13, 2020BAZARA la Wazee la Chama cha Chadema (BAZECHA), limesema mkwamo Tume wa Huru ya Uchaguzi, umesababishwa na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaJanuary 13, 2020WANACHAMA wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP), wameitaka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, kutovibomoa vyama vya siasa vya...
By Regina MkondeJanuary 13, 2020CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kati kimeeleza dhamira yake ya kuongoza Jiji la Dodoma. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Lazaro...
By Danson KaijageJanuary 13, 2020WAKATI Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita akipewa siku 14 kukabidhi ofisi hiyo, Ofisi ya Halmashauri ya Jiji sasa imeamua...
By Mwandishi WetuJanuary 13, 2020UAMUZI wa madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutaka kumsimamisha kazi Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita umeibua uozo ndani...
By Faki SosiJanuary 12, 2020RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kujiandaa vyema, katika kushiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Rais Magufuli ametoa wito huo wakati akitoa...
By Regina MkondeJanuary 11, 2020HATIMAYE Serikali mjini Tehran, imekiri madai kuwa imeidungua ndege ya abiria Ukraine, runinga ya taifa ya Iran imeripoti. Kwa mujibu wa taarifa hiyo,...
By Mwandishi MaalumJanuary 11, 2020UAMUZI wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kuhusu kesi ya uchochezi namba 327/2018 inayomkabili Zitto Kabwe, kwamba ana kesi...
By Faki SosiJanuary 10, 2020DROO ya hatua ya 32 na 16 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho (FA CUP) imechezeshwa leo ambapo vigogo wa Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguJanuary 10, 2020LICHA ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumvua madaraka Isaya Mwita, Meya wa Jiji la Dar es Salaam (Chadema), leo tarehe 10 Januari 2020...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imesema, haiwezi kuzuia ‘meya’ wa jiji hilo, Isaya Mwita kuondolewa madarakani. Anaripoti Hamis Mguta,...
By Hamisi MgutaJanuary 10, 2020KAMATI za Kudumu za Bunge la Jamhuri, zinatarajiwa kuanza Jumatatu ya tarehe 13 – 24 Januari, 2020 jijini Dodoma, kabla ya Mkutano wa Kumi...
By Danson KaijageJanuary 10, 2020AZIMIO la kumzuia Rais wa Marekani, Donald Trump kuanzisha vita na Iran, limezua mvutano baina ya Chama cha Democrats na Republicans. Inaripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2020MKAKATI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutumia hila kumng’oa Meya wa Manispaa ya Kigoma, Ujiji, Hussein Ruhava umetua kwa Zitto Kabwe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2020WILSON Mwageni, Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini aliyeonyesha ushujaa baada ya kuingia kwenye eneo lililokuwa na matanki ya mafuta yanayowaka...
By Hamisi MgutaJanuary 9, 2020