Saturday , 20 April 2024

Day: January 13, 2020

Habari za SiasaTangulizi

Selasini ajiuzulu bungeni

JOSEPH Roman Selasini, Mbunge wa Rombo (Chadema), amejiuzulu nafasi ya unadhimu wa Kambi ya Upinzani bungeni. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Selasini amechukua hatua...

Habari za Siasa

Kesi ya Meya Dar yafutwa, yamwacha na gharama

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imefuta kwa gharama, kesi namba tatu ya mwaka 2020 ya Isaya Mwita, Meya wa...

Habari za Siasa

Tume Huru: Wazee Chadema ‘tatizo si Magufuli, ni Kikwete’

BAZARA la Wazee la Chama cha Chadema (BAZECHA), limesema mkwamo Tume wa Huru ya Uchaguzi, umesababishwa na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Anaripoti Hamis...

Habari za Siasa

UPDP wamjia juu msajili

WANACHAMA wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP), wameitaka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, kutovibomoa vyama vya siasa vya...

Habari za Siasa

Tunakwenda kuitawala Dodoma – Chadema

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kati kimeeleza dhamira yake ya kuongoza Jiji la Dodoma. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Lazaro...

Habari za Siasa

Vituko ofisi ya Meya Dar

WAKATI Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita akipewa siku 14 kukabidhi ofisi hiyo, Ofisi ya Halmashauri ya Jiji sasa imeamua...

error: Content is protected !!